Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndg zangu sisi hakuna hela tunatoa mzee wa mask tungenunua tu ,pesa ni ya tajiri atumie atakavyo tuwe na wachezaji wengi machaguo yaongezeke ,kocha akisema hakuna wachezaji tunamtimua .Namuona Greenwood anakuja vizuri huyu tumnunue mwakani
 
456
 

Attachments

  • 1725129262534.jpg
    1725129262534.jpg
    621.1 KB · Views: 10
Ndg zangu sisi hakuna hela tunatoa mzee wa mask tungenunua tu ,pesa ni ya tajiri atumie atakavyo tuwe na wachezaji wengi machaguo yaongezeke ,kocha akisema hakuna wachezaji tunamtimua .Namuona Greenwood anakuja vizuri huyu tumnunue mwakani
Wewe unajua kilichowaharibu Man United, unakumbuka Sachez aliposajiliwa kwa kulipwa 400,500k/week. Unajua akina Pogba, Bruno na wengineo waliojiona wanacheza vizuri walianza kulalamika na kusema wao wanaichangia timu vizuri kuliko Sachez lakin wao wanalipwa kidogo. Toka hapo dressing room ya Mashetani wale imekuwa mess and mess. Badilisha makocha haikusaidia, huyu tajiri mpya anayeitwa Sir Jim Ratcliffe ndie kaja na mfumo kama ya akina Tod Boehly ya kutonunua wachezaji bei ghali na kuwalipa crazu salary.

Tuje kwa Osimhen

Hofu kubwa ilikuwa angeletwa tu ndani ya Chelsea kwa mshahara wa 300k au 400k/week ambacho kingefuata ni hii

Caicedo naye angetaka aongezewe mshahara hata bila hatujaenda mbali
Enzo naye hivyo hivyo
hali hii inaondoa morale na umoja wa dressing room. Ni bora mchezaji hata akilipwa 700k/week iwe na baada ya kazi kubwa ambayo hata mates wake wanaona. Mfano mzuri ni jinsi Palmer anavyocheza vizuri anaongezewa kidogo, kila msimu akicheza vizuir anaboresheqwa mkataba wake. Unaweza kuta baada ya misimu mitatu ya kucheza vizuri mfululizo mukakuta analipwa 300K+/week. Na hii ndioo model ambayo Chelsea imechukua kwa sasa. Mchezaji yeyote mgeni akija lazima aanzie chini halafu ndipo apande

Upande wa pili, Osimhen angekuja akaflop, tunakuwa tumerudia issue ile ile ya Lukaku. Na usiniambie kesi ya Osimhen na Lukaku ni tofauti. Mimi nasema hapana, tena Lukaku hakuwa na riski kubwa kama ya Osimhen. Kumbuka Lukaku alifunga mabao 23 na 24 kwenye ligi ya serie kwenye misimu iliyofuatana wakati Osimhen kafunga mabao 24 kwenye msimu mmoja tu. So tumetoka tu kwenye zengwe la Lukaku halafu tuanze tena la Osimhen hapana. Tumetoa kuwasajili akina Koulibaly, Sterling, na Lukaku na mishahara ya 300+k/week na hakuna walichokifanya. Akiflop inakuwa ngumu sana kumuuza. God forbid, walichokifanya Chelsea jana inastahili kuungwa mkono kabisa.
1725136269723.png
 
Katika jezi zote alizofaa Jadon Sancho, huu uzi wa bluu ndio unamfaa na unampendezesha

Karibu Darajani, Karibu Cobham, Karibu kwenye familia ya "The Blues"

1725137477177.png
 
Mnmgekuwa makocha mngechekesha sana
Sancho he's just the normal player even after joining to Borussia Dortmund FC didn't look to have any strange as an improvement, may be let's have words balance coz we never know and someone's future is in uncertainty.
 
Wewe unajua kilichowaharibu Man United, unakumbuka Sachez aliposajiliwa kwa kulipwa 400,500k/week. Unajua akina Pogba, Bruno na wengineo waliojiona wanacheza vizuri walianza kulalamika na kusema wao wanaichangia timu vizuri kuliko Sachez lakin wao wanalipwa kidogo. Toka hapo dressing room ya Mashetani wale imekuwa mess and mess. Badilisha makocha haikusaidia, huyu tajiri mpya anayeitwa Sir Jim Ratcliffe ndie kaja na mfumo kama ya akina Tod Boehly ya kutonunua wachezaji bei ghali na kuwalipa crazu salary.

Tuje kwa Osimhen

Hofu kubwa ilikuwa angeletwa tu ndani ya Chelsea kwa mshahara wa 300k au 400k/week ambacho kingefuata ni hii

Caicedo naye angetaka aongezewe mshahara hata bila hatujaenda mbali
Enzo naye hivyo hivyo
hali hii inaondoa morale na umoja wa dressing room. Ni bora mchezaji hata akilipwa 700k/week iwe na baada ya kazi kubwa ambayo hata mates wake wanaona. Mfano mzuri ni jinsi Palmer anavyocheza vizuri anaongezewa kidogo, kila msimu akicheza vizuir anaboresheqwa mkataba wake. Unaweza kuta baada ya misimu mitatu ya kucheza vizuri mfululizo mukakuta analipwa 300K+/week. Na hii ndioo model ambayo Chelsea imechukua kwa sasa. Mchezaji yeyote mgeni akija lazima aanzie chini halafu ndipo apande

Upande wa pili, Osimhen angekuja akaflop, tunakuwa tumerudia issue ile ile ya Lukaku. Na usiniambie kesi ya Osimhen na Lukaku ni tofauti. Mimi nasema hapana, tena Lukaku hakuwa na riski kubwa kama ya Osimhen. Kumbuka Lukaku alifunga mabao 23 na 24 kwenye ligi ya serie kwenye misimu iliyofuatana wakati Osimhen kafunga mabao 24 kwenye msimu mmoja tu. So tumetoka tu kwenye zengwe la Lukaku halafu tuanze tena la Osimhen hapana. Tumetoa kuwasajili akina Koulibaly, Sterling, na Lukaku na mishahara ya 300+k/week na hakuna walichokifanya. Akiflop inakuwa ngumu sana kumuuza. God forbid, walichokifanya Chelsea jana inastahili kuungwa mkono kabisa. View attachment 3083863
Umeongea vizuri sana
 
Sancho he's just the normal player even after joining to Borussia Dortmund FC didn't look to have any strange as an improvement, may be let's have words balance coz we never know and someone's future is in uncertainty.
unajua ana miaka mingapi, japo kumhukumu mtu sio fair lakini kama unahukumu basi iwe kwa wazee wa miaka 30+
 
Wewe unajua kilichowaharibu Man United, unakumbuka Sachez aliposajiliwa kwa kulipwa 400,500k/week. Unajua akina Pogba, Bruno na wengineo waliojiona wanacheza vizuri walianza kulalamika na kusema wao wanaichangia timu vizuri kuliko Sachez lakin wao wanalipwa kidogo. Toka hapo dressing room ya Mashetani wale imekuwa mess and mess. Badilisha makocha haikusaidia, huyu tajiri mpya anayeitwa Sir Jim Ratcliffe ndie kaja na mfumo kama ya akina Tod Boehly ya kutonunua wachezaji bei ghali na kuwalipa crazu salary.

Tuje kwa Osimhen

Hofu kubwa ilikuwa angeletwa tu ndani ya Chelsea kwa mshahara wa 300k au 400k/week ambacho kingefuata ni hii

Caicedo naye angetaka aongezewe mshahara hata bila hatujaenda mbali
Enzo naye hivyo hivyo
hali hii inaondoa morale na umoja wa dressing room. Ni bora mchezaji hata akilipwa 700k/week iwe na baada ya kazi kubwa ambayo hata mates wake wanaona. Mfano mzuri ni jinsi Palmer anavyocheza vizuri anaongezewa kidogo, kila msimu akicheza vizuir anaboresheqwa mkataba wake. Unaweza kuta baada ya misimu mitatu ya kucheza vizuri mfululizo mukakuta analipwa 300K+/week. Na hii ndioo model ambayo Chelsea imechukua kwa sasa. Mchezaji yeyote mgeni akija lazima aanzie chini halafu ndipo apande

Upande wa pili, Osimhen angekuja akaflop, tunakuwa tumerudia issue ile ile ya Lukaku. Na usiniambie kesi ya Osimhen na Lukaku ni tofauti. Mimi nasema hapana, tena Lukaku hakuwa na riski kubwa kama ya Osimhen. Kumbuka Lukaku alifunga mabao 23 na 24 kwenye ligi ya serie kwenye misimu iliyofuatana wakati Osimhen kafunga mabao 24 kwenye msimu mmoja tu. So tumetoka tu kwenye zengwe la Lukaku halafu tuanze tena la Osimhen hapana. Tumetoa kuwasajili akina Koulibaly, Sterling, na Lukaku na mishahara ya 300+k/week na hakuna walichokifanya. Akiflop inakuwa ngumu sana kumuuza. God forbid, walichokifanya Chelsea jana inastahili kuungwa mkono kabisa. View attachment 3083863
Well said Mr. Lembu
 
Wazee kwa wachezaji tulionao kwenye safi ya ushambuliaji tunatakiwa kila mechi tufunge 2+ goals.

Kocha ajipange vizuri aboreshe kimuundo safi ya ulinzi na kiuchezaji safu ya kiungo tusiruhusu magoli ya ovyo.
 
Kocha alimpigia simu akaongea naye akamshawishi. Sancho ni aina ya mawinga ambao Maresca anawataka kwa sababu ni mzuri kwenye 1v1 na pia naweza kucheza zaidi ya nafasi moaj na pia bado ana umru mdogo anafundishika sio kama Sterling
Kama ni takwa la kocha kumsajili Sancho basi utakuwa usajili mzuri. Wacha tuone
 
Sancho he's just the normal player even after joining to Borussia Dortmund FC didn't look to have any strange as an improvement, may be let's have words balance coz we never know and someone's future is in uncertainty.
Mashetani wale wekundu wamemharibu na atafufuka mimi na imani hiyo na pia hatuna risk kubwa kwa sababu ananunuliwa kwa pesa ndogo na mshahara ataupunguza uwe sawa na za wengine. Atacheza Chelsea akiwa na furaha na mzigo mwepesi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom