Filip alipoferm vizuri sana Laliga, angeweza kuwa bor kuliko Sanchez. Ngoja Sanchjez aklianza kumchoma Maresca atamtupa mapema sanaPamoja na yote bado sina imani na Sanchez. Petrovic aliperform vizuri sana wakati Sanchez majeruhi lakini kila kocha anakuja na mipango yake kutokana na kile anachokiona mazoezini
Sidhani kama KDH ataanza kabla ya Lavia au Enzo, huyo atakuwa Sub kwa mechi nyingi hadi perking order ifanye kazi yake na sio kwake tu hata kwa wachezaji wengineNimeona sehemu kuwa kukosi cha kuanza leo ni
Sánchez
Gusto, Fofana, Colwill, Cucurella.
KDH Caisedo Enzo
Nkunku Jackson Palmer.
Hajakaa na team muda mwingi hiyo inaweza kusababisha asianzeNeto ana shida gani
Kikosi kizuri sana leo ndio Caicedo ataonekana bora cos chini yake kuna Laiva atakuwa huru kuzunguka uwanja mzima kama Kante but sijapenda tu kuanza kwa Sanchez hapo kocha kayumbaConfirmed Line Up vs Man City
----------------Jackson----------------------
Nkunku -----------Enzo -------------Palmer
------Caicedo -------------Lavia--------
Cucurella------Colwill------Fofana------Gusto
---------------Sanchez---------------------
Sub
- Fillip
- Tosin
- Badiashile
- KDH
- Neto
- Sterling
- Mudryk
- Madueke
- Marc Guiu
Samahani, Sterling hata kwenye benchi hayupo, badala yake yupo Veiga. Ni kuomba Mungu wasiingie majeruhiKikosi kizuri sana leo ndio Caicedo ataonekana bora cos chini yake kuna Laiva atakuwa huru kuzunguka uwanja mzima kama Kante but sijapenda tu kuanza kwa Sanchez hapo kocha kayumba
Kwa reaction hii ya camp ya Sterling simuoni Sterling akiichezea Chelsea tena. Hii reaction ni too agresive na ina ukatili mkubwa ndani yake kumlazimisha kocha amchezeshe mchezaji ambay anamjua fika tangu akiwa MAn city.Taarifa kutoka kwa wawakilishi wa Raheem Sterling kuhusu kuachwa nje.
Hali ya kustaajabisha kuhusu mchezaji ambaye alisajiliwa kama mchezaji wa mara kwa mara kwa mshahara wa papo hapo.
"Raheem Sterling amepewa kandarasi na Klabu ya Soka ya Chelsea kwa miaka mitatu ijayo.
"Alirejea Uingereza wiki mbili mapema kufanya mazoezi ya mtu binafsi, na amekuwa na maandalizi mazuri ya msimu chini ya kocha mpya, ambaye amejenga uhusiano mzuri wa kufanya kazi naye.
"Amejitolea, kama zamani, kutoa kiwango cha juu kwa Chelsea FC na mashabiki, ambao anawaheshimu sana, na kutokana na kujumuishwa kwake katika nyenzo rasmi za klabu kabla ya mechi wiki hii, matarajio yetu yalikuwa kwamba Raheem angehusika. katika mechi ya wikendi hii kwa viwango fulani.
"Kama kambi, tumekuwa na mazungumzo chanya na, na uhakikisho kutoka kwa, Chelsea FC kuhusiana na mustakabali wa Raheem katika klabu, kwa hivyo tunatazamia kupata ufafanuzi juu ya hali hiyo.
"Hadi wakati huo, tutaendelea kuunga mkono hamu ya Raheem ya kuanza msimu mpya vyema."
View attachment 3073471
Nilichokisema hapa naona ndo kocha kaanza nacho. Tuombe Fofana asiumie na atengeneze chemistry nzuri na Colwil.You have a good point ila Veiga ni LCB kuliko RCB. Hivyo tutamtumia zaidi Colwil kama LCB na Fofana akiwa fit basi atacheza kama RCB. Kama Fofana akishindwa tumjaribu Tosin pia
Game ya 1 tu ya msim unatoa statement. Sterling kazingua hapa mentality ile ile kama ya lukaku ego.Taarifa kutoka kwa wawakilishi wa Raheem Sterling kuhusu kuachwa nje.
Hali ya kustaajabisha kuhusu mchezaji ambaye alisajiliwa kama mchezaji wa mara kwa mara kwa mshahara wa papo hapo.
"Raheem Sterling amepewa kandarasi na Klabu ya Soka ya Chelsea kwa miaka mitatu ijayo.
"Alirejea Uingereza wiki mbili mapema kufanya mazoezi ya mtu binafsi, na amekuwa na maandalizi mazuri ya msimu chini ya kocha mpya, ambaye amejenga uhusiano mzuri wa kufanya kazi naye.
"Amejitolea, kama zamani, kutoa kiwango cha juu kwa Chelsea FC na mashabiki, ambao anawaheshimu sana, na kutokana na kujumuishwa kwake katika nyenzo rasmi za klabu kabla ya mechi wiki hii, matarajio yetu yalikuwa kwamba Raheem angehusika. katika mechi ya wikendi hii kwa viwango fulani.
"Kama kambi, tumekuwa na mazungumzo chanya na, na uhakikisho kutoka kwa, Chelsea FC kuhusiana na mustakabali wa Raheem katika klabu, kwa hivyo tunatazamia kupata ufafanuzi juu ya hali hiyo.
"Hadi wakati huo, tutaendelea kuunga mkono hamu ya Raheem ya kuanza msimu mpya vyema."
View attachment 3073471
Rahim ameshindwa kuwa mfano wa kuigwa kwa akina Mudryk.Taarifa kutoka kwa wawakilishi wa Raheem Sterling kuhusu kuachwa nje.
Hali ya kustaajabisha kuhusu mchezaji ambaye alisajiliwa kama mchezaji wa mara kwa mara kwa mshahara wa papo hapo.
"Raheem Sterling amepewa kandarasi na Klabu ya Soka ya Chelsea kwa miaka mitatu ijayo.
"Alirejea Uingereza wiki mbili mapema kufanya mazoezi ya mtu binafsi, na amekuwa na maandalizi mazuri ya msimu chini ya kocha mpya, ambaye amejenga uhusiano mzuri wa kufanya kazi naye.
"Amejitolea, kama zamani, kutoa kiwango cha juu kwa Chelsea FC na mashabiki, ambao anawaheshimu sana, na kutokana na kujumuishwa kwake katika nyenzo rasmi za klabu kabla ya mechi wiki hii, matarajio yetu yalikuwa kwamba Raheem angehusika. katika mechi ya wikendi hii kwa viwango fulani.
"Kama kambi, tumekuwa na mazungumzo chanya na, na uhakikisho kutoka kwa, Chelsea FC kuhusiana na mustakabali wa Raheem katika klabu, kwa hivyo tunatazamia kupata ufafanuzi juu ya hali hiyo.
"Hadi wakati huo, tutaendelea kuunga mkono hamu ya Raheem ya kuanza msimu mpya vyema."
View attachment 3073471
Game ya 1 tu unapublish statement Sterling kazingua hapa.Kwa reaction hii ya camp ya Sterling simuoni Sterling akiichezea Chelsea tena. Hii reaction ni too agresive na ina ukatili mkubwa ndani yake kumlazimisha kocha amchezeshe mchezaji ambay anamjua fika tangu akiwa MAn city.
Natamani kwa hili saga iwe ndio fursa ya kumuuza Sterling Uarabuni atuondolee mzigo kwenye timu
Anjifanya Prime CR7 au Messi hapo Chelsea😀😀😀😀😀😀Game ya 1 tu unapublish statement Sterling kazingua hapa.
Kupitia The Athletic jana walisema Fofana ndie RCB no. 1 na Colwill LCB no. 1. Wote ndio watakaoweka pivot kwenye bckaline ya 4
Sasa nikajiuliza Kocha anawezaje kusema hivyo wakati Fofana anaonekana bado kabisa hajarudi kwenye fitness yake. Kuwa nje miaka miwili sio mchezo.
Pia ningekuwa ni mimi kocha ningemjaribu Veiga kwenye LCB kwa sababu ni aggressive zaidi ya Colwill
Hiovyo hivyo ningemuweka James kwenye RCB na Gusto RB, kuna wakati wa Potter na Lampard kama sijakose a JAmes aliwahi kucheza kama RCB lakini kwenye backline ya