Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sidhani kama Behdad atakubali kurudi mkono mtupu kutoka Naples bila kitu chenye faida...
 
Dirisha la Januari 2023 - sakata ya uhamisho wa Enzo Fernandez - Chelsea ilishinda
Dirisha la majira ya kiangazi 2023 - sakata ya uhamisho wa Moises Caicedo - Chelsea ilishinda
Dirisha la majira ya kiangazi 2024 - Victor Osimhen sakata ya uhamisho - Chelsea itashinda/itashindwa?
 
Dirisha la Januari 2023 - sakata ya uhamisho wa Enzo Fernandez - Chelsea ilishinda
Dirisha la majira ya kiangazi 2023 - sakata ya uhamisho wa Moises Caicedo - Chelsea ilishinda
Dirisha la majira ya kiangazi 2024 - Victor Osimhen sakata ya uhamisho - Chelsea itashinda/itashindwa?
Kwa Victor hatutoboi. Tumemdharau sana. Mshahara wa €155,000 kwa wiki kweli?

Ni rangi yake au utaifa wake?
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kwa hivyo tutaweka wapi Felix, Madueke, Nkunku, Jackson na Mudryk?
1725036580382.png
 
Usajili wa Osimhen ni mgumu sana kuliko Ngamia kupenye kwenye tunmdu la sindano
Kuna masuala ya FFP imewafunga mikono wawakilishi wa Chelsea walioko kwenye mahojiano na kambi ya Osimhen.
Pia usajili wa Sancho unaweza usifanikiwe
Bado tuna masaa manne
 
Usajili wa Osimhen ni mgumu sana kuliko Ngamia kupenye kwenye tunmdu la sindano
Kuna masuala ya FFP imewafunga mikono wawakilishi wa Chelsea walioko kwenye mahojiano na kambi ya Osimhen.
Pia usajili wa Sancho unaweza usifanikiwe
Bado tuna masaa manne
Wa Sancho utafanikiwa ila wa Mask mgumu.
 
Sterling to Arsenal inawezekana
Osimhen to Chelsea inawezekana
Chalobah to Palace - Confirmed
 
Sterling hivi sasa wanajadili masharti binafsi na Arsenal
 
Raheem Sterling imekubali mkopo wa Arsenal, sasa mpira uko kwa Arsenal
@FabrizioRomano
 
Deivid Washington parmanent move to Strasbourg collapsed

Sababu za kushindikana ni ripoti ziulienea kuwa Premium League ingelichunguza huo uhamisho kwamba haukufanyika kwa kufuata sheria

1725045759272.png
 
Mechi ijayo tuna Palace , hawa midtable underdogs ndio wa kuwabaka goli za kutosha na kuhakikisha tunakusanya points nyingi ili kujiweka vizuri zaidi .
Ule msimu wa poch kwa kweli ilikuwa fedheha sana , yaani hadi palace na vilaza burnnely walitusumbua sana
Palace tuliwagonga zote 2 bunley ndio walituvuta korodani
 
Raheem Sterling ni mchezaji mzuri na bado ana nguvu za kucheza kwa kiwango cha juu zaidi lakini alikataa kucheza kwa kiwango bora zaidi Chelsea. Najua Arteta atamfanya acheze vizuri kwao Bahati nzuri kwake.
1725050363774.png
 
Jadon Sancho to Chelsea, here we go! Loan deal with obligation to buy clause agreed between the clubs.
CONFIRMED

Jadon Sancho kwenda Chelsea, hapa tunaenda! Mpango wa mkopo na wajibu wa kununua kifungu kilichokubaliwa kati ya vilabu.
IMETHIBITISHWA

1725051240317.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom