Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika kitu mashabiki inabidi tutulie ni scout wetu Tunascout wazuri kwa sasa. Tuachane na habar za kutaka majina makubwa
Samu,Duran hawa ni aina ya wachezaj ambao karibia tuwasajili sitoshangaa misim 2 ijayo wakiuzwa 80+

Tuliachana na deal la Calafiori tukaenda kwa Veiga na sasa tunamuona Veiga kila akipata nafasi anakiwasha..


Kitu nachoamini kama unascout wazuri unaweza pata wachezaji wazuri kwa bei ndogo sana
 
Changamoto kubwa ya Chukumweka ni majeruhi sio mchezaji anaeweza cheza game 5 mfululizo
Hata kama ni injury prone mbona Nkunku nafasi anapata why not Chukwuemeka, Chukwuemeka ni mchezaji mzuri ni technically gifted na mwenye uwezo wakukaba anaweza hata kuchukua nafasi ya Joao Felix kwanini hapewi nafasi
 
Katika kitu mashabiki inabidi tutulie ni scout wetu Tunascout wazuri kwa sasa. Tuachane na habar za kutaka majina makubwa
Samu,Duran hawa ni aina ya wachezaj ambao karibia tuwasajili sitoshangaa misim 2 ijayo wakiuzwa 80+

Tuliachana na deal la Calafiori tukaenda kwa Veiga na sasa tunamuona Veiga kila akipata nafasi anakiwasha..


Kitu nachoamini kama unascout wazuri unaweza pata wachezaji wazuri kwa bei ndogo sana
Of course upo sahihi tuna scout wazuri sana waliona tuna shida ya attack midfielder nilitegemea wangechukua high profile player wakamchukua Palmer ambaye alikuwa hana nafasi kabisa Man City, angalia pia biashara ya Jackson, Malo Gusto, Chukwuemeka, Madueke in short hiyo idara imeshiba ina jicho la kuona mbali
 
Joao Felix ana shida gani, mbona haendani hata na mchezaji wa mil 10?
nI mayai sana
mipira almost 70% aliyopewa alipoteza kidhaifu na kilaini juana.
Au mfumo wa Marseca hauendani naye nini
Ndio eti wakumuweka benchi Chukwuemeka kocha anatakiwa amuamini kijana huyu hatajuta Joao Felix anampira wakibishoo asipobadilika itamcost, Chukwuemeka ni fighter na ananjaa ya mafanikio
 
Ndio eti wakumuweka benchi Chukwuemeka kocha anatakiwa amuamini kijana huyu hatajuta Joao Felix anampira wakibishoo asipobadilika itamcost, Chukwuemeka ni fighter na ananjaa ya mafanikio
Mkohoti, Mkohoti, Mkohoti nimekuita mara 3.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hata kama ni injury prone mbona Nkunku nafasi anapata why not Chukwuemeka, Chukwuemeka ni mchezaji mzuri ni technically gifted na mwenye uwezo wakukaba anaweza hata kuchukua nafasi ya Joao Felix kwanini hapewi nafasi
Enzo Maresca: "Reece James is still not ready, not available. All the other players are available now".

"Carney was in the squad for Gent but didn’t feel well during the night, he was ill".
 
Enzo Maresca: "Reece James is still not ready, not available. All the other players are available now".

"Carney was in the squad for Gent but didn’t feel well during the night, he was ill".
Hivi Reece James kuwa analipwa mshahara wote anapokuwa majeruhi au anakatwa?
 
Enzo Maresca: "Reece James is still not ready, not available. All the other players are available now".

"Carney was in the squad for Gent but didn’t feel well during the night, he was ill".
Kwani hata hapo kabla nafasi alikuwa anapata
 
Hivi Reece James kuwa analipwa mshahara wote anapokuwa majeruhi au anakatwa?
Kwa mujibu wa fabrizio: Management imesema inafurahishwa na Reece James na leadership aliyonao wa kutoa maelekezo hata akiwa nje ya uwanja na wapo katika hatua ya kuwa na angalizo la kutomuaisha kucheza haraka mpaka alone kabisa na watatumia nafasi hiyo kwenye mapumziko ya international match
 
Pochettino alifanya kitu katika timu hii lakini makosa yalikuwa kila mahali, sio makosa machache kama wengine wanavyosema
1) Kupanga safu ya kutisha na wachezaji wengi nje ya nafasi zao
2) Subs za kutisha na kwa wakati mbaya
3) Conference za kutisha ya waandishi wa habari yenye uhasi mwingi ndani yake
4) Uhusiano wa kutisha na wamiliki na wakurugenzi
5) Mbinu za mazoezi za kizamani sana ambazo zilichangia majeraha ya wachezaji wengi
6) Na mengi zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom