Maresca mtampenda tu bure
Hawaklumbatii wachezaji
Anakupa nasfai ucheze halafu usipojituma hapo hapo anakupiga ngumi ya uso
Sterling ameambiwa atasota sana kuchez akama hatatafuta timu ya kuchezea
Chilwell ameambiwa atafute timu ya kuchez akwa sababu Chelsea hatapewa
Broja naye alipewa muda wa kutosha pre season kama Sterling halafu hawakuonyesha kama wanafaa kubaki, naye anauzwa hatakiwi
Petrovic, Galagher na Chalobah wao hawakujaribiwa kabisa, sijui aliwapima kupitia Youtube?
Wachezaji hawa watafuata nyayo 2025
James, naona ansota sana kwenye mfumo mpya. Yeye alizoea ule mfumo wa kucheza pembeni tu na kuambaa na mpira pembeni wma uwanja
Mudryk: yeye atapewa msimu mzima, asipoonyesha anafaa 2025 sokoni
Sanchez:" haijalishi kocha amempa nafasi ya kwanza ila akiendlea kuvuta bangi, atawekwa pembeni halafu 2025 tunamuweka sokoni kwa mil 3
Enzo: Huyu naona ile juhudi yake ya mwanzoni imefifia, uwanjani ni kama hajitumi sana, naona kama dawa yake iko jikoni. Msimu ujao hatutaki kuwa na mizigo uwanjani
Issue ya Madueke hatumuuzi kwa sababu hachezi vizuri wala hafai kwenye mfumo bali tutamuuza kwa sababu za conviniences. Tukimpata bora kuliko yeye na mwenye kuofa vitu vizuri zaidi tunamuuza tena sio kwa kumsukuma, milioni 60 mwisho 50. Pia akina Paez na Estevao Willian watakuja 2025 na wote wanaonekana wako tayari kwa first team