lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,482
Arteta amembadilisha Havertz, sio wa calibre ya juu lakini sio yule wa Chelsea unayemfahamuKwa sasa huwezi nielewa, unajua kwa uduanzi wake jana Arsenal walitakiwa washinde. Arsenal wangekua na Halland jana wangeshinda.