Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sikilizeni alichoambiwa Palmer na alichojibu 🔥

 
1000038369.jpg
sema jackson muda mwingine..
 
Cole Palmer ni usajili na usajili bora kabisa kwa Chelsea ndani ya miaka hii kumi .
Acha kabisa ,dogo linaubonda mwingi sana ,kiufupi pale mbele kumeanza kupata makali ya kutosha ,imebaki back line ,yule fala Sanchez naye ni mwezi mchanga ,kama mwendawazimu flani hivi ,ale benchi fala yule .
Kwakweli nimeanza kufurahia hii Chelsea kwa mara ya kwanza tangia aondoke Tuchel
Na Fofana nae ni mzinguaji sio mtulivu
 
Kuna yule jamaa anamuitaga jackson TAKATAKA na mimi namuunga mkono huwezi kugombania ubingwa alafu unamshambuliaji anapoteza nafasi kibao
Sio kweli Jackson ni mchezaji mzuri sema yule beki kamkazia sana. Jackson ana offer vitu vingi kwenye team ndio anafanya pale mbele panoge ni mzuri kwenye link up playing, ana press, anatengeneza nafasi kwa wenzake na ana movement nzuri zinazosaidia hata Palmer kuingia inside
 
Kocha amefanya kosa moja la kutomchezesha Tosin, Tosin ni mchezaji kiongozi ambaye analeta utulivu pale kwenye beki ndio anafanya hata safu nzima iwe na confidence na kuwa calmness kwenye decision.

Mmeonatofauti ya kati ya Nkuku na Jackson, baada ya kuingia Nkuku nafasi zikawa hazipo kabisa unajua ni kwanini? Watu wengi wanamsema sana Jackson anakosa nafasi nyingi but hizo nafasi hazijikwabahati mbaya ni kwa sababu Jackson anajua kujiposition kuliko Nkuku,anajua kulink up na wenzake na kufanya wenzake wawe bora ikiwemo Palmer, na nimzuri kwenye dribble so kwa wapinzani wanao tudominate tunamwitaji zaidi Jackson kwa hizo kazi but Nkuku atahitajika pale ambao sisi ndio tumedominate mchezo magoal yake ndio tutahitaji.

Cash Money Forever
lembu
Kimbukiko
juan david
Franky Samuel
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom