Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Obvious sababu inaweza kusababisha asajiliwe ni kama akipatikana kwa price tag ndogo may be £30 - 45M with the prospect ya kumuuza for £48M - 66M
Na pia kama itaruhusu swap deals ya wachezaji wasiotakiwa na kocha (Raheem Sterling an Ben Chilwell)
 
Al Ahli wamewasilisha ombi la awali kwa Napoli kwa Victor Osimhen kwa kifurushi cha zaidi ya €65m.

Napoli iko tayari kumwachia lakini HAKUNA makubaliano kati ya mshambuliaji huyo wa Nigeria na Al Ahli hadi sasa.

Mkataba bado uko mbali kwa upande wa mchezaji, Osimhen atazingatia chaguzi + zisizo wazi kwa mkopo.

@FabrizioRomano

1724623239427.png
 
Ishu inayochalkenge ni kwamba Enzo anaoffer kitu cha kipekee kwenye kupiga pass. Yule kijana pasi zake zina macho na zinabreak lines kadhaa kwenye pitch kitu ambacho Caisedo siyo mzuri sana labda Lavia tatizo la Enzo ni kuwa siyo mzuri defensively. Hata pale Argentina kuna majitu yanamrahisishia kazi akina De Paul
Umemaliza kila kitu hapa mkuu.
 
Al Ahli wamewasilisha ombi la awali kwa Napoli kwa Victor Osimhen kwa kifurushi cha zaidi ya €65m.

Napoli iko tayari kumwachia lakini HAKUNA makubaliano kati ya mshambuliaji huyo wa Nigeria na Al Ahli hadi sasa.

Mkataba bado uko mbali kwa upande wa mchezaji, Osimhen atazingatia chaguzi + zisizo wazi kwa mkopo.

@FabrizioRomano

View attachment 3079306
Chelsea wapo kimya kwa huyu player sijui wanataka uhakika wa kuondoa baadhi ya players au wameamua kuachanae?
 
Chelsea wapo kimya kwa huyu player sijui wanataka uhakika wa kuondoa baadhi ya players au wameamua kuachanae?
Wanamsubiri mchezaji aamue hata kama ni kulipowa mshahara mkubwa sio ule anaotaka yeye, uendane na muundo wa mishahara ya Chelsea
Osimhen ana maamuzi ya kufanya, kuchagua mshahara mkubwa wa Saudi au apunguze mshshara ili aje kucheza EPL
 
Katika ufungaji wa magoli kuna wapishi na wanaogawa chakula
Goli la kwanza mpishi alikuwa Palmer kapiga kona nzuri sana
Goli la pili mpishi alikuwa ni Sachez na wagawaji walikuwa ni Jackson na Palmer
Goli la tatu sijaona au nimesahau ilivyopikwa
Katika goli la nne wapishi walikuwa ni Enzo na Caicedo na Palmer na Madueke walikuwa wagawaji wa chakula
Katika goli la tano mpishi alikuwa ni Enzo na Jackson akaleta fujo ndogo ila Palmer na Madueke wakagawa chakula
Katika goli la sita mpishi safari hii aligeuka kuwa Palmer na Neto pamoja na Felix wakawa wagawaji
Goli la sita
 
Al Ahli wamewasilisha ombi la awali kwa Napoli kwa Victor Osimhen kwa kifurushi cha zaidi ya €65m.

Napoli iko tayari kumwachia lakini HAKUNA makubaliano kati ya mshambuliaji huyo wa Nigeria na Al Ahli hadi sasa.

Mkataba bado uko mbali kwa upande wa mchezaji, Osimhen atazingatia chaguzi + zisizo wazi kwa mkopo.

@FabrizioRomano

View attachment 3079306
Osimhen amekataa ofa ya Saudi
Chelsea On!
 
Sioni sababu za msingi kumsajili Sancho
Sancho ni kwa sababu ya makerup ya Sterling au Chilwell
Tukiweza kubadilsihana na kati ya mmojawapo, tutakuwa tumepunguza mizigo ya kula mishahara ya bure
Sacho atakuaj kupigania nafasi na kocha amesema anafaa kwenye mfumo wake
 
Mbadala wa Lavia ni nani?
Viungo kwa maana ya Central Midfielders (CM) wako wanne kama sijakosea na kwa mfumo wa Enzo hata Fullback ni viungo kwa hiyo ongeza Gusto, James, Veiga na Cucurella. Kwa kweli midfield iko crowded. Personality ya mtu mmoja huwezi replace bali mfumo uanwez akumreplace
 
Katika ufungaji wa magoli kuna wapishi na wanaogawa chakula
Goli la kwanza mpishi alikuwa Palmer kapiga kona nzuri sana
Goli la pili mpishi alikuwa ni Sachez na wagawaji walikuwa ni Jackson na Palmer
Goli la tatu sijaona au nimesahau ilivyopikwa
Katika goli la nne wapishi walikuwa ni Enzo na Caicedo na Palmer na Madueke walikuwa wagawaji wa chakula
Katika goli la tano mpishi alikuwa ni Enzo na Jackson akaleta fujo ndogo ila Palmer na Madueke wakagawa chakula
Katika goli la sita mpishi safari hii aligeuka kuwa Palmer na Neto pamoja na Felix wakawa wagawaji
Goli la sita

Viungo kwa maana ya Central Midfielders (CM) wako wanne kama sijakosea na kwa mfumo wa Enzo hata Fullback ni viungo kwa hiyo ongeza Gusto, James, Veiga na Cucurella. Kwa kweli midfield iko crowded. Personality ya mtu mmoja huwezi replace bali mfumo uanwez akumreplace
Na huo mfumo ni mchakato, je kipindi ambacho haujakubali Chelsea SC itakuwa wapi kimatokeo?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Viungo kwa maana ya Central Midfielders (CM) wako wanne kama sijakosea na kwa mfumo wa Enzo hata Fullback ni viungo kwa hiyo ongeza Gusto, James, Veiga na Cucurella. Kwa kweli midfield iko crowded. Personality ya mtu mmoja huwezi replace bali mfumo uanwez akumreplace
Jana niliona kipindi cha kwanza kila mara Gusto anaingia ndani kumsaidia Caicedo na Fofana kuchukua nafasi yake. Hii ilikuwa inasababisha Mathius Cunha kila wakati anapata nafasi ya kuisumbua begi zetu.
 
Viungo kwa maana ya Central Midfielders (CM) wako wanne kama sijakosea na kwa mfumo wa Enzo hata Fullback ni viungo kwa hiyo ongeza Gusto, James, Veiga na Cucurella. Kwa kweli midfield iko crowded. Personality ya mtu mmoja huwezi replace bali mfumo uanwez akumreplace
Kama mfumo wa city John Stones huwa anapanda juu anacheza kama kiungo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom