juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Huu ukubwa wa kikosi uko kwenye makaratas tuPia Changamoto kubwa inayomkabili kocha ni ukubwa wa kikosi, wachezaji wengi sana mpaka wamemwagikia na bado wanaendelea kusajiliwa.
Kocha akisema ampange Kurwa Dotto analia, akimpanga Doto kurwa analia. Kabla dirisha halijafungwa wachezaji wapunguzwe kwa mkopo au kuuzwa, kocha abaki na wachezaji cream atakaoweza kuwamanage na kupata matokeo.
Wachezaji wote ambao hawako kwenye mpango wanatrain kivyao na academy na si first team tangu pre season
Tujaribu kufatilia habar zetu hadi za kwenye mazoezi o kocha akiwa anaongea