Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jana niliona kipindi cha kwanza kila mara Gusto anaingia ndani kumsaidia Caicedo na Fofana kuchukua nafasi yake. Hii ilikuwa inasababisha Mathius Cunha kila wakati anapata nafasi ya kuisumbua begi zetu.
Fofana, Colwil & Sanchez ni kichekesho
 
sijakuelewa
Mfumo ni mchakato ambapo huhitaji muda, je kipindi ambacho bado huo mchakato unachakatwa Chelsea SC itakuwa katika hali gani kimatokeo na kimsimamo kwenye EPL?

Je huo mchakato ukikataa kufiti kwenye timu ni nini suluhisho?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mfumo ni mchakato ambapo huhitaji muda, je kipindi ambacho bado huo mchakato unachakatwa Chelsea SC itakuwa katika hali gani kimatokeo na kimsimamo kwenye EPL?

Je huo mchakato ukikataa kufiti kwenye timu ni nini suluhisho?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hiyo haiwezekani kwa sababu usipotumia sasa mfumo tutarudi kule kule kwa zamani an hakuna siku mfumo utaanza kufanya kazi. Tumeshaamua kwenda na mfumo mwendo ni huo huo na Maresca ameshaweka mfumo tayari

Viungo wote na Fulbacks wote wanafanya kazi iliyofanana


Mfumo wa kushambulia

3-2-5

Neto ----Jackson ---Enzo ----Palmer----Madueke

----------Cucurella---------------Lavia---------

----Colwill ------------Fofana -----------James----


Mfumo wa kujilinda kama maadui wanapress

4-2-3-1
----------------Jackson-------------------

Neto -----------Palmer-------------Madueke

----------Enzo---------------Lavia-----------

Cucurella----Colwill --------Fofana -------James

Hapo tuna supper sub za hatari

 
Joao Felix ni mshambuliaji mzoefu kuliko Jackson. Alipokuwa Benefica msimu wa 2018/19 akiwa na umri wa miaka 18 alicheza kama mshambuliaji na alifunga mabao 15 na asisti 7.

Twende naye sasa

--------------------Felix---------------------

Neto ------------Palmer-------------Madueke

--------Enzo ------------------Lavia----------

Cucurella------Colwill------Fofana-------James

--------------------Sanchez------------------
 
Hiyo haiwezekani kwa sababu usipotumia sasa mfumo tutarudi kule kule kwa zamani an hakuna siku mfumo utaanza kufanya kazi. Tumeshaamua kwenda na mfumo mwendo ni huo huo na Maresca ameshaweka mfumo tayari

Viungo wote na Fulbacks wote wanafanya kazi iliyofanana


Mfumo wa kushambulia

3-2-5

Neto ----Jackson ---Enzo ----Palmer----Madueke

----------Cucurella---------------Lavia---------

----Colwill ------------Fofana -----------James----


Mfumo wa kujilinda kama maadui wanapress

4-2-3-1
----------------Jackson-------------------

Neto -----------Palmer-------------Madueke

----------Enzo---------------Lavia-----------

Cucurella----Colwill --------Fofana -------James

Hapo tuna supper sub za hatari

View attachment 3080161
Niliiona hii super sport anaelezea namna chelsea wanavyotakiwa wacheze, nikajiuliza hivi si ndio anauza ramani ya vita mwenyewe.
 
Niliiona hii super sport anaelezea namna chelsea wanavyotakiwa wacheze, nikajiuliza hivi si ndio anauza ramani ya vita mwenyewe.
Miaka yote wapinzani wanajua mbinu, mifumo na style za uchezaji wa City, still Pep anatoa dozi na kubeba makombe mfululizo.

Kujua mbinu na mifumo ya mpinzani ni jambo moja, kufikia ubora wake uwanjani ni jambo lingine.
 
Niliiona hii super sport anaelezea namna chelsea wanavyotakiwa wacheze, nikajiuliza hivi si ndio anauza ramani ya vita mwenyewe.
Huu mfumo ukitekelezwa vizuri hata adui akijua tena ndio inakuwa mbaya zaidi
Mfano kuweka washambuliaji tano mbele wakati tuna posses mpira maana yake wakiamua kumpress lazima wamuachia striker nafasi na wakiamua kufanya zonal marking (Kupaki mabasi) tunashambulia kutokea pembeni kwa kuwatumia mawinga akina Neto na Madueke ndio kazi yao. Unaona magoli mengi anafunga Madueke kwa sababu wanapaki basi, walipopjaribu kupanuka Felix na Palmer wakaweka chuma wakitokea katikati
Madhara ya huu mfumo ni mbili
  1. kuwa na mabeki wasio wazoefu kwenye kukaba
  2. ukikutana na timu inayojua kufanya counter lazima uumie
 
Hiyo haiwezekani kwa sababu usipotumia sasa mfumo tutarudi kule kule kwa zamani an hakuna siku mfumo utaanza kufanya kazi. Tumeshaamua kwenda na mfumo mwendo ni huo huo na Maresca ameshaweka mfumo tayari

Viungo wote na Fulbacks wote wanafanya kazi iliyofanana


Mfumo wa kushambulia

3-2-5

Neto ----Jackson ---Enzo ----Palmer----Madueke

----------Cucurella---------------Lavia---------

----Colwill ------------Fofana -----------James----


Mfumo wa kujilinda kama maadui wanapress

4-2-3-1
----------------Jackson-------------------

Neto -----------Palmer-------------Madueke

----------Enzo---------------Lavia-----------

Cucurella----Colwill --------Fofana -------James

Hapo tuna supper sub za hatari

View attachment 3080161
Huo mfumo anaousemea Enzo naona kama unamfaa sana Madueke hasa tunapocheza na Low Blcok teams, zile zinazopaki mabasi
 
Here we go again with a striker signing deal.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Screenshot_2024-08-27-15-29-49-86_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
Screenshot_2024-08-27-15-30-18-55_57c112598cf4b19b960b8407611f6342.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom