Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mapema mno, mechi yake ya pili yenye ushindani
Tumpe hadi desemba
Kocha ana mbwembwe sana hadi zinapitiliza maarifa, afanye mambo kimya kimya kama Wakurya wanaofukuza wezi kwenye anga zao.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Maresca ni tofauti kabisa na Pochettino. Huwezi kukuta Pochettino akiwapa changamoto kama hii hapa chini wachezaji!

Maresca atuma onyo kwa kikosi chake :

"Ninahukumu timu inayoanza kulingana na jinsi wanavyofanya kazi kila siku, usipofanya mazoezi kwa nguvu, hutacheza, na kama wanadhani hawachezi Jumapili basi watacheza Alhamisi lakini Jumapili hadi Jumapili. Alhamisi hawafanyi mazoezi vizuri, hawatacheza Ligi Kuu Jumapili na hawatacheza Alhamisi”

"Chelsea ni klabu yenye mahitaji mengi, unahitajika kufanya kazi kwa bidii, kupambana hadi mwisho ili kupata nafasi yako na kutoa 100%"
1724418555626.png
 
Mimi kwa sababu zangu binafsi na za kimpira nilipenda Pochetino aendelee kubaki kwa sababu kuna mambo mengi alionyesha kuyamudu.

Nina uhakika wengi hamjasahau mechi ya kwanza ya ligi ilikuwa ni Liverpool vs Chelsea. Mpira ulitembea na mechi iliisha kwa sare, tulipata point kwa city na kumchapa Man U na tangu Januari tulipata matokeo mazuri mpaka msimu unaisha tulikuwa nafasi ya sita.

Wachezaji waliimpove mfan Palmer, Jackson, Caisedo, Mudueke, Galagher, Chalobah, Cucurella, Gusto nk.

Timu ilicheza mpira direct

Tulimaliza nafasi ya 6 huku tukiwa na injuries za James, Fofana, Nkunku, Chilwel, Levi Colwil na hata wachezaji waliokuwa wanacheza wengi walikuwa wamenunuliwa kutoka Belgium, Spain, Portugal etc . Hivyo hawakuwa na uzoefu wa ligi kuu wala kucheza pamoja kama timu.

Lakini lazima tukubali kuwa Poch siyo sehemu ya Chelsea ya sasa. Kocha ni Maresca na inabidi tumback up kwa kumpa muda angalau hata mechi 10.

Pamoja na kuwa hana uzoefu ktk kazi ya ukocha ila anaonyesha uwezo na authority ya kufanya hivyo.

Tumpe muda ili tumhukumu kwa haki. Ila kumhumu baada ya mechi 2 siyo fair.
Tumepigwa kuhusu Kocha, ni muda tu utaamua na nimekaa pale 🙎



Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Maresca ni tofauti kabisa na Pochettino. Huwezi kukuta Pochettino akiwapa changamoto kama hii hapa chini wachezaji!

Maresca atuma onyo kwa kikosi chake :

"Ninahukumu timu inayoanza kulingana na jinsi wanavyofanya kazi kila siku, usipofanya mazoezi kwa nguvu, hutacheza, na kama wanadhani hawachezi Jumapili basi watacheza Alhamisi lakini Jumapili hadi Jumapili. Alhamisi hawafanyi mazoezi vizuri, hawatacheza Ligi Kuu Jumapili na hawatacheza Alhamisi”

"Chelsea ni klabu yenye mahitaji mengi, unahitajika kufanya kazi kwa bidii, kupambana hadi mwisho ili kupata nafasi yako na kutoa 100%"
View attachment 3077241
Kuna makocha wanawatetea wachezaji wao publicly ila kwenye mazoezi na dressing room kunachimbika.

Kuna wengine wanawacritisize hadharani wachezaji wao.


Sioni ubaya katika choice of means. Cha msingi ni kuangalia umri na maturity level. Naamini kama Jackson asingetetewa na kocha tungempoteza mapema sana. Lakini tazama ana magoli mengi kuliko Hujlund, Gabriel Jesus, Nunuz, Rushford, Kai Herverz, Martinel,..

Kuna vitu hata siyo indicator kuwa kocha atafanikiwa.

Mimi kuna vitu naona navyo Maresca ila bado nampa muda. Baada ya mechi ya Wolves nitazungumzia kidogo
 
Mimi kwa sababu zangu binafsi na za kimpira nilipenda Pochetino aendelee kubaki kwa sababu kuna mambo mengi alionyesha kuyamudu.

Nina uhakika wengi hamjasahau mechi ya kwanza ya ligi ilikuwa ni Liverpool vs Chelsea. Mpira ulitembea na mechi iliisha kwa sare, tulipata point kwa city na kumchapa Man U na tangu Januari tulipata matokeo mazuri mpaka msimu unaisha tulikuwa nafasi ya sita.

Wachezaji waliimpove mfan Palmer, Jackson, Caisedo, Mudueke, Galagher, Chalobah, Cucurella, Gusto nk.

Timu ilicheza mpira direct

Tulimaliza nafasi ya 6 huku tukiwa na injuries za James, Fofana, Nkunku, Chilwel, Levi Colwil na hata wachezaji waliokuwa wanacheza wengi walikuwa wamenunuliwa kutoka Belgium, Spain, Portugal etc . Hivyo hawakuwa na uzoefu wa ligi kuu wala kucheza pamoja kama timu.

Lakini lazima tukubali kuwa Poch siyo sehemu ya Chelsea ya sasa. Kocha ni Maresca na inabidi tumback up kwa kumpa muda angalau hata mechi 10.

Pamoja na kuwa hana uzoefu ktk kazi ya ukocha ila anaonyesha uwezo na authority ya kufanya hivyo.

Tumpe muda ili tumhukumu kwa haki. Ila kumhumu baada ya mechi 2 siyo fair.
Umechambua mpira kisomi zaidi, ngoja niwe mpole kwa heshima yako Chifu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kuna makocha wanawatetea wachezaji wao publicly ila kwenye mazoezi na dressing room kunachimbika.

Kuna wengine wanawacritisize hadharani wachezaji wao.


Sioni ubaya katika choice of means. Cha msingi ni kuangalia umri na maturity level. Naamini kama Jackson asingetetewa na kocha tungempoteza mapema sana. Lakini tazama ana magoli mengi kuliko Hujlund, Gabriel Jesus, Nunuz, Rushford, Kai Herverz, Martinel,..

Kuna vitu hata siyo indicator kuwa kocha atafanikiwa.

Mimi kuna vitu naona navyo Maresca ila bado nampa muda. Baada ya mechi ya Wolves nitazungumzia kidogo
Umechambua vizuri sana
 
Mimi kwa sababu zangu binafsi na za kimpira nilipenda Pochetino aendelee kubaki kwa sababu kuna mambo mengi alionyesha kuyamudu.

Nina uhakika wengi hamjasahau mechi ya kwanza ya ligi ilikuwa ni Liverpool vs Chelsea. Mpira ulitembea na mechi iliisha kwa sare, tulipata point kwa city na kumchapa Man U na tangu Januari tulipata matokeo mazuri mpaka msimu unaisha tulikuwa nafasi ya sita.

Wachezaji waliimpove mfan Palmer, Jackson, Caisedo, Mudueke, Galagher, Chalobah, Cucurella, Gusto nk.

Timu ilicheza mpira direct

Tulimaliza nafasi ya 6 huku tukiwa na injuries za James, Fofana, Nkunku, Chilwel, Levi Colwil na hata wachezaji waliokuwa wanacheza wengi walikuwa wamenunuliwa kutoka Belgium, Spain, Portugal etc . Hivyo hawakuwa na uzoefu wa ligi kuu wala kucheza pamoja kama timu.

Lakini lazima tukubali kuwa Poch siyo sehemu ya Chelsea ya sasa. Kocha ni Maresca na inabidi tumback up kwa kumpa muda angalau hata mechi 10.

Pamoja na kuwa hana uzoefu ktk kazi ya ukocha ila anaonyesha uwezo na authority ya kufanya hivyo.

Tumpe muda ili tumhukumu kwa haki. Ila kumhumu baada ya mechi 2 siyo fair.
Tatizo la huyo mkora alishindwa kumudu timu ndogo. Aliweza kuzidindia timu kubwa lakini wenye points nyingi ni timu ndogo
Sasa ebu tumsubiri huyu mkora mwingine kama ataweza kuzimudu hizo timu ndogo
 
Tatizo la huyo mkora alishindwa kumudu timu ndogo. Aliweza kuzidindia timu kubwa lakini wenye points nyingi ni timu ndogo
Sasa ebu tumsubiri huyu mkora mwingine kama ataweza kuzimudu hizo timu ndogo
Msimu uliisha hivi
 

Attachments

  • Screenshot_20240823_193828_LiveScore.jpg
    Screenshot_20240823_193828_LiveScore.jpg
    108.9 KB · Views: 11
Kuna makocha wanawatetea wachezaji wao publicly ila kwenye mazoezi na dressing room kunachimbika.

Kuna wengine wanawacritisize hadharani wachezaji wao.


Sioni ubaya katika choice of means. Cha msingi ni kuangalia umri na maturity level. Naamini kama Jackson asingetetewa na kocha tungempoteza mapema sana. Lakini tazama ana magoli mengi kuliko Hujlund, Gabriel Jesus, Nunuz, Rushford, Kai Herverz, Martinel,..

Kuna vitu hata siyo indicator kuwa kocha atafanikiwa.

Mimi kuna vitu naona navyo Maresca ila bado nampa muda. Baada ya mechi ya Wolves nitazungumzia kidogo
Maresca muda mzuri wa kumjadili ni January baada ya nusu ya ligi kuisha, hii ya kusema jambo baada ya mechi ya Wolve sio timing nzuri. Pia tujue kuwa uwezo wa Maresca haianziii pale Pochettino alipoishia bali pale alipoanzia. Sababu kubwa ni kwamba kama Chelsea ni simu, Maresca kaja kuflash kaanza upya
 
Mechi ya Wolves ikimaliza lazima kuwepo na positives pamoja na negatives. Tutaziaddress si kwa lengo la kumjaji kocha bali kuonyesha kuwa timu yetu inaendelea wapi na inahitaji kuboreshwa wapi. Mfano kwenye mechi ya jana unaweza kuona kuna gap kubwa kati ya RCB CCB na LCB wakati hatuna mpira kitu ambacho ukikifanya EPL utafungwa na timu disaini ya West ham mpaka uchakae
Maresca muda mzuri wa kumjadili ni January baada ya nusu ya ligi kuisha, hii ya kusema jambo baada ya mechio ya Wolve sio timing nzuri. Pia tujue kuwa uwezo wa Maresca haianziii pale Pochettino alipoishia bali pale alipoanzia. Sababu kubwa ni kwamba kama Chelsea ni simu, Maresca kaja kuflash kaanza upya
 
Tatizo la huyo mkora alishindwa kumudu timu ndogo. Aliweza kuzidindia timu kubwa lakini wenye points nyingi ni timu ndogo
Sasa ebu tumsubiri huyu mkora mwingine kama ataweza kuzimudu hizo timu ndogo
Kwenye premier hamna timu ndogo ila kuna top six tu, ambazo pia zinapigwa na bottom 4. na mid table timu, la muhimu ni kupanga kikosi chako kimakini ili upate point zote unazo ona ni muhimu.
 
Kwenye premier hamna timu ndogo ila kuna top six tu, ambazo pia zinapigwa na bottom 4. na mid table timu, la muhimu ni kupanga kikosi chako kimakini ili upate point zote unazo ona ni muhimu.
Niweke sawa, timu zinawzoweka "low block"
Timu zote ndogo ni zile hasa zinazocheza kwa kujihami na kupaki mabasi. Pochettino alizishindwa na point nyingi zilipotelea hapo hadi tukashindwa kuingia top 4. Hii ukiondoa matokeo mazuri aliyopata kwenye mechi kama 6 za mwishoni
 
Bolingoli hatunaye tena. Hajafa, usishtuke
Napoli na Chelsea wameafikiana dili la kumuuza Lukaku Napoli kwa dau la Euro milioni 30 pamoja na add-ons ya sale clasue yenye thamani ya Euro milioni 15 kama atauswa milioni 45
Sasa kazi ni moja ya kumleta Osimhen au Striker yeyote mwenye kuweza kuziona nyavu mara kwa mara
Japo kocha kashasema atamtumia Joao Felix kwenye nafasi ya namba 9 kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kurudi ndani na kuchukua mipira.
1724441341538.png
 
Samu Omorodion kauzwa Portal kwa Euro milioni 15 tu,
Masharti
sell clause ya 50% na RC lazima iwe Euro mil 100
 
Dili la Broja liko hatarini kufunjika

Dili la Armando Broja kwenda Ipswich kuna uwezekano wa kuvunjika. Kuna ripoti inasema limevunjwa katika hatua ya makaratasi. Walakini, chanzo kimoja kinadai matibabu yaligundua jambo baya.
1724497117803.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom