Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nadhani kwa sehemu kubwa ni umri, hilo tatizo likiisha iwe ni msimu wa 2025 au 26, Jacksonj atakuwa ni mzuri kuliko Hta akina Drogba. Sababu kubwa ninasema hivi ni kwa sababu Jackson ni mzuri kwenye kutafuta nafasi adimu zile za kufunga kama anavyofanya Haaaland. Kitu ambacho Haaland kamzidi ni umakini na ujanja kwenye kupiga mashuti yasiyo zuiliwa hovyo.. Yeye Jackson aidha apige nje au anapiga inablockiwa
Jackson anashindwa kufanya maamuzi ya haraka na sahihi kwenye kuchagua Angle nzuri ya kupiga mpira/kufunga kama Haaland, Jackson anababua tuu.
 
Nadhani kwa sehemu kubwa ni umri, hilo tatizo likiisha iwe ni msimu wa 2025 au 26, Jacksonj atakuwa ni mzuri kuliko Hta akina Drogba. Sababu kubwa ninasema hivi ni kwa sababu Jackson ni mzuri kwenye kutafuta nafasi adimu zile za kufunga kama anavyofanya Haaaland. Kitu ambacho Haaland kamzidi ni umakini na ujanja kwenye kupiga mashuti yasiyo zuiliwa hovyo.. Yeye Jackson aidha apige nje au anapiga inablockiwa
Na kwa nni lazima adondoke chini
 
Nadhani kwa sehemu kubwa ni umri, hilo tatizo likiisha iwe ni msimu wa 2025 au 26, Jacksonj atakuwa ni mzuri kuliko Hta akina Drogba. Sababu kubwa ninasema hivi ni kwa sababu Jackson ni mzuri kwenye kutafuta nafasi adimu zile za kufunga kama anavyofanya Haaaland. Kitu ambacho Haaland kamzidi ni umakini na ujanja kwenye kupiga mashuti yasiyo zuiliwa hovyo.. Yeye Jackson aidha apige nje au anapiga inablockiwa
Kwani Halland na huyo mmakonde nani mkubwa?
 
Hii tabia ya Jackson kudondoka chini kwenye penalty box bila sababu za msingi inakera sana na ni ujinga
Watetezi wake watasema bado mdogo umri unamruhusu.
Striker lialia hataki aguswe kwenye penalty box anafikiri mabeki wanalipwa mamsindikize kwa macho
Striker anayekokota mpira anakimbilia kwenye msitu wa mabeki wakati kaacha nyuma wenzake 10
Alafu bado kuna watu wanaamini tunaweza kimbizana kwenye ligi ambayo unaweza fika point 92 na usiwe bingwa
 
Jackson anashindwa kufanya maamuzi ya haraka na sahihi kwenye kuchagua Angle nzuri ya kupiga mpira/kufunga kama Haaland, Jackson anababua tuu.
Hiyo ndio shida yake na ndio nikasema labda ni umri, anavyozidi kukomaa na kukua hayo yatapotea taratibu na kuwa striker mzuri, Na nadhani hii prospect ndio SD an owners wameona. Hata hivyo usajili wa striker mzuri ni muhimu au uongozi wangejaribu kumtumia Nkunku hapo na Jackson mara chache wamechezesha kama winga
 
Usione kuwa wewe ndio mwenye haki ya kuisemea cfc naangalia kila mechi toka 2005 sasa huwezi nambia ujinga wa Jackson nikakukubalia kirahisi yale yale ya falcao morata
"VIJANA" wengi humu mkuu. Hawajamuona huyo Drogba akicheza ball. Wamekuta clips zake YouTube na stats za hapa na pale WHOSCORED, then wana-conclude Jackson ni bora kuliko akina Drogba.

Kwa mujibu wao, every single player wa kizazi hiki ni bora kuliko waliopita. Hutoamini, ila kuna dogo wa Man U (likely yupo katika early 20s years), alikuwa anamfanisha SCHOLES NA LONGSTAFF WA NEWCASTLE!!!!
 
"VIJANA" wengi humu mkuu. Hawajamuona huyo Drogba akicheza ball. Wamekuta clips zake YouTube na stats za hapa na pale WHOSCORED, then wana-conclude Jackson ni bora kuliko akina Drogba.

Kwa mujibu wao, every single player wa kizazi hiki ni bora kuliko waliopita. Hutoamini, ila kuna dogo wa Man U (likely yupo katika early 20s years), alikuwa anamfanisha SCHOLES NA LONGSTAFF WA NEWCASTLE!!!!
Shida wanajiona wana haki ya kuisemea cfc kukiko wengine wanazingua


Huyo kumfananisha scholes na ujinga aligwe marufuku kufuatilia soka
 
Umri hauchezi acha mbwembwe huwezi kuwa na shida na kombe ukawa na Jackson..

Unajua ukikuta mtu anabishia umri wa Nicolas Jackson na uchezaji wake inabidi kumuacha tu.
Umri ni factor kubwa ya decision making kwenye vitu vyote wala sio mpira tu.
Kuwa kiongonzi popote lazima ukomae kiumri ili usije fanya maamuzi eratic ukaangamiza watu au mali.
Kuoa au kuolewa sio tu mpaka ubalehe, utahitajika ku undergo some maturity ya ubongo ili uwe kwenye nafasi ya kufanya sound decisions kwa mke au mume wa mtu.
Ndio maana umri wa miaka 10-20 wakaita foolish age kwa sababu vijana wengi wa huo umri wanafanya maamuzi ya kijinga sana
Maamuzi sahihi ya Jackson ya kushindwa kupiga mpira kwa haraka na kufunga goli kwa sehemu kubwa ni umri wake mdogo na sio kwamba Jackson ni mchezaji mbaya. Mimi na wengine wengi tunaamini udhaifu huo ni wa muda mfupi tu na utaisha na Jackson atabaki kuwa ni mmoja wa wafungaji wakubwa EPL, kama sio 2025 ni 2026.
Kocha anayemkochi anakiri ni mchezaji mzuri na SD aliyemsajili anasema ni mchezaji mzuri. Wamiliki wamerizishwa na ubora wake wakamboreshea mkataba na wakamuongezea mshahara mnono hadi 2033.
Mashabiki nearly 70% wa Chelsea wanamkubali Jackson
Basi tu anabakia kalaghabao mmoja au wawili wa pale Manzese Uzuri au Kariakoo wanasema Jackson sio mchezaji mzuri kisa tu damu yake haimpendi
Mtabakia kuwa kalaghabao ila mwenzenu kapewa mkataba bora zaidi na mshahara mnono kwa sababu alikuwa the second best player after Cole Palmer msimu uliopita wa 2023/24, huu ni ukweli na utabisha na utabaki na ubishi wako hadi Moyo wako upanuke mara 10
 
Unajua ukikuta mtu anabishia umri wa Nicolas Jackson na uchezaji wake inabidi kumuacha tu.
Umri ni factor kubwa ya decision making kwenye vitu vyote wala sio mpira tu.
Kuwa kiongonzi popote lazima ukomae kiumri ili usije fanya maamuzi eratic ukaangamiza watu au mali.
Kuoa au kuolewa sio tu mpaka ubalehe, utahitajika ku undergo some maturity ya ubongo ili uwe kwenye nafasi ya kufanya sound decisions kwa mke au mume wa mtu.
Ndio maana umri wa miaka 10-20 wakaita foolish age kwa sababu vijana wengi wa huo umri wanafanya maamuzi ya kijinga sana
Maamuzi sahihi ya Jackson ya kushindwa kupiga mpira kwa haraka na kufunga goli kwa sehemu kubwa ni umri wake mdogo na sio kwamba Jackson ni mchezaji mbaya. Mimi na wengine wengi tunaamini udhaifu huo ni wa muda mfupi tu na utaisha na Jackson atabaki kuwa ni mmoja wa wafungaji wakubwa EPL, kama sio 2025 ni 2026.
Kocha anayemkochi anakiri ni mchezaji mzuri na SD aliyemsajili anasema ni mchezaji mzuri. Wamiliki wamerizishwa na ubora wake wakamboreshea mkataba na wakamuongezea mshahara mnono hadi 2033.
Mashabiki nearly 70% wa Chelsea wanamkubali Jackson
Basi tu anabakia kalaghabao mmoja au wawili wa pale Manzese Uzuri au Kariakoo wanasema Jackson sio mchezaji mzuri kisa tu damu yake haimpendi
Mtabakia kuwa kalaghabao ila mwenzenu kapewa mkataba bora zaidi na mshahara mnono kwa sababu alikuwa the second best player after Cole Palmer msimu uliopita wa 2023/24, huu ni ukweli na utabisha na utabaki na ubishi wako hadi Moyo wako upanuke mara 10
Nonesense Jackson ni takataka
 
Match analysis: bahati
Man of the match: Sanchez
Hivi Disasi ni mchezaji professional au ni bouncer wa club
Kama project hii inategemea striker type ya Jackson ni confirmed failed project, striker ameumbwa na akili mnemba kama programmed device akipata mpira ni either overturn bila kujali nyuma yake kuna nini or kukokota mpira hata kama ni sehemu ya kutoa pasi. Sio kwamba ni mchezaji mbaya sana ila sio mchezaji wa first eleven ya timu inayopambania nafasi 3 za juu
I wish Tiago Silver angebakia kwa msimu mmoja zaidi beki zetu ukizipress kidogo tu zinaswitch kwenye panic mode
Thiago bora amestaafu kwa Heshima amiwa bado anahitajika.
 
20240919_193130.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom