Neno takataka lina maana below average kitu ambacho ukitumia kwa mchezaji kama Enzo ni too harsh, ila Enzo ukitoa miezi 6 ya mwanzo ameonyesha kiwango average compare na price yake, ni kiwango cha mchezaji wa £30, ni Jorginho type aliyechangamka, mzuri kwenye long range pass tu
Hawezi kucover space na mpira ili kuruhusu forwards wasogee kwenye eneo hatari
Hawezi kuficha mpira ili aruhusu transformation kutoka defensive shape to attacking shape
Kwenye kukaba 1v1 ndio very poor hatumdai awe mkabaji kwa 80% ila alitakiwa kuwa na skills angalau 55% maana kwa eneo analocheza ni hatari kuwa kiungo chujio kwa mwamvuli wa kupiga pass
Tuna wachezaji luxury wengi hapo mbele sasa ukiwa na second line baada ya defence isiyoweza kukaba huku pembeni mawinga nao wanaoffer less kwenye kukaba timu inatengeneza mashimo mengi hivyo huwezi kuwa class ya timu kama R. Madrid, Arsenal, man city kiushindani
Uwepo wa Enzo unamfanya Jackson ahitajike zaidi maana angalau timu inaongeza number ya wasaka mpira