Fagia fagia anayofanya Maresca haina tofauti kabisa na alichokifanya Arteta Arsenal na alichokifanya Kipara baba yao Man city.
Waliingia na kuwaondoa wachezaji wasiofaa, wakiwemo wenye majina makubwa kwenye chumba cha kubadilishia nguo.
Kama meneja, unahitaji mamlaka hayo, yakiungwa mkono na uongozi kufanya kazi na kuheshimiwa na kikosi. Ni kukandamiza mamlaka yako, yeyote ambaye ana tatizo na hilo anapaswa kuondoka, na kukuruhusu kujenga kikosi cha uaminifu, kinachofaa kwa soka lako.
Arteta alipofanya hivyo, vyombo vya habari vilidai kuwa alikuwa akipoteza chumba cha kubadilishia nguo lakini alikuwa akifanya chumba cha kubadilishia kuwa chake, chini ya udhibiti wake. Ilifanya kazi.
Natumaini baada ya muda mfupi hii fagifagia italeta matunda na furaha darajani