Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hili litimu ni Bora tu gemuachiaga tu Abramovich, angalia Sasa maujinga tunayofanya, Pochettihno alianza ku make kitu ila hapa tutashuka daraja kabisa
 
Timu leo imecheza vizuri, tatizo pekee la Chelsea leo ni kule mbele. Bado Jackson ni wastefull. City wangepachikwa bao hata moja ingebadili mwendendo wa mechi. Natumaini kabla dirisha halijafungwa Osimhen atakuwa amesajiliwa
Tunahitaji kuwa clinical, Kuna chance tunapata ila tunaweka mambo mengi ndani ya box kutaka kucheza na mwamuzi, Wakat refa mwenyewe ni anthony tylor

Yote kwa yote tunahitaji Osihmen au striker yoyote yule anayejua kumaliza.

Thus naendelea kupinga usajili wa Felix kwa sasa hatumuhitaji
 
Timu leo imecheza vizuri, tatizo pekee la Chelsea leo ni kule mbele. Bado Jackson ni wastefull. City wangepachikwa bao hata moja ingebadili mwendendo wa mechi. Natumaini kabla dirisha halijafungwa Osimhen atakuwa amesajiliwa

Timu leo imecheza vizuri, tatizo pekee la Chelsea leo ni kule mbele. Bado Jackson ni wastefull. City wangepachikwa bao hata moja ingebadili mwendendo wa mechi. Natumaini kabla dirisha halijafungwa Osimhen atakuwa amesajiliwa
Timu bado sana wala tusijifariji na sio kosa la kocha 100%
1. Bado hakuna chemistry ya uchezaji haswa under pressure wachezaji hawasomani, hawana mawasiliano
2. Kuna waliompuuza MP na mbinu zake za Run Run ila wachezaji wengi walichoka mapema sana inaonekana kuna mapungufu kwenye physical fitness maybe muda mwingi timu ilikuwa inafanyia mazoezi tactical issue ikasahau masuala ya physical awareness
3. Suala ya timu kuacha magepu ni ugonjwa ambao unatakiwa ufanyiwe kazi mapema mchezaji pekee mzuri kwenye kunusa hatari na njia ni Caseido. City hilo wameprove maana kila pasi hatari walikuwa wanaziona na kuzuia na hili suala sio la DM pekee ni suala la ulinzi shirikishi na kocha hapa anamtihani
4. Enzo anabebwa na price tag ila ni mzururaji mzuri na anawabebesha wenzie mzigo kwenye kukaba (poor on driving a ball while attacking space)
5. Hakuna winning mentality kabisa kwa wachezaji ni kama vile kamentality ka trust the process kamewaingia wachezaji na kuamini ipo siku tutakuwa winner ila sio leo hapa ndio timu kama Madrid& city wako kwenye sayari yao
 
Mateso yanaendelea
 

Attachments

  • 20240818_182807.jpg
    20240818_182807.jpg
    130.2 KB · Views: 12
Timu bado sana wala tusijifariji na sio kosa la kocha 100%
1. Bado hakuna chemistry ya uchezaji haswa under pressure wachezaji hawasomani, hawana mawasiliano
2. Kuna waliompuuza MP na mbinu zake za Run Run ila wachezaji wengi walichoka mapema sana inaonekana kuna mapungufu kwenye physical fitness maybe muda mwingi timu ilikuwa inafanyia mazoezi tactical issue ikasahau masuala ya physical awareness
3. Suala ya timu kuacha magepu ni ugonjwa ambao unatakiwa ufanyiwe kazi mapema mchezaji pekee mzuri kwenye kunusa hatari na njia ni Caseido. City hilo wameprove maana kila pasi hatari walikuwa wanaziona na kuzuia na hili suala sio la DM pekee ni suala la ulinzi shirikishi na kocha hapa anamtihani
4. Enzo anabebwa na price tag ila ni mzururaji mzuri na anawabebesha wenzie mzigo kwenye kukaba (poor on driving a ball while attacking space)
5. Hakuna winning mentality kabisa kwa wachezaji ni kama vile kamentality ka trust the process kamewaingia wachezaji na kuamini ipo siku tutakuwa winner ila sio leo hapa ndio timu kama Madrid& city wako kwenye sayari yao
Wewe umechambua uhalisia kwa asilimia 💯
 
Timu bado sana wala tusijifariji na sio kosa la kocha 100%
1. Bado hakuna chemistry ya uchezaji haswa under pressure wachezaji hawasomani, hawana mawasiliano
2. Kuna waliompuuza MP na mbinu zake za Run Run ila wachezaji wengi walichoka mapema sana inaonekana kuna mapungufu kwenye physical fitness maybe muda mwingi timu ilikuwa inafanyia mazoezi tactical issue ikasahau masuala ya physical awareness
3. Suala ya timu kuacha magepu ni ugonjwa ambao unatakiwa ufanyiwe kazi mapema mchezaji pekee mzuri kwenye kunusa hatari na njia ni Caseido. City hilo wameprove maana kila pasi hatari walikuwa wanaziona na kuzuia na hili suala sio la DM pekee ni suala la ulinzi shirikishi na kocha hapa anamtihani
4. Enzo anabebwa na price tag ila ni mzururaji mzuri na anawabebesha wenzie mzigo kwenye kukaba (poor on driving a ball while attacking space)
5. Hakuna winning mentality kabisa kwa wachezaji ni kama vile kamentality ka trust the process kamewaingia wachezaji na kuamini ipo siku tutakuwa winner ila sio leo hapa ndio timu kama Madrid& city wako kwenye sayari yao
Hii timu leo imecheza vizuri, sijui uliangalia wapi ;akini tumecheza vizuri. Timu hii ni chnaga, madhaifu amchache yaliyojitoikeza tunategemea kwenye mechi zinazofuata zitapungua. Hii timu sio ya kugombe aubingwa kama Man City. PEP kawa nao kwa miaka nane, Meresca yuko na Chelsea kwa mwezi miezi miwili tu na kwa ligi ni mechi ya kwanza tu. Sasa wewe unaichambua Chelsea kama vile unaichambua City. Pole sana naona uchambuzi wako umeghubikwa na machungu ya kipenzi chako MP kutimuliwa. Kwenye mpira unatakiwa kuganya yajayo, ukianza kugeuka nyuma utageuzwa kuwa jiwe la chumvi
 
Kwenye huu msimu tutabeba points nyingi tu, watu wamesahahu kuwa tuliokuwa tunacheza na mabingwa watetezi na timu bora zaidi duniani!
Wamesahau kuwa tulikuwa tunacheza na Man City P{EP akiwa ndie kocha wao

Mimi nilitegemea mabeki watapoteana na kucheza vibaya lakini hilo halikutokea

Fofana kacheza vizuri sana - nilikuwa namhofia hasa yeye

Kule mbele tu ndiko sikuridhika nako kabisa

Nkunku bado sio mzuri kule LW labda Neto

Jackson anatakiwa apunguziwe majukumu, tukimtegema yeye tutasubiri sana hadi tuote mvi
 
Kwani kwako kuna nin i, au kwa sababu mmeanza na Ipswich Town F.C.?
Ipswich Town??? Hawawezi kuifunga Chelsea hii ??? EPL Chelsea hana mechi rahisi kila mechi kwenu ni ngumu haijalishi mmeanza na City .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom