Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Japo ushiundi wa leo hautatupeleka juu ya table bali kumfunga Forest ni moja ya mechi muhimu kabla hatujakutana na Liverpool baada ya International break. Forest ni wazuri kwenye low block defending. watakaotuponya pekee ni Sacho, Enzo na Plamer, hawa ndio wachezaji ambao ni creative so far
wakiingia akina Nkunku na Neto baadaye watakuta wamechoka
Goli la kwanza la mapema la Chelsea itatuhakikishia ushindi kwa sababu wakijaribu kufunguka tutawaongezea
 
Hapo kwa Madueke wangemuweka Neto
Forest leo wataingia kwa lengo la kupack kama walivyofanya kwa man u na hata ukimmsikiliza kocha wao unaona kabisa ndicho watakachofanya kulingana na hivyo I preferred Madueke over Neto kwasababu Madueke anaforce Neto needs space ili adeliver na wale jamaa navyowajua watabana spaces
 
Ngorika

Gusto
Tosin
Colwil
Cucurela

Enzo
Caicedo
Palmer

Sancho
Madueke - Japo sio kwa umuhimu
Jackson
Na kubaliana na wewe asilimia zote kwenye defence tunamwitaji sana Tosin zaidi ya Fofana leo kuliko maelezo kwasababu wale jamaa watakuja kwa lengo la kupack pasi na ni kweli wapo vizuri kwenye hilo eneo na mashambulizi ya kustukiza,Tosin atatusaidia kupitia pass zake zile ili tufanye transition ya haraka kuvunja shape yao ya ulinzi.

Madueke of course leo tunamwitaji zaidi kwasababu ni mzuri kwenye 1 v 1 na anajua kuforce kama akiwa kwenye ubora wake itusaisie ku unlock defence yao
 
Timu dhidi ya Forest

Line up: 4-2-3-1

-----------------Jackson-------------------

Sacho ----------Palmer ------------Madueke

-------Enzo ------------------Caicedo-------

Cucurella ------Colwill-----Fofana-------Gusto

------------------Sanchez------------------

Bench:
  1. Jorgensen
  2. Adarabioyo
  3. Disasi
  4. Veiga
  5. Lavia
  6. Mudryk
  7. Neto
  8. Felix
  9. Nkunku
Squad Players
1) Badiashile
2) Chukwuemeka
3) Bettinelli
4) Casadei
5) Marc Guiu
6) KDH
7) Chilwell
 
Japo ushiundi wa leo hautatupeleka juu ya table bali kumfunga Forest ni moja ya mechi muhimu kabla hatujakutana na Liverpool baada ya International break. Forest ni wazuri kwenye low block defending. watakaotuponya pekee ni Sacho, Enzo na Plamer, hawa ndio wachezaji ambao ni creative so far
wakiingia akina Nkunku na Neto baadaye watakuta wamechoka
Goli la kwanza la mapema la Chelsea itatuhakikishia ushindi kwa sababu wakijaribu kufunguka tutawaongezea
Kibarua kigumu sana, hao wahuni hata kama tukiwatangulia bado tunapaswa kuwa na nidhamu kubwa sana na kutofanya makosa ya kipumbavu ya kukosa kosa clear chances to score goals.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Timu dhidi ya Forest

Line up: 4-2-3-1

-----------------Jackson-------------------

Sacho ----------Palmer ------------Madueke

-------Enzo ------------------Caicedo-------

Cucurella ------Colwill-----Fofana-------Gusto

------------------Sanchez------------------

Bench:
  1. Jorgensen
  2. Adarabioyo
  3. Disasi
  4. Veiga
  5. Lavia
  6. Mudryk
  7. Neto
  8. Felix
  9. Nkunku
Sijui kwanini Fofana anapendwa sana na kocha
 
Wekeni namba(G/A) za Neto hapa na dkk alizocheza tangia aje Chelsea,,,, ! Mnakumbuka bei mliyomnunulia lakini ?

Wale mbwa wa mwituni watawafinya, tena mtoto wa nyumbani kabisa CHO atawalaza midomo wazi
 
1728218028006.png
 
Mimi nikiandika hapa kuhusu Madueke ni TAKATAKA watu wananijia juu, huwa nawashangaa sana. Inamaana huo ujinga anafanya uwanjani unao tu fanya tukose magoli ya wazi huwa hamuoni?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom