Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jamaa anadhani hatuwaangalii vizuri hao Wachezaji kiuwezo, pia Yamal huwahi kukata pumzi kuliko William na clinical finishing to score hana ubora huo kuliko William.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Tajeni uzuri wa williams kama winga na kitu gani, tuanzie hapo
 
Nkunku message after last night game against Barrow
1727271577301.png
 
Poch na huyu kilaza Enzo wote ni matakataka. Kocha ni Hans Flick huyo ndio ilipaswa tumchukue. Huwezi pigania ubingwa mbele ya City ukiwa na matakataka kama Enzo Fernandez, Madueke, Jackson, Fofana, Sanchez na mbaya zaidi ukiwa na kocha kilaza.

Kocha inapaswa uwe mzuri ata kwenye kuona wachezaji wazuri kwenye madirisha ya usajili. Niambie toka Pep ameanza kusajili ni lini amesajili takataka kama tunazo sajili?
Unamaanisha nini kwani? Maana wewe kila text yako ni kucrush hata ushindi wa kimbinu na wa kuridhisha wa west ham bado unacrush tu...au wewe ni timu pochetino?
 
Poch na huyu kilaza Enzo wote ni matakataka. Kocha ni Hans Flick huyo ndio ilipaswa tumchukue. Huwezi pigania ubingwa mbele ya City ukiwa na matakataka kama Enzo Fernandez, Madueke, Jackson, Fofana, Sanchez na mbaya zaidi ukiwa na kocha kilaza.

Kocha inapaswa uwe mzuri ata kwenye kuona wachezaji wazuri kwenye madirisha ya usajili. Niambie toka Pep ameanza kusajili ni lini amesajili takataka kama tunazo sajili?
Ngoja nikuwekee list ya wachezaji waliofeli chini ya Guardiola
1. Kelvin Phillips
2. Nolito
3. Claudia bravo
4.Zlatan Ibrahimovic
5. Kuna yule dogo Gomez nimemsahau jina la kwanza
6.Ferran Torres
Hao ni baadhi ya niliowakumbuka
Sasa unamlaumu kocha kwa hao wachezaji unaowaita takataka kwani ni yeye aliyewasajili? au kawakuta, si afadhali sasa hivi wanaonyesha kuimprove bado dhambi ya kocha hapo iko wapi?
Hans flick amesajili nani wa maana hapo Barcelona?
Wamiliki wanastrategies ya kununua na kuuza hapo utamlaumu Kocha kilaza wakati kakuta lundo la wachezaji?
Matatizo ya hii timu yameanza baada ya msimu wa kwanza wa Conte timu ilianza kuporomoka taratibu so andaa akili yako kabisa ujue itatugharimu si chini ya misimu 2 kuwa washindani wa kweli kwenye ligi kama angalau 2/3 ya wachezaji wataendelea kuimprove viwango vyao
Mwisho Pep kwa sasa ni kama icon ya makocha (yupo kwenye ulimwengu wake) hata huyo flick asingefanya lolote mbele ya Pep unless unataka kuniambia Flick ni zaidi ya Klopp
 
Ngoja nikuwekee list ya wachezaji waliofeli chini ya Guardiola
1. Kelvin Phillips
2. Nolito
3. Claudia bravo
4.Zlatan Ibrahimovic
5. Kuna yule dogo Gomez nimemsahau jina la kwanza
6.Ferran Torres
Hao ni baadhi ya niliowakumbuka
Sasa unamlaumu kocha kwa hao wachezaji unaowaita takataka kwani ni yeye aliyewasajili? au kawakuta, si afadhali sasa hivi wanaonyesha kuimprove bado dhambi ya kocha hapo iko wapi?
Hans flick amesajili nani wa maana hapo Barcelona?
Wamiliki wanastrategies ya kununua na kuuza hapo utamlaumu Kocha kilaza wakati kakuta lundo la wachezaji?
Matatizo ya hii timu yameanza baada ya msimu wa kwanza wa Conte timu ilianza kuporomoka taratibu so andaa akili yako kabisa ujue itatugharimu si chini ya misimu 2 kuwa washindani wa kweli kwenye ligi kama angalau 2/3 ya wachezaji wataendelea kuimprove viwango vyao
Mwisho Pep kwa sasa ni kama icon ya makocha (yupo kwenye ulimwengu wake) hata huyo flick asingefanya lolote mbele ya Pep unless unataka kuniambia Flick ni zaidi ya Klopp
Mzee umemaliza kila kitu...
 
Huwa naandika hapa tuna lundo la matakataka kibao ila kuna baadhi wanawakingia kifua eti kisa kufunga magoli, kufanga magoli kwenye mechi hakuondoi utakataka. Enzo, Madueke, Jackson, Fofana na Sanchez hawa wote ni matakataka.
Hakika
 
Ngoja nikuwekee list ya wachezaji waliofeli chini ya Guardiola
1. Kelvin Phillips
2. Nolito
3. Claudia bravo
4.Zlatan Ibrahimovic
5. Kuna yule dogo Gomez nimemsahau jina la kwanza
6.Ferran Torres
Hao ni baadhi ya niliowakumbuka
Sasa unamlaumu kocha kwa hao wachezaji unaowaita takataka kwani ni yeye aliyewasajili? au kawakuta, si afadhali sasa hivi wanaonyesha kuimprove bado dhambi ya kocha hapo iko wapi?
Hans flick amesajili nani wa maana hapo Barcelona?
Wamiliki wanastrategies ya kununua na kuuza hapo utamlaumu Kocha kilaza wakati kakuta lundo la wachezaji?
Matatizo ya hii timu yameanza baada ya msimu wa kwanza wa Conte timu ilianza kuporomoka taratibu so andaa akili yako kabisa ujue itatugharimu si chini ya misimu 2 kuwa washindani wa kweli kwenye ligi kama angalau 2/3 ya wachezaji wataendelea kuimprove viwango vyao
Mwisho Pep kwa sasa ni kama icon ya makocha (yupo kwenye ulimwengu wake) hata huyo flick asingefanya lolote mbele ya Pep unless unataka kuniambia Flick ni zaidi ya Klopp
Afadhali umemjibu ki mpira sana maaana yye hapo hajui hata kuchambua kazi ni kuponda tuanashida
 
Shida hamtaki kuambiwa ukweli. Nyote mnatambua kuwa mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Chelsea, ila kwenye ukweli tutasema. Ni muda mrefu sana mnatupinga tukisema ukweli hapa jukwaani, nyie endeleeni ila sito acha kuwasema pale matakataka watakapo zingua.
N autamkuta hata sio shabiki wa Chelsea, katumwa tu
 
Shida hamtaki kuambiwa ukweli. Nyote mnatambua kuwa mimi ni mpenzi na shabiki mkubwa wa Chelsea, ila kwenye ukweli tutasema. Ni muda mrefu sana mnatupinga tukisema ukweli hapa jukwaani, nyie endeleeni ila sito acha kuwasema pale matakataka watakapo zingua.
Atributes ya kocha na wachezaji unaowasema wewe hawako kwenye hii sayari kwa pamoja. Wewe kocha akiwa na kiwango chini ya PEP ni takataka, winga kiwa na kiwango chini ya Messi ni takataka, striker akiwa na kiwango chini ya Drogba ni takataka, Kipa akiwa na kiwango chini ya Petr Cech ni takataka, Hatukuwezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom