Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BREAKING NEWS:
Nicolas Jackson amesaini Mkataba wa nyongeza wa miaka miwili hadi 2033 na mshahara mnnono zaidi kwa kazi nzuri ya 2023/24.

"Ninajisikia vizuri kwamba klabu ina imani nami. Ninafanya kazi kwa bidii sana. Nina furaha sana kuongeza mkataba wangu na kukaa hapa kwa miaka mingi.”

Hongera sana Nicolas Jackson.

1726227850651.png
 
Bao la mwezi wa Agosti lilifungwa kwa mpira wa juu ya kichwa na Cole Plamer

Palmer ameanza mapema mno, sijui atakuwa na medali ngapi ifikapo mwisho wa msimu huu
1726234551118.png
 
Nimefurahi sana kupata habari hii ya kwamba Ben Chilwell kujumuishwa kwenye kikosi cha Chelsea epl kwa hiyo ndugu zetu tutamuona sana mwanetu Chilwell
hata hao akina Sterling wangebaki wasingeachwa kwenye u21
Kuwatenga mwanzoni ilikuwa kuwatishia tu ili maagent wao watafute timu ya kuwanunua
hata hivyo Chilwell atatumika tu sana kama kutakuwepo na Majeruhi. Kwenye LB atakuwa na peckling order ya 3 baada ya Cucurella na Veiga
 
hata hao akina Sterling wangebaki wasingeachwa kwenye u21
Kuwatenga mwanzoni ilikuwa kuwatishia tu ili maagent wao watafute timu ya kuwanunua
hata hivyo Chilwell atatumika tu sana kama kutakuwepo na Majeruhi. Kwenye LB atakuwa na peckling order ya 3 baada ya Cucurella na Veiga
Me natamani kocha angekuwa anampanga Veiga kama Center back kuliko left back sioni hii nafasi anafiti sana na eneo lingine ni la kiungo wa chini analiweza sana kwa mara nyingi akingia kati unaona ni mchezaji mzuri sijui kwanini kocha halioni hili kule kwenye left back wabaki tu Cucurella na Ben Chilwell basi.
 
Me natamani kocha angekuwa anampanga Veiga kama Center back kuliko left back sioni hii nafasi anafiti sana na eneo lingine ni la kiungo wa chini analiweza sana kwa mara nyingi akingia kati unaona ni mchezaji mzuri sijui kwanini kocha halioni hili kule kwenye left back wabaki tu Cucurella na Ben Chilwell basi.
Ngoja tuone, Kiungo wako wengi labda CB
 
Kumtegemea madueke kama chezaji la maana, hapo kocha ndipo alipofeli, kama Poch mashavu na Galagah wake. Na leo tena lazima tukalie msumari wa moto.
 
Ngoja tuone, Kiungo wako wengi labda CB
Nazungumzia kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kucheza no 6 tunae mmoja tu ambaye ni Laiva na mara nyingi ni majeruhi nafikiri angemtumia Veiga na Caicedo katikati balance itakuwa nzuri kuliko Enzo na Caicedo kwasababu kama ni pass Veiga ni mzuri, anajua kukaba na ni mtulivu
 
Kumtegemea madueke kama chezaji la maana, hapo kocha ndipo alipofeli, kama Poch mashavu na Galagah wake. Na leo tena lazima tukalie msumari wa moto.
Unataka kusema ile hatrick aliyopata mwafrika kaokota pochi ya mzungu😀😀😀😀😀😀
 
Enzo Maresca kuhusu mikataba mipya ya Palmer na Jackson:

"Mkakati ni kuwapa motisha wachezaji wanaofanya vizuri, au walifanya vizuri, kama vile Nicolas [Jackson] na Cole [Palmer] ambao walisaini mikataba mipya.

Na sababu ni kwa sababu wote wawili mwaka jana, nadhani walifanya vizuri. Na pia ni motisha kwa wachezaji wengine. Kwa upande wa, sawa, ikiwa utafanya mambo sahihi, tutaona tena, na tunakutunza kwa mkataba mpya, na ndicho kilichotokea kwa Cole na Nicolas."
~
@SkySportsPL

1726313554796.png
 
Nazungumzia kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kucheza no 6 tunae mmoja tu ambaye ni Laiva na mara nyingi ni majeruhi nafikiri angemtumia Veiga na Caicedo katikati balance itakuwa nzuri kuliko Enzo na Caicedo kwasababu kama ni pass Veiga ni mzuri, anajua kukaba na ni mtulivu
Enzo pia anacheza na Caicedo
Enzo wakati wa kumiliki mpira anakuwa kama namba 8 na tukipoteza mpira anarudi kusaidiana na Caicedo kukaba
Na hawa wawili kocha hawatawaweka benchi labda wawe majeruhi
 
On this day in 2021:

🔷Mendy was presented with UCL Goalkeeper of the Season
🔷Kante was presented with UCL Midfielder of the Season
🔷Tuchel was presented with UEFA Coach of the Year
🔷Jorginho was presented with UEFA Player of the Year

 
Nazungumzia kiungo mkabaji mwenye uwezo wa kucheza no 6 tunae mmoja tu ambaye ni Laiva na mara nyingi ni majeruhi nafikiri angemtumia Veiga na Caicedo katikati balance itakuwa nzuri kuliko Enzo na Caicedo kwasababu kama ni pass Veiga ni mzuri, anajua kukaba na ni mtulivu
Veiga kawekwa kiungo pivot na Caicedo, Haya ndoto zako zimetimia, Ngoja tuone leo itakuwaje
1726337286280.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom