Wana wachezaji wanaoweza kucheza 1v1 wazuriKwanini City anazifunga kirahisi timu zinazopaki bus? THE BLUES inatakiwa ichezeje ili azifunge timu za uchezaji wa kupaki bus?
Wacha tuoneWana wachezaji wanaoweza kucheza 1v1 wazuri
Sisi alikuwaga Hazard bingwa wa 1v1
Sancho kocha kasema wamemsajili kwa kusudi hilo, Madueke naye mzuri na hata Neto. ebu tusubiri tuone huko mbeleni kama dawa itakuwa atyari
Sababu kuu ni hiziKwanini City anazifunga kirahisi timu zinazopaki bus? THE BLUES inatakiwa ichezeje ili azifunge timu za uchezaji wa kupaki bus?
Ninge kua kocha wa CFC, ninge mpanga nicolas Jackson number 8 kama attacking mid fielder kwa sababu anajua kudribble na kupass mpira kuenda mbele ila sio accurate katika kufunga, caceido no 6 defensive mid fielder, Palm winga upande moja na madweke no 7, James full back na cuculera upande mgine Enzo sub fofan (cb) af natafuta tapping striker kama osmhen au Tonny ..........hapo timu inakua kama Man city........timu yetu sio mbaya ila morale na confedence viko chini sanaa, ule mpira wajana tulikua tuna umaliza first half tena kwa 3.0 ila basi tu.Sababu kuu ni hizi
1. Wanajua position ya kukaa wakiwa na mpira na wapi pa kuwa wakipoteza mpira, sisi tukipoteza mpira tunasindikiza adui mpaka line ya mwisho ya mabeki no urgent pressing and quick movement of ball
2.wanakaba wote na kushambulia wote kwa haraka hivyo hata ukipaki basi wanachohitaji ni ufanye mistake au uloose concentration unakuta wachezaji mpaka 4 wako ndani ya boksi/danger zone
3.wachezaji wake karibu wote wako na confidence wakiwa na mpira mguuni hii inawapa multiple options ya kutengeneza chances za kufunga magoli
4. Wining mentality ipo juu ni nadra kuwakuta city wanapiga pasi za bonanza hata kama wanaongoza. Timu muda wote wa mchezo inanjaa ya ushindi sio watoto wa Boehly 1-0 mabeki wanapasiana tu na mpira hauvuki nusu ya uwanja
Issue kubwa kwenye low block ni kupenya sio kukaba. Kukaba iko kama ulivyoeleza ila ugumu mkubwa uko kwenye kuweza kuipangua defense na kufunga mabaoSababu kuu ni hizi
1. Wanajua position ya kukaa wakiwa na mpira na wapi pa kuwa wakipoteza mpira, sisi tukipoteza mpira tunasindikiza adui mpaka line ya mwisho ya mabeki no urgent pressing and quick movement of ball
2.wanakaba wote na kushambulia wote kwa haraka hivyo hata ukipaki basi wanachohitaji ni ufanye mistake au uloose concentration unakuta wachezaji mpaka 4 wako ndani ya boksi/danger zone
3.wachezaji wake karibu wote wako na confidence wakiwa na mpira mguuni hii inawapa multiple options ya kutengeneza chances za kufunga magoli
4. Wining mentality ipo juu ni nadra kuwakuta city wanapiga pasi za bonanza hata kama wanaongoza. Timu muda wote wa mchezo inanjaa ya ushindi sio watoto wa Boehly 1-0 mabeki wanapasiana tu na mpira hauvuki nusu ya uwanja
Mi nadhani tunatakiwa tubadilishe muundo wa kucheza kwa maana tunao wachezaji wa 1v1 tatizo bado ni lile lile kucheza lundo sehemu moja, hatutanui uwanja/space. Team zinazopaki bus zinafurahi sana wachezaji wako wakicheza kwa lundo sehemu 1.Issue kubwa kwenye low block ni kupenya sio kukaba. Kukaba iko kama ulivyoeleza ila ugumu mkubwa uko kwenye kuweza kuipangua defense na kufunga mabao
Ili uweze kuichambua low block defense lazima uwe na mawinga ambao ni wazuri kwenye 1v1
City wanaye Silva, Doku, Phoden, Grealish kidogo nk
Na sisi kuna wachezaji wamesajiliwa kwa kulenga huo ugumu
Neto, Madueke, Felix, Sancho ni wazuri kwenye hiyo
Hata Mudryk akiweza kuifanyia kazi maamuzi yake anawatoka wacheza kirahisi
Mim i bado namatumaini kuwa hizi timu hazitatusumbua kama msimu uliopita. Uzuri wa Maresca anafanyia kazi madhaifu haraka sana
Hawa ndio wachezaji wa kiafrika
Huyu mkopo ukiisha ataenda Urabuni kula 500,000 per week.
Victor Osimhen kamfukuza kazi wakala wake Roberto Calenda kwa kushindwa kupatania dili la Al-Ahli na Chelsea
Bado hauna huo mfumo,Chelsea hana sehemu ya kuoverload anacheza ball kawaida sana, arsenal,city na spurs ndo wana ball ka kisasa zaidiNinge kua kocha wa CFC, ninge mpanga nicolas Jackson number 8 kama attacking mid fielder kwa sababu anajua kudribble na kupass mpira kuenda mbele ila sio accurate katika kufunga, caceido no 6 defensive mid fielder, Palm winga upande moja na madweke no 7, James full back na cuculera upande mgine Enzo sub fofan (cb) af natafuta tapping striker kama osmhen au Tonny ..........hapo timu inakua kama Man city........timu yetu sio mbaya ila morale na confedence viko chini sanaa, ule mpira wajana tulikua tuna umaliza first half tena kwa 3.0 ila basi tu.
Acha uoga mkuu sina nia ya kumfananisha Enzo na Poch. Nitamjudge Enzo kwa perfomance yake na sio factor nyingine.Mkuu kama wewe ni mwalimu au uliwahi kuwa mwalimu utanielewa.
Katika mechi kumi au 20 inategemea umejiandaaje kumsahihsiha na kumpa maksi
Kama original negativity bado iko kwako nadhani mechi hizo 10 ni unatafuta cha kumkosoa na kuhalalisha dhana yako kuwa Pochettino alikuwa bora kuliko yeye.
Sawa mkuuAcha uoga mkuu sina nia ya kumfananisha Enzo na Poch. Nitamjudge Enzo kwa perfomance yake na sio factor nyingine.
Ningependa mjadala wa Poch usiingizwe tuepushe mijadala isiyokua na maana
Nadhani Jackson amekuja msimu wa 2023/14 siyo 2022/23takwimu za Drogba alikuja Chelsea akiwa na miaka 25
2004/5: mabao 10 katika mechi 26
2005/6: mabao 12 katika mechi 29
2006/7: mabao 20 katika mechi 36
2007/8: mabao 8 katika mechi 19
2008/9: mabao 5 katika mechi 24
2009/10: mabao 29 katika mechi 32
2010/11: mabao 11 katika mechi 36
2011/12: mabao 5 katika mechi 24
2014/15: mabao 4 katika mechi 28
Takwimu za Nicolas Jackson - alikuja Chelsea akiwa na miaka 22
2022/3: mabao 14 katika mechi 36