Rahim ameshindwa kuwa mfano wa kuigwa kwa akina Mudryk.
Sasa naona Maresca anaanza kunikosha kwa kuondoa flop na wachezaji asiowataka katika mfumo wake.
Kuna watu tunawapenda ila tutambue kuwa wanapaswa ku-earn nafasi zao kwenye mazoezi kwa kufanya anachotaka kocha.
The Blues wenzangu msimu unaanza na nina energy sana msimu huu.
Let back up our manager and the players. Tusiwafrustrate kwenye mitandao kwa sababu ya mikeka kuchanika.
This season naamini utakuwa msimu wa mageuzi maana tumeumia vya kutosha