Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1725207701627.png
 
Mechi ambazo hatukucheza vizuri na inaeleweka ni zile mbili za UECL.

Performance ya mechi zote tatu za ligi inaridhisha sana kama nilivyotegemea.

Tulicheza vizuri dhidi ya man city ni makosa yaliyosababishwa na kukosa uzoefu tu ndizo zilizotuangusha.

Mechi dhidi ya Wolve tulikuwa superb na hasa kipindi cha pili.

Kwa mechi ya Leo dhidi ya Palace tulikuwa wazuri kipindi cha kwanza na dakika kama 5-10 za kipindi cha pili baada ya hapo hatukuweza tena kucheza kwa kasi kubwa japo hatukucheza vibaya kivile.

Hata goli ambalo tulilofungwa na Palace hakutoikana na makosa ya wazi, ni ufundi maridadi wa Eze ndio iliyowapa Palace goli.

Mfano pekee, Fofana na Colwill waliweza kumdhibiti vizuri Mateta hadi wakambadilisha.

Nimeona tu ile pace ya Neto leo ilizimwa na mabasi ya Palace na ule ukaidi wa Madueke uliishia kwenye mabasi yaliyopakiwa.

Hughes alistahili kadi ya pili ya njano na kwa hiyo kutolewa nje kwa red card ila bahati ilikuwa upande wao.

Enzo bado alikuwa na ups and downs

Caicedo leo kacheza vizuri sana katikati na kwenye RB, walikuwa wakibadilsiuhana na Gusto

Palmer alihaha uwanja mzima kujaribu kuleta pasi zake zenye madhara ila mabasi ya Palace yalipakiwa vizuri sana.

Natumaini Chelsea itaendela kuimarika siku hadi siku, wiki kwa wiki.

Tuendelee kuamini juu ya huu mradi ambao utahitaji mchakato kiasi fulani.

Ikiwa kocha asipobadilishwa na kama tutampata striker mfungaji wa kweli au Jackson ataimarika kwenye kuweka mpira wavuni, basi msimu uajao wa 2025/26 ambapo tutakuwa na akina Kendry Paez na Estevao Willian utakuwa ni msimu mzuri kwa Chelsea and I am sure of that.
 
Striker yeyote anakosa na kupata, leo Jackson kafunga na mengine kakosa
Ninachojua Samason akiendelea kucheza atafunga goli 20+ msimu huu hata kama atakosa nafasi za wazi 100
Acheni kutetea vitu vyo ovyo. Unahitaji matokeo elite strikers akipata nafasi inapswa kuwa goli. Hakuna namna ya kumtetea huyo Jackson. Bado ni mchanga sana
 
Mechi ambazo hatukucheza vizuri na inaeleweka ni zile mbili za UECL.

Performance ya mechi zote tatu za ligi inaridhisha sana kama nilivyotegemea.

Tulicheza vizuri dhidi ya man city ni makosa yaliyosababishwa na kukosa uzoefu tu ndizo zilizotuangusha.

Mechi dhidi ya Wolve tulikuwa superb na hasa kipindi cha pili.

Kwa mechi ya Leo dhidi ya Palace tulikuwa wazuri kipindi cha kwanza na dakika kama 5-10 za kipindi cha pili baada ya hapo hatukuweza tena kucheza kwa kasi kubwa japo hatukucheza vibaya kivile.

Hata goli ambalo tulilofungwa na Palace hakutoikana na makosa ya wazi, ni ufundi maridadi wa Eze ndio iliyowapa Palace goli.

Mfano pekee, Fofana na Colwill waliweza kumdhibiti vizuri Mateta hadi wakambadilisha.

Nimeona tu ile pace ya Neto leo ilizimwa na mabasi ya Palace na ule ukaidi wa Madueke uliishia kwenye mabasi yaliyopakiwa.

Hughes alistahili kadi ya pili ya njano na kwa hiyo kutolewa nje kwa red card ila bahati ilikuwa upande wao.

Enzo bado alikuwa na ups and downs

Caicedo leo kacheza vizuri sana katikati na kwenye RB, walikuwa wakibadilsiuhana na Gusto

Palmer alihaha uwanja mzima kujaribu kuleta pasi zake zenye madhara ila mabasi ya Palace yalipakiwa vizuri sana.

Natumaini Chelsea itaendela kuimarika siku hadi siku, wiki kwa wiki.

Tuendelee kuamini juu ya huu mradi ambao utahitaji mchakato kiasi fulani.

Ikiwa kocha asipobadilishwa na kama tutampata striker mfungaji wa kweli au Jackson ataimarika kwenye kuweka mpira wavuni, basi msimu uajao wa 2025/26 ambapo tutakuwa na akina Kendry Paez na Estevao Willian utakuwa ni msimu mzuri kwa Chelsea and I am sure of that.
A big team becomes a small team when it starts boasting on performance over wining a match. Arsenal wacheze vizuri au vibaya lazima wapate ushindi. Hiyo ndo elite mentality tuliyoizoea Chelsea na timu zote za makombe kama Madrid.

Madrid wamekuwa na project ila wanashinda makombe kwa sababu kila mchezaji anayekuja anajua standard za Madrid.

Nadhani hukuwahi kusikia Chelsea ya Abrahimovic makocha wakiongea huo upuuzi wa performance.
 

Attachments

  • Screenshot_20240901_195950_X.jpg
    Screenshot_20240901_195950_X.jpg
    65.2 KB · Views: 13
Mashabiki walivyo wanafiki wanajifanya hawaoni utapeli wa Enzo uwanjani na ndio maana mwisho wa msimu uliopita alipokosekana kwa injury timu ilipata somehow balance
Jackson kuna muda anakula bangi kadi ya njano ya kitoto kabisa ile
Kule mbele dakika za mwisho kila mtu anataka kuwa hero wa mechi ni full uselfish
 
Enzo Maresca: "Probably one thing that has to be clear, Chelsea three years ago won the Champions League but now it is not that kind of Chelsea so now sometimes if you dont win it is normal."
 
Acheni kutetea vitu vyo ovyo. Unahitaji matokeo elite strikers akipata nafasi inapswa kuwa goli. Hakuna namna ya kumtetea huyo Jackson. Bado ni mchanga sana
Jackson msimu huu atafunga goli 20+
January Mungu akipenda tutasajili striker elite lakini sio Osimhen. Tuaachie kazia kocha na wakurugenzi wa hilo eneo.

Viktor Gyokeres anapokea €46,154/wiki Ikiwa tutamchukua na kuongeza mshahara wake maradufu, tutakuwa tumempata striker mzuri mwenye kutupa magoli 20+ kwa bei rahisi japo RC yake ni Euro mil 100 na haijadiliwi. Ila tukimchukua mshahara wake utakuwa sio mkubwa kama wa Osimhen.

1725221453469.png
 
A big team becomes a small team when it starts boasting on performance over wining a match. Arsenal wacheze vizuri au vibaya lazima wapate ushindi. Hiyo ndo elite mentality tuliyoizoea Chelsea na timu zote za makombe kama Madrid.

Madrid wamekuwa na project ila wanashinda makombe kwa sababu kila mchezaji anayekuja anajua standard za Madrid.

Nadhani hukuwahi kusikia Chelsea ya Abrahimovic makocha wakiongea huo upuuzi wa performance.
Hii timu sio ile uliyoizoea, hii iliyopo itahitaji muda penda usipende, hiyo itakuwa juu yako
 
Mashabiki walivyo wanafiki wanajifanya hawaoni utapeli wa Enzo uwanjani na ndio maana mwisho wa msimu uliopita alipokosekana kwa injury timu ilipata somehow balance
Jackson kuna muda anakula bangi kadi ya njano ya kitoto kabisa ile
Kule mbele dakika za mwisho kila mtu anataka kuwa hero wa mechi ni full uselfish
Enzo anauma na kupuliza
Kuna pasi ambazo wachezaji wengine wa kiungo hawawezi kabisa kufanya. Ila pia amekuwa very loose na slopy kwenye kuka na kuthibiti mpira
 
Enzo Maresca pia alidokeza kuwa Victor Osimhen hakupatikana chini ya "masharti ya Chelsea" baada ya mechi. Anasema "tutaona" alipoulizwa kama klabu itamsajili mshambuliaji tena Januari. Kwa muda mrefu ilikuwa lengo la majira ya joto kusajili mshambuliaji.
 
Enzo Maresca: "Jadon [Sancho] yuko hapa kwa sababu tunapenda mchezaji wa aina hiyo - haswa dhidi ya timu za low block kama leo.

Kwa aina hizi za michezo, tuna nafasi tano, sita au saba hapa. Hakuna timu nyingi ambazo zinaweza kufanya kitu kushinda mchezo."

1725219779346.png
 
Naona sasa mtakaa kwa heshima nyie watoto wa darajani na ndugu menu manyuu
 
Mechi ambazo hatukucheza vizuri na inaeleweka ni zile mbili za UECL.

Performance ya mechi zote tatu za ligi inaridhisha sana kama nilivyotegemea.

Tulicheza vizuri dhidi ya man city ni makosa yaliyosababishwa na kukosa uzoefu tu ndizo zilizotuangusha.

Mechi dhidi ya Wolve tulikuwa superb na hasa kipindi cha pili.

Kwa mechi ya Leo dhidi ya Palace tulikuwa wazuri kipindi cha kwanza na dakika kama 5-10 za kipindi cha pili baada ya hapo hatukuweza tena kucheza kwa kasi kubwa japo hatukucheza vibaya kivile.

Hata goli ambalo tulilofungwa na Palace hakutoikana na makosa ya wazi, ni ufundi maridadi wa Eze ndio iliyowapa Palace goli.

Mfano pekee, Fofana na Colwill waliweza kumdhibiti vizuri Mateta hadi wakambadilisha.

Nimeona tu ile pace ya Neto leo ilizimwa na mabasi ya Palace na ule ukaidi wa Madueke uliishia kwenye mabasi yaliyopakiwa.

Hughes alistahili kadi ya pili ya njano na kwa hiyo kutolewa nje kwa red card ila bahati ilikuwa upande wao.

Enzo bado alikuwa na ups and downs

Caicedo leo kacheza vizuri sana katikati na kwenye RB, walikuwa wakibadilsiuhana na Gusto

Palmer alihaha uwanja mzima kujaribu kuleta pasi zake zenye madhara ila mabasi ya Palace yalipakiwa vizuri sana.

Natumaini Chelsea itaendela kuimarika siku hadi siku, wiki kwa wiki.

Tuendelee kuamini juu ya huu mradi ambao utahitaji mchakato kiasi fulani.

Ikiwa kocha asipobadilishwa na kama tutampata striker mfungaji wa kweli au Jackson ataimarika kwenye kuweka mpira wavuni, basi msimu uajao wa 2025/26 ambapo tutakuwa na akina Kendry Paez na Estevao Willian utakuwa ni msimu mzuri kwa Chelsea and I am sure of that.
Kijana umechambua vizuri sana watu wanaosema tumecheza vibaya hata siwaelewi kabisa wanaangalia mpira kimihemko team inaonesha progress hata mimi upande wa defence nimeona imeimarika mno partnership ya Fofana na Colwill imeclick shida yetu ilikuwa pale mbele pekee
 
Sasa naanza kujua kwa nini Enzo Maresca aliwng'ang'ania Fofana na Colwill kuwa partner CB wa kwanza kwenye timu
Fofana ana kasi na mzuri kwenye kupasi
Colwill naye anakasi na ni playmaker CB, watu kama hawa kuwapata kwenye soko ni nadra sana
Hizo sifa zimeanza kuoneka wazi. Mfano goli la Jackson jana dhidi ya Palace ilianzia kwa Colwill, baada ya kufanya tackling nzuri alimpasia mpira Madueke kwenye winga wa kulia ambaye aliserereka nao na kumapsia Palmer aliyemtenegenezea mpira mzuri kabisa Jackson - mfungaji wa goli
Stability kwenye defense imeanza pia kuonekana
Halafu kitu kingine naona Sanchez ameanza kutulia, ukurupukaji wake umeanza kukoma, naona aina ya uchezaji wa Maresca na ubora katika ukabaji utafunika madhaifu ya Sachez jinsi tunavyosonga mbele kwenye ligi. Ameanza kutulia na pasi zake ni murua kabisa sio kama wakati wa Pochettino

 
Wesley Fofana amejiondoa kwenye kikosi cha Ufaransa ili kujikita na Chelsea kufuatia majeraha yake msimu uliopita.

Taarifa: "Wesley Fofana hatimaye atasalia kwenye klabu yake na kuchukua fursa ya mapumziko ya kimataifa kufuata itifaki ya matibabu, inayohusishwa na majeraha ambayo yalimfanya kuwa mbali na uwanja kwa muda mrefu msimu uliopita."
@FabriceHawkins

1725255497968.png
 
Mechi ambazo hatukucheza vizuri na inaeleweka ni zile mbili za UECL.

Performance ya mechi zote tatu za ligi inaridhisha sana kama nilivyotegemea.

Tulicheza vizuri dhidi ya man city ni makosa yaliyosababishwa na kukosa uzoefu tu ndizo zilizotuangusha.

Mechi dhidi ya Wolve tulikuwa superb na hasa kipindi cha pili.

Kwa mechi ya Leo dhidi ya Palace tulikuwa wazuri kipindi cha kwanza na dakika kama 5-10 za kipindi cha pili baada ya hapo hatukuweza tena kucheza kwa kasi kubwa japo hatukucheza vibaya kivile.

Hata goli ambalo tulilofungwa na Palace hakutoikana na makosa ya wazi, ni ufundi maridadi wa Eze ndio iliyowapa Palace goli.

Mfano pekee, Fofana na Colwill waliweza kumdhibiti vizuri Mateta hadi wakambadilisha.

Nimeona tu ile pace ya Neto leo ilizimwa na mabasi ya Palace na ule ukaidi wa Madueke uliishia kwenye mabasi yaliyopakiwa.

Hughes alistahili kadi ya pili ya njano na kwa hiyo kutolewa nje kwa red card ila bahati ilikuwa upande wao.

Enzo bado alikuwa na ups and downs

Caicedo leo kacheza vizuri sana katikati na kwenye RB, walikuwa wakibadilsiuhana na Gusto

Palmer alihaha uwanja mzima kujaribu kuleta pasi zake zenye madhara ila mabasi ya Palace yalipakiwa vizuri sana.

Natumaini Chelsea itaendela kuimarika siku hadi siku, wiki kwa wiki.

Tuendelee kuamini juu ya huu mradi ambao utahitaji mchakato kiasi fulani.

Ikiwa kocha asipobadilishwa na kama tutampata striker mfungaji wa kweli au Jackson ataimarika kwenye kuweka mpira wavuni, basi msimu uajao wa 2025/26 ambapo tutakuwa na akina Kendry Paez na Estevao Willian utakuwa ni msimu mzuri kwa Chelsea and I am sure of that.
Kwanini City anazifunga kirahisi timu zinazopaki bus? THE BLUES inatakiwa ichezeje ili azifunge timu za uchezaji wa kupaki bus?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom