Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Fofana na gusto hamna muunganiko
Beki na kipa waoMistake za mabeki
Kipa baba.. magoli yote mawili kipa. Sijui kalala na malaya jana huyu...Bado kuna tatizo kwenye backline.
Kazinguq sanaNyote mnaona akili za Madueke? Alikua anaweza kutoa pasi tukaongeza goli ila ubinafsi umemjaa
Madueke mvuta bangiNyote mnaona akili za Madueke? Alikua anaweza kutoa pasi tukaongeza goli ila ubinafsi umemjaa
Sawa😂Haya sasa twende kazi, pambaneni mshinde
mmeshenyetwa mapema hivi
Usihofu mkuu ,leo tunafanya mauaji ya kimbali , hatuna mzahammeshenyetwa mapema hivi
Duh Palmer aongezewe mshahara wa Reece James
Ha ha mkuu habari za siku kiongozimmeshenyetwa mapema hivi
Sio tu kaacha uchoyo, anajitahidi kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi hasa akiwa karibu na goli. Huo ulikuwa udhaifu wake mkubwa msimu uliopitaJackson kaacha uchoyo ila Madueke bado uchoyo umemjaa