Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Fofana, Madueke na Enzo wanapaswa kufanyiwa sub hakuna wanacho fanya uwanjani. Chelsea inacheza kwa kuridhika sana, mipira ya kupeleka mbele inarudishwa nyuma.
Madueke kidogo anajitahidi ila hao wengine mechi imewakataa mapema sana leo hii.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Fofana anakaba mkono badala ya mpira, Caseido anazidi onyesha thamani yake, hii game tungekuwa na Lavia ubao ungechangamka sana
Tupunguze kukabia 1/3 ya uwanja. Tunatakiwa kuwa aggressive kuanzia 1/2 ya uwanja otherwise mechi bado haijaisha mpaka tupate goli jingine
 
Fofana anakaba mkono badala ya mpira, Caseido anazidi onyesha thamani yake, hii game tungekuwa na Lavia ubao ungechangamka sana
Tupunguze kukabia 1/3 ya uwanja. Tunatakiwa kuwa aggressive kuanzia 1/2 ya uwanja otherwise mechi bado haijaisha mpaka tupate goli jingine
Wasipompa Caicedo MOTM mimi nitahuzunika sana
 
FT:
Westham vs Chelsea
0-3
Nicolas Jackson 2 goals and 1 assist
Jadon Sancho 1 assist
Cole Palmer 1 goal
Moises Caisedo 1 assist
 
Takataka Jackson anaendelea kufunga huko London Stadium
Mechi yake ya 50 kwa Chelsea inaelekea kugeuka kuwa karama na sherehe kubwa
Watu wote tunashangilia mpaka machozi hakika straika tunaenna tunatamba nae🤣🤣🤣🤣🤣
 
In short tumeshajipata tukishaanza kuchukua point kwa team ngumu za middle table kama Westham uhakika wa kuingia big 4 tunao kwa asilimia kubwa.kiukweli tumepata Kocha ambaye sio tapeli ukiangalia team unaona improvement kutoka game moja kwenye nyingine namna anavyotafuta solution in term of defensively superb
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom