bora huyo Sterling kitako atawasaidia ila sio Kai aisee, Kai tuliwapiga mchana kweupee, na bado hamjashtuka mnategemea awape ubingwa.Tuna mzigo wenu kai na leo mnatupa sterling
Sio ubinadamu
bora huyo Sterling kitako atawasaidia ila sio Kai aisee, Kai tuliwapiga mchana kweupee, na bado hamjashtuka mnategemea awape ubingwa.Tuna mzigo wenu kai na leo mnatupa sterling
Sio ubinadamu
Tako hilo tumewapa, mpunguze kwanza ndipo aweze kucheza vizuriTuna mzigo wenu kai na leo mnatupa sterling
Sio ubinadamu
Me nilikuwa namtaka yule wa Genoa sijui kwanini uongozi hawajamuangalia Osimhen tamaa imemponza Uongozi imefanya vizuri kuachana nae unaweza kumlipa kiwango kikubwa alafu akaflop hasara inabaki kuwa ya clubKwa tumlipe Victor Osimhen 200K+/wiki hii yote ili afunge mabao 10-15 kwa msimu, Jackson anaweza kufanya hivyo.
Ebu angalia mwenendo wa ufungaji wake wa magoli:
Mwenendo huu wa ufungaji mabao sio mbaya lakini hauwezi kumfanya mchezaji kuwa mshambuliaji bora. Ni mshambuliaji wa kawaida tu anayeweza kujihakikishia mabao 10+ na sio mabao 20+
- Wolfsburg mnamo 2017/18 mabao 0 katika mechi 12
- Charleroi mwaka wa 2018/19 mabao 12 katika mechi 25
- Lile mnamo 2019/20 mabao 13 katika mechi 27
- Napoli 2020/21 10 katika mechi 24
- Napoli 2021/22 14 katika mechi 27
- Napoli 2022/23 26 katika mechi 32
- Napoli 2023/24 15 katika mechi 25
Tatizo la Mudryk sio hajitumi, anafanya mpk vitu vya zaidi matokeo yake anaharibu, Saikolojia imeshakaa vibaya, yaan akicheza kawaid bila kutaka kuonyesha chochote cha ziada ni mchezaji mzuri sana.Naona Safari yq mudryk msim ujao sidhan km msim huu asipojitutumua sioni akibaki 2025/26
Kuna uwezekano Nkunku akitumika kam CF akisaidiana na Jackson
Msimu ujao mtatuuzia tu🤠🤠🤠...tena kwa Bei ya hasara...maana Maresca akisema tu hyu simtaki basi kwisha habari yenu....Sterling tutawarudishia Ili mtupatie kijana wetu maana mnamtesa na maisha ya hapo...dressing sasahvi ya kugombania...ukichelewa tu kufika unakuta viti vimejaaTatizo la Mudryk sio hajitumi, anafanya mpk vitu vya zaidi matokeo yake anaharibu, Saikolojia imeshakaa vibaya, yaan akicheza kawaid bila kutaka kuonyesha chochote cha ziada ni mchezaji mzuri sana.
Naona Safari yq mudryk msim ujao sidhan km msim huu asipojitutumua sioni akibaki 2025/26
Kuna uwezekano Nkunku akitumika kam CF akisaidiana na Jackson
Tamaa ya hela ni mbaya ndio shida ya waafrika wengi na hiyo itashusha sana value ya career yake kiujumla kama akiwa hajakomaa kiakiliWakala wa Osimhen si makini, alishindwa kuwa mbunifu dakika za mwisho. Alipaswa kupendekeza mkopo wa muda mfupi kwa Chelsea hadi Januari.
Iwapo Osimhen angekuja Chelsea kwa muda wa miezi sita, angeuonyesha ulimwengu kuwa yeye ni mshambuliaji mzuri na angeongeza nafasi yake ya kupata dili zuri ambalo alitamani kila mara, iwe Chelsea au kwenye timu nyingine kubwa Ulaya.
Sasa atatumia miezi sita yote na U21 hadi akili yake na ya wakala wake iweze kufikiria vizuri wakati mwingine.
View attachment 3083231
Bora hatajaja hilo mask usoni la ajabu ajabuTamaa ya hela ni mbaya ndio shida ya waafrika wengi na hiyo itashusha sana value ya career yake kiujumla kama akiwa hajakomaa kiakili
Anatafuta pesa, sasa unataka aje bule, unajua Napoli alitoa bei gani??Tamaa ya hela ni mbaya ndio shida ya waafrika wengi na hiyo itashusha sana value ya career yake kiujumla kama akiwa hajakomaa kiakili
Kwani nani kwa kuambia alikuwa anakuja bure ChelseaAnatafuta pesa, sasa unataka aje bule, unajua Napoli alitoa bei gani??
Mudryk yupo kw ajili ya kuwafunga Arsenal, hatumuuzi. Labda tuwauzie Badiashile, ukimnunua Badiashile unampata Disas na Sanches kama zawadi.Msimu ujao mtatuuzia tu🤠🤠🤠...tena kwa Bei ya hasara...maana Maresca akisema tu hyu simtaki basi kwisha habari yenu....Sterling tutawarudishia Ili mtupatie kijana wetu maana mnamtesa na maisha ya hapo...dressing sasahvi ya kugombania...ukichelewa tu kufika unakuta viti vimejaa
Ndugu uwe unaangakia mpira aisee.bora huyo Sterling kitako atawasaidia ila sio Kai aisee, Kai tuliwapiga mchana kweupee, na bado hamjashtuka mnategemea awape ubingwa.