Enzo Maresca kwenye mpangilio wake wa kimbinu ambao uliinyanyasa West Ham kwenye kaunta:
"Tulijua tangu waanze msimu, walicheza takriban michezo yote wakiwa na wachezaji watatu nyuma. Ndio, kwa sehemu fulani ya mchezo dhidi ya Fulham na City, walimtoa kiungo mmoja. Lakini pamoja na wale watano, kama leo hivyo tulitarajia hivyo .
Na sababu ya sisi kuweka trigger hapo ni kwa sababu tulijua kuwa na Wan Bissaka upande mmoja na Emerson upande mwingine, beki wao walikuwa juu sana, kwa hivyo wakati tulipopokonya mpira tuliweza kutumia mwanya huo, kama bao la kwanza lilivyofungwa."
View attachment 3102342