Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu Jackson ni striker no 9 halisi? anakosaje nafasi 2 za wazi namna ile?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Striker yeyote anakosa na kupata, leo Jackson kafunga na mengine kakosa
Ninachojua Jackson akiendelea kucheza atafunga goli 20+ msimu huu hata kama atakosa nafasi za wazi 100
 
Leo Palace walikamia kushinda

Japo Chelsea haikucheza kwa kiwango kile cha Wolves lakini pai hawakucheza vibaya
Tumewashindwa Palace kwa sababu hawakuwa wakipanda sana kama Wolve walivyofanya. Wameweza kupaki vizuri mabasi na hivyo ikawa ngumu kutengeneza build up kwenye eneo lao la hatari
 
Leo Palace walikamia kushinda

Japo Chelsea haikucheza kwa kiwango kile cha Wolves lakini pai hawakucheza vibaya
Tumewashindwa Palace kwa sababu hawakuwa wakipanda sana kama Wolve walivyofanya. Wameweza kupaki vizuri mabasi na hivyo ikawa ngumu kutengeneza build up kwenye eneo lao la hatari
Team nyingi hizi ndogo ndio zinacheza hivyo
 
Mimi nilisema huyu kocha nampa mechi 10. Hapo tutajua yaliyomo yamo au hayamo. Lakini kiuhalisia mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini hamuanzishi Adarabioyo acheze ma aidha Fofana au Colwill? Sanchez kwangu hawezi kuja kuwa golie namba 1 lakini tuseme yeye ndio anajua zaidi.
 
Mimi nilisema huyu kocha nampa mechi 10. Hapo tutajua yaliyomo yamo au hayamo. Lakini kiuhalisia mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini hamuanzishi Adarabioyo acheze ma aidha Fofana au Colwill? Sanchez kwangu hawezi kuja kuwa golie namba 1 lakini tuseme yeye ndio anajua zaidi.
2nd half team imecheza ovyo. Fundi asiyekuwa na ujuzi hulaumu vifaa vyake
 
Mimi nilisema huyu kocha nampa mechi 10. Hapo tutajua yaliyomo yamo au hayamo. Lakini kiuhalisia mpaka sasa nashindwa kuelewa kwanini hamuanzishi Adarabioyo acheze ma aidha Fofana au Colwill? Sanchez kwangu hawezi kuja kuwa golie namba 1 lakini tuseme yeye ndio anajua zaidi.
Mkuu kama wewe ni mwalimu au uliwahi kuwa mwalimu utanielewa.
Katika mechi kumi au 20 inategemea umejiandaaje kumsahihsiha na kumpa maksi
Kama original negativity bado iko kwako nadhani mechi hizo 10 ni unatafuta cha kumkosoa na kuhalalisha dhana yako kuwa Pochettino alikuwa bora kuliko yeye.

Hadi sasa ile defense niliyokuwa naiogopa imebalance kiasi chake
Fofana na Colwill wam,ebalance kabisa, hao wa sub ziwajui bado na hasa Badiashile ni mtupu asilimia 99
Kwenye kiungo tuko vizuri
Full backs tupo vizuri
Mbele mawinga ni wazuri sana ila tu Jackson ni striker mwanafunzi anayejitahidi ila sio wa kumtegemea sana kwa sababu atakupa kagoli kamoja halafu anakosa 3 big chances tena za wazi kabisa
Mimi naoan bado mapema sana hata hizo mechi 10 bado sana kumhukumu kocha
Ni sawa na mtoto anayejifunza kutembea umuhesabia siku ili aweze kutembea vizuri
Chelsea sio Liverpool au Arsenal au Man city
  1. Tuna wachezaji wengi wapya
  2. Koach mpya
  3. Mfumo mpya nk
Kuhusu tosin bado hawezi kumpiku Fofana
Sachez so far na hasa mchezo wa leo kacheza vizuri kama umemfuatilia mwanzo hadi mwisho
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe
 
Daaah mateso yameanza
 

Attachments

  • 20240818_182807.jpg
    20240818_182807.jpg
    130.2 KB · Views: 13
Maresca kuhusu kumkosa Victor Osimhen jana
"Tunataka wachezaji lakini tulitaka mchezaji ambaye tunaamua sisi. Ni lazima iwe kwa masharti yetu. Kama mchezaji wa aina hiyo hayupo basi haikuwa hivyo. Tutaangalia Januari."

Maoni yangu
Ni bora kununua mshambuliaji wa gharama kubwa lakini ambaye ataingia katika muundo wetu wa mshahara. Hii ni kwa ajili ya umoja, mshikamano na amani ya kikosi chetu
 
Mkuu kama wewe ni mwalimu au uliwahi kuwa mwalimu utanielewa.
Katika mechi kumi au 20 inategemea umejiandaaje kumsahihsiha na kumpa maksi
Kama original negativity bado iko kwako nadhani mechi hizo 10 ni unatafuta cha kumkosoa na kuhalalisha dhana yako kuwa Pochettino alikuwa bora kuliko yeye.

Hadi sasa ile defense niliyokuwa naiogopa imebalance kiasi chake
Fofana na Colwill wam,ebalance kabisa, hao wa sub ziwajui bado na hasa Badiashile ni mtupu asilimia 99
Kwenye kiungo tuko vizuri
Full backs tupo vizuri
Mbele mawinga ni wazuri sana ila tu Jackson ni striker mwanafunzi anayejitahidi ila sio wa kumtegemea sana kwa sababu atakupa kagoli kamoja halafu anakosa 3 big chances tena za wazi kabisa
Mimi naoan bado mapema sana hata hizo mechi 10 bado sana kumhukumu kocha
Ni sawa na mtoto anayejifunza kutembea umuhesabia siku ili aweze kutembea vizuri
Chelsea sio Liverpool au Arsenal au Man city
  1. Tuna wachezaji wengi wapya
  2. Koach mpya
  3. Mfumo mpya nk
Kuhusu tosin bado hawezi kumpiku Fofana
Sachez so far na hasa mchezo wa leo kacheza vizuri kama umemfuatilia mwanzo hadi mwisho
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe
Kama Nikoras Jackson ni kama mtoto anayejifunza kutembea Kwa nini anacheza ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom