Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umesema sahihi kabisa. Ile mechi yetu dhidi ya Bournemouth away ile ambayo Nkunku anaingia nafasi ya Jackson anafunga goli la ushindi. Nkunku aliulizwa wakati unaingia kuchukua nafasi ya Jackson kocha (Enzo) alikwambia neno gani? Nkunku kajibu wakati naingia kocha aliniambia I NEED QUALITY IN THE BOX. Nkunku akaingia Jackson akatoka na Nkunku alifunga goli la ushindi dakika za jioni.

Mimi naamini mapungufu kocha anayaona inabaki kazi ya mchezaji kujirekebisha tu. Huwezi ukawa unakosa nafasi zote zile halafu mechi inayofata unaendelea kuanza dhidi ya Nkunku we huogopi kama huo ni mtego.?
Mtego mkubwa wa kuchimbiwa shimo na kufunikiwa na manyasi juu
 
Kinachomsaidia Jackson ana offer vitu vingi uwanjani ndio maana anaanza dhidi ya Nkuku sijui kwanini amulielewi hili, Jackson ana press, ana movement nzuri na nimzuri kwenye kujiposition zinazomfanya awe anapata nafasi nyingi unazoziona na pia anachezesha wenzake na kuwafanya wawe bora hivi ujiulizi kwanini Nkuku akicheza nafasi zinakuwa chache? Ni sawa na case ya Madueke pamoja ni kwamba ni mchoyo but uzuri wake anafanya defensively work kitu ambacho Neto, Felix,Sancho,Enzo hawafanyi so anapoamua kumpiga benchi Madueke it means that kuna kuwa inbalance kwenye angle ya defensively cos tutakuwa tunawachezaji wengi ambao hawakabi
Cash Money Forever
Mkuu sio chuki nayoyasema kwa sababu naujua ubora wa Jackson lakini pia tunachokisema kinaonekana. Kinachozungumzwa hapa ni makosa ya kujirudia rudia yanayojitokeza katika nafasi anayocheza. Lakini nayasema haya kwa kumlinganisha anayemuweka bench Nkunku. Nkunku ni bora kwa kila kitu kumzidi Jackson japo kiuhalisia Nkunku ni mzuri zaidi kutokea pembeni kama Mbappe vile
 
Mkuu sio chuki nayoyasema kwa sababu naujua ubora wa Jackson lakini pia tunachokisema kinaonekana. Kinachozungumzwa hapa ni makosa ya kujirudia rudia yanayojitokeza katika nafasi anayocheza. Lakini nayasema haya kwa kumlinganisha anayemuweka bench Nkunku. Nkunku ni bora kwa kila kitu kumzidi Jackson japo kiuhalisia Nkunku ni mzuri zaidi kutokea pembeni kama Mbappe vile
Hivi nikuulize kati ya Nkuku na Jackson nani ana press sana? Nani mzuri kwenye dribble? Nani mzuri kwenye link up playing?
 
Mkuu, Victor Osimhen ni TAKATAKA tu bora tubaki na takataka Jackson kuliko hilo kubwa jinga la karne. Nilishangaa sana nilipo sikia na kuona tunahusishwa na kutaka kumsajili, aisee nilikuwa nawaza sana wameona nini kwa hilo takataka.

Kama kweli tunataka straika mzuri na atake leta matokeo chanya kwenye klabu yetu ata ikiwezekana ku mchallenge Haaland kwenye ufugaji wa magori, basi hatuna budi kwa upesi na haraka zaidi mwezi Januari tumlete ama tumchukue VIKTOR GYOKERES. Huyo ndio straika sahihi sio lile takataka.

Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiandika hapa kuhusu wachezaji tunaopaswa kuwasajili ila bodi imekuwa ikienda tofauti kabisa, ni vile siko kwenye bodi. Mimi nafuatilia michezo na wachezaji, kwahiyo kwa ukubwa nawafahamu wachezaji wazuri ata nje ya Ulaya. Laiti ningelikuwa moja ya scout wa Chelsea basi kwa hakika tungenufaika na wachezaji wazuri mno, nimewahi shauri hapa hapa wachezaji wazuri wengi wa kuwachukua kama mnakumbuka.

Niko kwenye hatua za mwisho, kuna midfield namfuatilia kisha nitawaletea hapa hapa. Ni bora zaidi kuliko huyu takataka tulie nae Enzo.
Usajili wa Victor Osimhen haukwepeki
 
Anaweza akawa ni mchoyo lakini ana offer defensively work kitu ambacho kinafanywa na wachezaji wachache ndani ya team ukimuondoa Caicedo Enzo hakabi,Sancho hakabi na Palmer pia
Hamna kitu humo, kama ni defensive work si bora angebak na ghallager tu ambae alikua anakaba mpk kivuli.
 
Nadhani Enzo anayo sababu ya kumpanga Madueke 1st Eleven, anampa nafasi ya kujiboresha zaidi. Lakini pale kocha atakapoona habadiliki hakika Madueke ataanza kutokea sub.
Madueke hata akicheza vizuri anatakiwa aanzie benchi. Attitude yake mbaya sana, anaweza badilika lakini baada ya kuitosa timu. He is not a team player
 
Ndugu unaposema beki kamkazia unataka asitekeleze jukumu lake? Unachotakiwa kuelewa ni kubwa Jackson ni mzito kwenye maamuzi. Anajivuta sana. Kwa game kama ya jana jinsi chance zilikua zinatengenezwa alipaswa awe na goli lakini ndio ivyo huwezi laumu ni average player.
Nampenda sana Jackson ila kwa hapa naungana na wewe. Kule Twitter nimeandika kuhusu uzito wa Jackson kwenye hiyo pasi ya Plamer ya ku break line za mabeki aliipokea mpira vizuri sana ila akaweka uzito kwenye kuamua kupiga shuti kweny6e golin la wazi hadi Dunk akaslide kublock. Nampenda Jackso kwa sababu hizo nafasi wachezaji kama akina Haaland pekee ndio wanaoweza kuzitengeneza. Tofauti yake na Haaland amnakuwa sio aggresive.
 
Kweli Hansi Flick ni daraja tofauti na Enzo lakini bado haijafika hatua Enzo kuwa takataka. Kuna vitu anafanya ni superb ila kuna baadhi nahisi bado anaona muda anao wa kufanya mabadiliko. So far Enzo anajitahidi sana nadhani homework yake kwa sasa ni kuziba mianya ya kuruhusu magoli kifalafala. Inayofata ni kupata jibu la kwenye midfield ya Enzo na Caicedo.

Mabadiliko ya haraka haraka Madueke hatakiwi kuanza, piga bench Jackson awe anatokea bench nafasi yake aanze Nkunku.
Enzo ameifanya Westham ionekane Takataka, Ameifanya Brighton ionekane takataka kwa sababu ya mbinu
UZuri wa Enzo kila opponent anakuja na plan B ya kumshinda
 
Kweli Hansi Flick ni daraja tofauti na Enzo lakini bado haijafika hatua Enzo kuwa takataka. Kuna vitu anafanya ni superb ila kuna baadhi nahisi bado anaona muda anao wa kufanya mabadiliko. So far Enzo anajitahidi sana nadhani homework yake kwa sasa ni kuziba mianya ya kuruhusu magoli kifalafala. Inayofata ni kupata jibu la kwenye midfield ya Enzo na Caicedo.

Mabadiliko ya haraka haraka Madueke hatakiwi kuanza, piga bench Jackson awe anatokea bench nafasi yake aanze Nkunku.
Mimi maoni yangu kwa Jackson na Nkunku ni hii
Nkunku hawezi kufanya runs na kuingia kwenye positions ambazo Jackson ni mzuri kwayo, Nkunku hawezi kuwachezesha wenzake kama Jackson
Ila Nkunku ni finisher mzuri sana
Maoni yangu kocha awe anawarotate, asimuazishe tu Jackson mfululizo, pia amchezedsha Nkunku kwenye Na. 10 pia
 
We jamaa umetoa lecture kama Prof wa Chuo kikuu. Mi napenda members wanauona mpira kwa Angel nyingine.

Nakuunga mkono tofauti kati ya Enzo na Makocha wengine mfano Thomas Tuchel, Klop, Conte n.k makocha hao hawakuonyeshi madhaifu ya wachezaji kwenye timu zao, mifumo yao na style zao za uchezaji zinabeba madhaifu ya wachezaji.

Enzo mifumo na style zake unakuonyesha ubora na udhaifu wa mchezaji mmoja mmoja, eneo moja moja (Ulinzi, Kiungo na Ushambuliaji).

Kiufupi kwenye mifumo ya kocha Enzo, eneo linakuwa bora kutokana na ubora wa wachezaji kwenye eneo husika. Ndio maana tunamuona Jackson na Madueke wanazingua, Utawaona Caicedo, Cucurela, Sancho, Palmer na wengine wanakiwasha kwenye maeneo yao kwa sababu wanaonyesha ubora wao.

Madueke sio mchezaji mbaya ila mapungufu madogo madogo ndio yanamuumbua kwenye ubora mkubwa wa mbinu na style za Kocha. Madueke anatakiwa aende sambamba na details za ubora kocha anazotaka kutoka kwake kama mchezaji na sio Madueke kujichezea ilimradi anajiona ana kipaji na uwezo
Ukitaka kumjua Enzo ni mzuri, mfuatilie anavyopiga pasi. Nguvu yake kubwa iko hapo. Build up nyingi huwa zinaanzia kwa Enzo halafu kuna watu wanamponmda bure na hawajiulizi kwa nini kocha anampanga kila mechi. Wazo la kocha ilikuwa ni kwamba Enzo atumike kama DM wakati timu haina mpira na ikiwa na mpira atumike kama na. 8 huku Enzo na ma fullback wasaidie kwenye kukaba line ya kiungo kabloa haijafika kwa mabeki

Madueke yeyey tatizo lake kubwa ni attitude na personality yake. Asipobadilika ataendlkea kuwa mchezaji wa kawaida sana na ile hattrick aliyobahatisha itakuwa historia. Ukitaka kujua ubovu wa madueke mfuatilie akishafika golini, hata akiwa na wenzake wannne walio klenye golden position ya kufunga yeye atalazimisha kupiga shuti golini hata kama kwa kufanya hivyo atapoteza mpira. Kocha anatakiwa kumpiga benchi na nafasi yake ichukuliwe na Neto au Nkunku.

Ni aibu kubwa sana Madueke anacheza uwanjan i kila mechi wakati Nkunku au Neto wanasugua benchi
 
Kinachomsaidia Jackson ana offer vitu vingi uwanjani ndio maana anaanza dhidi ya Nkuku sijui kwanini amulielewi hili, Jackson ana press, ana movement nzuri na nimzuri kwenye kujiposition zinazomfanya awe anapata nafasi nyingi unazoziona na pia anachezesha wenzake na kuwafanya wawe bora hivi ujiulizi kwanini Nkuku akicheza nafasi zinakuwa chache? Ni sawa na case ya Madueke pamoja ni kwamba ni mchoyo but uzuri wake anafanya defensively work kitu ambacho Neto, Felix,Sancho,Enzo hawafanyi so anapoamua kumpiga benchi Madueke it means that kuna kuwa inbalance kwenye angle ya defensively cos tutakuwa tunawachezaji wengi ambao hawakabi
Cash Money Forever
Baadhi ya vitu anavyoofa Jackson ni
  1. Anakimbila kwenye nafasi nzuri kila wakati
  2. Anapress sana
  3. Akipokea mpira hapotezi hovyo
  4. Anajua kuserereka na mpira na daima anaangalia kushambulia zaidi
  5. Anachezesha wenzake na pasi zake ni acurate passes
Nkunku yeye saa nyingine anapotea kabisa kama asipopata mtu wa kumhudumia vizuri kwasababu hafanyi runs za kutosha kama Jackson au Palmer
Uzuri pekee wa Nkunku ni finishing nzuri na anajua kupiga mashuti ya nguvu

Bado nasisitiza kocha afanye rotation au kumchezesha Nkunku namba 10 na Palmer RW
 
Mkuu, Victor Osimhen ni TAKATAKA tu bora tubaki na takataka Jackson kuliko hilo kubwa jinga la karne. Nilishangaa sana nilipo sikia na kuona tunahusishwa na kutaka kumsajili, aisee nilikuwa nawaza sana wameona nini kwa hilo takataka.

Kama kweli tunataka straika mzuri na atake leta matokeo chanya kwenye klabu yetu ata ikiwezekana ku mchallenge Haaland kwenye ufugaji wa magori, basi hatuna budi kwa upesi na haraka zaidi mwezi Januari tumlete ama tumchukue VIKTOR GYOKERES. Huyo ndio straika sahihi sio lile takataka.

Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiandika hapa kuhusu wachezaji tunaopaswa kuwasajili ila bodi imekuwa ikienda tofauti kabisa, ni vile siko kwenye bodi. Mimi nafuatilia michezo na wachezaji, kwahiyo kwa ukubwa nawafahamu wachezaji wazuri ata nje ya Ulaya. Laiti ningelikuwa moja ya scout wa Chelsea basi kwa hakika tungenufaika na wachezaji wazuri mno, nimewahi shauri hapa hapa wachezaji wazuri wengi wa kuwachukua kama mnakumbuka.

Niko kwenye hatua za mwisho, kuna midfield namfuatilia kisha nitawaletea hapa hapa. Ni bora zaidi kuliko huyu takataka tulie nae Enzo.
Pamoja na kwamba tunatofautiana kwa falsafa yako TAKATAK ila hili la Osimhen nakuunga mkono
Jackosn ni mzuri kuliko Osimhen. na akiletwa ni9na uhakika Nkunku ataomba kuondoka
 
Mimi maoni yangu kwa Jackson na Nkunku ni hii
Nkunku hawezi kufanya runs na kuingia kwenye positions ambazo Jackson ni mzuri kwayo, Nkunku hawezi kuwachezesha wenzake kama Jackson
Ila Nkunku ni finisher mzuri sana
Maoni yangu kocha awe anawarotate, asimuazishe tu Jackson mfululizo, pia amchezedsha Nkunku kwenye Na. 10 pia
Southern Highland umeona nilichokuwa nakisema
 
Baadhi ya vitu anavyoofa Jackson ni
  1. Anakimbila kwenye nafasi nzuri kila wakati
  2. Anapress sana
  3. Akipokea mpira hapotezi hovyo
  4. Anajua kuserereka na mpira na daima anaangalia kushambulia zaidi
  5. Anachezesha wenzake na pasi zake ni acurate passes
Nkunku yeye saa nyingine anapotea kabisa kama asipopata mtu wa kumhudumia vizuri kwasababu hafanyi runs za kutosha kama Jackson au Palmer
Uzuri pekee wa Nkunku ni finishing nzuri na anajua kupiga mashuti ya nguvu

Bado nasisitiza kocha afanye rotation au kumchezesha Nkunku namba 10 na Palmer RW
Southern Highland
 
Ukitaka kumjua Enzo ni mzuri, mfuatilie anavyopiga pasi. Nguvu yake kubwa iko hapo. Build up nyingi huwa zinaanzia kwa Enzo halafu kuna watu wanamponmda bure na hawajiulizi kwa nini kocha anampanga kila mechi. Wazo la kocha ilikuwa ni kwamba Enzo atumike kama DM wakati timu haina mpira na ikiwa na mpira atumike kama na. 8 huku Enzo na ma fullback wasaidie kwenye kukaba line ya kiungo kabloa haijafika kwa mabeki

Madueke yeyey tatizo lake kubwa ni attitude na personality yake. Asipobadilika ataendlkea kuwa mchezaji wa kawaida sana na ile hattrick aliyobahatisha itakuwa historia. Ukitaka kujua ubovu wa madueke mfuatilie akishafika golini, hata akiwa na wenzake wannne walio klenye golden position ya kufunga yeye atalazimisha kupiga shuti golini hata kama kwa kufanya hivyo atapoteza mpira. Kocha anatakiwa kumpiga benchi na nafasi yake ichukuliwe na Neto au Nkunku.

Ni aibu kubwa sana Madueke anacheza uwanjan i kila mechi wakati Nkunku au Neto wanasugua benchi
Mkuu mbona U-turn tena, wakisema wenzako unakuja juu as if mpira unaangalia peke ako wengine vipofu.
Madueke alitakiwa awe Ipswich town FC kule lakini sio kucheza Chelsea.
 
Mkuu mbona U-turn tena, wakisema wenzako unakuja juu as if mpira unaangalia peke ako wengine vipofu.
Madueke alitakiwa awe Ipswich town FC kule lakini sio kucheza Chelsea.
Madueke ni mchezaji mzuri, ni kwamba tu kuna wazuri zaidi yake na ndio point yangu kuu ya yeye aanzie benchi. Sikuwahi kukataa kuwa Madueke ni mbinafsi na mchoyo. Point yangu siku zote niliamini atabadilika kwa sababu bado ana utoto na umri wake mdogo. Akianzia benchi atajifunza
 
Ukitaka kumjua Enzo ni mzuri, mfuatilie anavyopiga pasi. Nguvu yake kubwa iko hapo. Build up nyingi huwa zinaanzia kwa Enzo halafu kuna watu wanamponmda bure na hawajiulizi kwa nini kocha anampanga kila mechi. Wazo la kocha ilikuwa ni kwamba Enzo atumike kama DM wakati timu haina mpira na ikiwa na mpira atumike kama na. 8 huku Enzo na ma fullback wasaidie kwenye kukaba line ya kiungo kabloa haijafika kwa mabeki

Madueke yeyey tatizo lake kubwa ni attitude na personality yake. Asipobadilika ataendlkea kuwa mchezaji wa kawaida sana na ile hattrick aliyobahatisha itakuwa historia. Ukitaka kujua ubovu wa madueke mfuatilie akishafika golini, hata akiwa na wenzake wannne walio klenye golden position ya kufunga yeye atalazimisha kupiga shuti golini hata kama kwa kufanya hivyo atapoteza mpira. Kocha anatakiwa kumpiga benchi na nafasi yake ichukuliwe na Neto au Nkunku.

Ni aibu kubwa sana Madueke anacheza uwanjan i kila mechi wakati Nkunku au Neto wanasugua benchi
Well said lembu Madueke atokee benchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom