Hii timu leo imecheza vizuri, sijui uliangalia wapi ;akini tumecheza vizuri. Timu hii ni chnaga, madhaifu amchache yaliyojitoikeza tunategemea kwenye mechi zinazofuata zitapungua. Hii timu sio ya kugombe aubingwa kama Man City. PEP kawa nao kwa miaka nane, Meresca yuko na Chelsea kwa mwezi miezi miwili tu na kwa ligi ni mechi ya kwanza tu. Sasa wewe unaichambua Chelsea kama vile unaichambua City. Pole sana naona uchambuzi wako umeghubikwa na machungu ya kipenzi chako MP kutimuliwa. Kwenye mpira unatakiwa kuganya yajayo, ukianza kugeuka nyuma utageuzwa kuwa jiwe la chumvi