Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kinachomsaidia Jackson ana offer vitu vingi uwanjani ndio maana anaanza dhidi ya Nkuku sijui kwanini amulielewi hili, Jackson ana press, ana movement nzuri na nimzuri kwenye kujiposition zinazomfanya awe anapata nafasi nyingi unazoziona na pia anachezesha wenzake na kuwafanya wawe bora hivi ujiulizi kwanini Nkuku akicheza nafasi zinakuwa chache? Ni sawa na case ya Madueke pamoja ni kwamba ni mchoyo but uzuri wake anafanya defensively work kitu ambacho Neto, Felix,Sancho,Enzo hawafanyi so anapoamua kumpiga benchi Madueke it means that kuna kuwa inbalance kwenye angle ya defensively cos tutakuwa tunawachezaji wengi ambao hawakabi
Cash Money Forever
Kwa Akili Mlemba Jackson nakuunga mkono kwamba anaofa vitu vingi kuliko kufunga magoli.

Ila kwa Madueke amesema anasaidia kukaba na mashaka nalo, anasaidia kwa kiwango gani kwenye kukaba?

Je James akirudi uwanjani kwenye ubora wake kuna haja ya kumtegemea hiyo Madueke Kwenye ukabaji unaosema?
 
Mkuu, Victor Osimhen ni TAKATAKA tu bora tubaki na takataka Jackson kuliko hilo kubwa jinga la karne. Nilishangaa sana nilipo sikia na kuona tunahusishwa na kutaka kumsajili, aisee nilikuwa nawaza sana wameona nini kwa hilo takataka.

Kama kweli tunataka straika mzuri na atake leta matokeo chanya kwenye klabu yetu ata ikiwezekana ku mchallenge Haaland kwenye ufugaji wa magori, basi hatuna budi kwa upesi na haraka zaidi mwezi Januari tumlete ama tumchukue VIKTOR GYOKERES. Huyo ndio straika sahihi sio lile takataka.

Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiandika hapa kuhusu wachezaji tunaopaswa kuwasajili ila bodi imekuwa ikienda tofauti kabisa, ni vile siko kwenye bodi. Mimi nafuatilia michezo na wachezaji, kwahiyo kwa ukubwa nawafahamu wachezaji wazuri ata nje ya Ulaya. Laiti ningelikuwa moja ya scout wa Chelsea basi kwa hakika tungenufaika na wachezaji wazuri mno, nimewahi shauri hapa hapa wachezaji wazuri wengi wa kuwachukua kama mnakumbuka.

Niko kwenye hatua za mwisho, kuna midfield namfuatilia kisha nitawaletea hapa hapa. Ni bora zaidi kuliko huyu takataka tulie nae Enzo.
Sijamfuatilia sana huyo Gyokeres naomba nipokee ushauri wako nitaanza kumfuatilia uwezo wake vs Victor Osmeh
 
Kwa Akili Mlemba Jackson nakuunga mkono kwamba anaofa vitu vingi kuliko kufunga magoli.

Ila kwa Madueke amesema anasaidia kukaba na mashaka nalo, anasaidia kwa kiwango gani kwenye kukaba?

Je James akirudi uwanjani kwenye ubora wake kuna haja ya kumtegemea hiyo Madueke Kwenye ukabaji unaosema?
Ni vile tu huangalii mpira kwa umakini Madueke anatoa usaidizi kwa back wetu wa pembeni hasa tukiwa hatuna mpira anarudi nyuma kusaidia mbona hata kocha kalizungumza hili tena against Westham I think pale andapo ataacha kusaidia ukabaji ndio ambapo atatemwa kwenye first eleven maana hilo ndio linambeba kwa sasa.
 
Ni vile tu huangalii mpira kwa umakini Madueke anatoa usaidizi kwa back wetu wa pembeni hasa tukiwa hatuna mpira anarudi nyuma kusaidia mbona hata kocha kalizungumza hili tena against Westham I think pale andapo attachable kusaidia ukabaji ndio ambapo atatemwa kwenye first eleven maana hilo ndio linambeba kwa sasa.
Ni kweli pale Madueke anaposhika mpira huwa siangaliagi ujinga ujinga wake wa ubinafsi.
 
Ni kweli pale Madueke anaposhika mpira huwa siangaliagi ujinga ujinga wake wa ubinafsi.
Nimesema tukiwa hatuna mpira Madueke anafanya nini? Ndipo hapo anamsaidia beki wetu wa pembeni kukaba endapo ataacha kufanya hivyo ndipo kocha atampiga benchi maana hiko ndicho kinachombeba na kinamfanya aanze kwa sasa
 
Nimesema tukiwa hatuna mpira Madueke anafanya nini? Ndipo hapo anamsaidia beki wetu wa pembeni kukaba endapo ataacha kufanya hivyo ndipo kocha atampiga benchi maana hiko ndicho kinachombeba na kinamfanya aanze kwa sasa
Sawa nasuburia James arudi uwanjani nione kama Madueke ataendelea kupangwa kwa ajili ya kusaidia kukaba
 
Mkuu, Victor Osimhen ni TAKATAKA tu bora tubaki na takataka Jackson kuliko hilo kubwa jinga la karne. Nilishangaa sana nilipo sikia na kuona tunahusishwa na kutaka kumsajili, aisee nilikuwa nawaza sana wameona nini kwa hilo takataka.

Kama kweli tunataka straika mzuri na atake leta matokeo chanya kwenye klabu yetu ata ikiwezekana ku mchallenge Haaland kwenye ufugaji wa magori, basi hatuna budi kwa upesi na haraka zaidi mwezi Januari tumlete ama tumchukue VIKTOR GYOKERES. Huyo ndio straika sahihi sio lile takataka.

Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiandika hapa kuhusu wachezaji tunaopaswa kuwasajili ila bodi imekuwa ikienda tofauti kabisa, ni vile siko kwenye bodi. Mimi nafuatilia michezo na wachezaji, kwahiyo kwa ukubwa nawafahamu wachezaji wazuri ata nje ya Ulaya. Laiti ningelikuwa moja ya scout wa Chelsea basi kwa hakika tungenufaika na wachezaji wazuri mno, nimewahi shauri hapa hapa wachezaji wazuri wengi wa kuwachukua kama mnakumbuka.

Niko kwenye hatua za mwisho, kuna midfield namfuatilia kisha nitawaletea hapa hapa. Ni bora zaidi kuliko huyu takataka tulie nae Enzo.
Omsiheni na Enzo sijawahi kuwaelewa kabisa kiukweli.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Jackson kama hatabadilika kama hatuna striker wa kueleweka atayesaidizana na winga tusahau ubingwa
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-194403.jpg
    Screenshot_20240930-194403.jpg
    170.8 KB · Views: 13
  • Screenshot_20240930-194310.jpg
    Screenshot_20240930-194310.jpg
    306.5 KB · Views: 13
Mkuu wewe ni moja ya wadau ambao tumekuwa pamoja hapa kwa muda mrefu sasa, kumbuka kipindi kile nashauri wachezaji wa kuwa chukua walikuwa wazuri huko waliko kwenda. Hivyo hivyo kwa huyu Gyokeres ni mzuri sana, niko vizuri kwenye kufanya scout.
Sijamfuatilia sana huyo Gyokeres naomba nipokee ushauri wako nitaanza kumfuatilia uwezo wake vs Victor Osmeh
 
Wote hao ni takataka wasikupe shida sana mkuu. Huwa najiuliza mpaka leo ni nini hasa waliona kwa Enzo, mtu anajiita midfield hata kupiga pasi zw uhakika kumfikia mlengwa ni mtihani.
Game dhidi ya Brighton Enzo kutengeneza nafasi tatu za kufunga ndio mchezaji anayeifanya Chelsea itembee kiunganishi kati ya midfielder na safu ya mshambuliaji ndio maana alivyotoka tu mashambulizi yalipungua.kitu ambacho unatakiwa ukijue kwenye team yetu Enzo ndio mpigaji pass wetu mzuri kitu pekee ninachokiona kimepungua kwa Enzo ni ukabaji ila sio masuala ya pasi
 
Mechi inayo fuata mfuatilie kwa umakini asikumbaze kwa mechi moja. Hawa wachezaji sio kwamba nawaponda hapana ni vile ni matakataka hawafai kucheza timu kubwa kama Chelsea. Mnapaswa pia mjiulize kwa nini Cole Palmer simsemi vibaya.
Game dhidi ya Brighton Enzo kutengeneza nafasi tatu za kufunga ndio mchezaji anayeifanya Chelsea itembee kiunganishi kati ya midfielder na safu ya mshambuliaji ndio maana alivyotoka tu mashambulizi yalipungua.kitu ambacho unatakiwa ukijue kwenye team yetu Enzo ndio mpigaji pass wetu mzuri kitu pekee ninachokiona kimepungua kwa Enzo ni ukabaji ila sio masuala ya pasi
 
Mechi inayo fuata mfuatilie kwa umakini asikumbaze kwa mechi moja. Hawa wachezaji sio kwamba nawaponda hapana ni vile ni matakataka hawafai kucheza timu kubwa kama Chelsea. Mnapaswa pia mjiulize kwa nini Cole Palmer simsemi vibaya.
Kutokana na nafasi yake anayocheza ni rahisi Cole Palmer kuonekana tofauti na mtu kama Enzo kama pasi zake zingekuwa zinatumiwa vizuri usingekuwa unamwita takataka.sometime anapiga key passes nyingi ambazo zinapelekea utengenezwaji wa goal wewe utaona wapi kwasababu unaangalia kwa mihemko badala ya kucheki ball kwa umakini
 
Mechi inayo fuata mfuatilie kwa umakini asikumbaze kwa mechi moja. Hawa wachezaji sio kwamba nawaponda hapana ni vile ni matakataka hawafai kucheza timu kubwa kama Chelsea. Mnapaswa pia mjiulize kwa nini Cole Palmer simsemi vibaya.
Kwan mkuuu papaa Gx unashida gani na wachezaji wa Chelsea kwako mbona kma hawana faida na hakuna hata mchezaji ww nahisi unamuona kwako anacheza vizr cjui nani ssa page ya Chelsea ipo kwa nni usiombe kazi ya scouting ukafanya hyo kazi maana hata upstairs unaoneka kuna shida sijawahi ona hata siku moja ukawasemea vzr kana kwamba mpira unaangalia peke yako na kama timu hawawezikuleta wachezaji woteeeeunao wataka ww UNAZINGUA
 
Mkuu wewe ni moja ya wadau ambao tumekuwa pamoja hapa kwa muda mrefu sasa, kumbuka kipindi kile nashauri wachezaji wa kuwa chukua walikuwa wazuri huko waliko kwenda. Hivyo hivyo kwa huyu Gyokeres ni mzuri sana, niko vizuri kwenye kufanya scout.
Nakuaminia Mkuu kwenye kufanya Scout kweli umekuwa ukitaja aina ya wachezaji mbalimbali wazuri itoshe kusema una jicho la kimpira na unafuatilia mpira wa ligi mbalimbali
 
Game dhidi ya Brighton Enzo kutengeneza nafasi tatu za kufunga ndio mchezaji anayeifanya Chelsea itembee kiunganishi kati ya midfielder na safu ya mshambuliaji ndio maana alivyotoka tu mashambulizi yalipungua.kitu ambacho unatakiwa ukijue kwenye team yetu Enzo ndio mpigaji pass wetu mzuri kitu pekee ninachokiona kimepungua kwa Enzo ni ukabaji ila sio masuala ya pasi
Mwanzoni Enzo alivyotua THE BLUES ndio alikuwa anapiga pass sana za kila aina.
 
Madueke ni mchezaji mzuri, ni kwamba tu kuna wazuri zaidi yake na ndio point yangu kuu ya yeye aanzie benchi. Sikuwahi kukataa kuwa Madueke ni mbinafsi na mchoyo. Point yangu siku zote niliamini atabadilika kwa sababu bado ana utoto na umri wake mdogo. Akianzia benchi atajifunza
Kama umeanza kumuona madueke hafai saizi basi Kuna watu walianza kumuona kabla ya wew na ulitakiwa kuheshimu mitazamo ya wenzako kama ambavyo wengine wanaheshimu mtizamo wako.
 
Mwanzoni Enzo alivyotua THE BLUES ndio alikuwa anapiga pass sana za kila aina.
Angalia ile pass aliyopiga kwenda kwa Madueke alivunja line ya defence ya upinzani Madueke akatembea nayo then akamlaza defender akapiga akakosa goal hivi angefunga si mngesifia pass ya Enzo? Penalty aliyofunga Cole Palmer ilitokana na pass ya Enzo alimpenyezea Sancho kwa mbele defenders wa Brighton wakachezea rafu Sancho ndio ikawa Penalty. Tuje kwenye goal la nne limetokana na key pass ya Enzo alinyakuwa mpira akampa pass Sancho ndipo Sancho akaassist kwa Palmer likawaga goal. Muwe mnacheki ball kwa umakini eti Papaa Gx anamwita Enzo takataka kweli?
 
Kama umeanza kumuona madueke hafai saizi basi Kuna watu walianza kumuona kabla ya wew na ulitakiwa kuheshimu mitazamo ya wenzako kama ambavyo wengine wanaheshimu mtizamo wako.
Ni mchezaji ambaye anafaa sema anahitaji kupewa changamoto kwa kukaa benchi ili ajifunze kwa wenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom