Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wewe siku zote huwa una tetea haya matakataka, ina maana hilo tatizo kocha halioni kila siku? Huyo Kocha na Madueke wote ni matakataka
Madueke anakiwasha huko, tatizo lake ni lile lile, hata hajaribu kuwaangalia wenzake wako wapi. Lakini anacheza vizuri kuliko hata Neto na form yake ya sasa hivi.
 
Game ya leo ni ngumu kwa aina ya soka wanalocheza Forest, Wanacheza kwa kujilinda sana kitu cha muhimu tuepukane na individual mistake
Hii mechi inabidi tukaze tushinde .Maana mechi ijayo tunakutana na kuku kishingo Liverpool
Back line wagangamale na forward kunahitajika mabadiliko
 
Pochettino alifanya kitu katika timu hii lakini makosa yalikuwa kila mahali, sio makosa machache kama wengine wanavyosema
1) Kupanga safu ya kutisha na wachezaji wengi nje ya nafasi zao
2) Subs za kutisha na kwa wakati mbaya
3) Conference za kutisha ya waandishi wa habari yenye uhasi mwingi ndani yake
4) Uhusiano wa kutisha na wamiliki na wakurugenzi
5) Mbinu za mazoezi za kizamani sana ambazo zilichangia majeraha ya wachezaji wengi
6) Na mengi zaidi
Mkuu ni vyema habari ya Pochettino tukaachana nayo. Kwasababu uongo unaoandika aidha kwa chuki zako kwake au kutokuelewa alichokua anakifanya unasababisha tuanze kuleta ubishani ambao hautaisha leo.

Mlilia aondoke na keshaondoka basi tusonge mbele, hizi propaganda nyingine tuachane nazo. Maheshimu mawazo yako ila sipendi kumjaza mtu uongo.

Chelsea 1-1 N. Forest
Game still on
 
MADUEKE HAS EQUALIZED !!! Chelsea 1-1 Nottingham Forest
1728224939221.gif
 
Siku tano nyuma kuna jamaa alikuja kutugea onyo Arsenal kwamba tumewapita point moja tu so tujiangalie kwakua kikosi cha kenge kipo on fire wataziba gap na kukaa nafasi tatu za juu.

Leo gap limeongezeka zaidi.
 
Wewe siku zote huwa una tetea haya matakataka, ina maana hilo tatizo kocha halioni kila siku? Huyo Kocha na Madueke wote ni matakataka
Hata wewe ni takataka hujijui tu
Madueke sio takatakla. kwa sasbabu tu hachezi uynavyotaka. Contribution ya Madueke RW hakuna mchezaji anayeweza kuifikia kwa sasa labda waje wapya au form ya Neto ipande. Madueke kuwa mchoyo haitoshi kumuita takata.
 
Na huyu Madueke mtamzoez tu, asiyetaka acheze mtafute tu kumeza wembe au mle pilipili kwa sababu Maresca anamhusudu ile mbaya
 
Mechi nzuri timu inaendelea kuimarika regardless ya matokeo, msimu uliopita ilikuwa tukishatangulia kufungwa ndio ilikuwa basi
Makipa timu zote wamekuwa na saves nzuri
Wale haters wa Madueke niwakumbushe, Madueke licha ya utoto wake lakini wanaotakiwa wamuweke benchi ndio hawapo hivyo Madueke anabakia ndio best option available
 
Hii mechi inabidi tukaze tushinde .Maana mechi ijayo tunakutana na kuku kishingo Liverpool
Back line wagangamale na forward kunahitajika mabadiliko
Mmejitahidi majirani 🤠 🤠....kocha madevu wa nott forest sio mtu mzuri....yule ni ngunguri au jino kwa jino....tuko na nyie majirani mpk mrudi nafasi yenu ya nane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom