Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Huwa nasema hapa Sanchez ni takataka sijapata kuona mnakuja midomo juu kumtetea eti kabadilika, huyo takataka kabadilika nini? Huwezi pambania ubingwa wa EPL ukiwa na kipa takataka kama huyo.
Huyo Kocha kilaza ni nini huwa anaona cha ziada kwa Madueke? Madueke ni takataka ambayo imeoza kabisa, chezaji choyo utadhani timu ni yake. Yaani uchukue ubingwa na takataka kama ile itakakuwa maajabu sana. Unashindwa kuanza na Neto unaanza na takataka, kule kocha ni takataka sana.
Fofana na Jackson hawa matakataka muda mwingine wanafurahisha sana.
Huyo Kocha kilaza ni nini huwa anaona cha ziada kwa Madueke? Madueke ni takataka ambayo imeoza kabisa, chezaji choyo utadhani timu ni yake. Yaani uchukue ubingwa na takataka kama ile itakakuwa maajabu sana. Unashindwa kuanza na Neto unaanza na takataka, kule kocha ni takataka sana.
Fofana na Jackson hawa matakataka muda mwingine wanafurahisha sana.