Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,798
- 4,682
Si tulikubaliana kuwa hata tukisajili kila mchezaji hakuna mbwa itatusogelea? 


Sent from my 23129RAA4G using JamiiForums mobile app



Sent from my 23129RAA4G using JamiiForums mobile app



Nimeishia hapo uliposema MP ni kipenzi changu. Kumbe nabishana na mtu wa hisia sio factHii timu leo imecheza vizuri, sijui uliangalia wapi ;akini tumecheza vizuri. Timu hii ni chnaga, madhaifu amchache yaliyojitoikeza tunategemea kwenye mechi zinazofuata zitapungua. Hii timu sio ya kugombe aubingwa kama Man City. PEP kawa nao kwa miaka nane, Meresca yuko na Chelsea kwa mwezi miezi miwili tu na kwa ligi ni mechi ya kwanza tu. Sasa wewe unaichambua Chelsea kama vile unaichambua City. Pole sana naona uchambuzi wako umeghubikwa na machungu ya kipenzi chako MP kutimuliwa. Kwenye mpira unatakiwa kuganya yajayo, ukianza kugeuka nyuma utageuzwa kuwa jiwe la chumvi
Itafanana na ile tuliyoambiwa timu zitaogopa kucheza nayo?Kuna watu sijui kama wameangalia mpira vizur ,hii Chelsea kuna moto unakuja ambao timu legalese zitaomba poo
Malalamiko SC ni wewe na Makolokolo SC na Mbumbumbu Mwandamizi...🤗Malalamiko fc
Abrahamovich naye aliwin kitambo hiyo winning mentality ndiyomaana alikuwa harembi kufukuza Kocha ili timu inyakue makombe na miaka aliyedumu Chelsea ndiyo timu iliyokuwa imefanikiwa kwa makombe mengi, Wamang'ati Todd Bohel wanafanya biashara tu wala si wa kuwategemea kiviile.Timu bado sana wala tusijifariji na sio kosa la kocha 100%
1. Bado hakuna chemistry ya uchezaji haswa under pressure wachezaji hawasomani, hawana mawasiliano
2. Kuna waliompuuza MP na mbinu zake za Run Run ila wachezaji wengi walichoka mapema sana inaonekana kuna mapungufu kwenye physical fitness maybe muda mwingi timu ilikuwa inafanyia mazoezi tactical issue ikasahau masuala ya physical awareness
3. Suala ya timu kuacha magepu ni ugonjwa ambao unatakiwa ufanyiwe kazi mapema mchezaji pekee mzuri kwenye kunusa hatari na njia ni Caseido. City hilo wameprove maana kila pasi hatari walikuwa wanaziona na kuzuia na hili suala sio la DM pekee ni suala la ulinzi shirikishi na kocha hapa anamtihani
4. Enzo anabebwa na price tag ila ni mzururaji mzuri na anawabebesha wenzie mzigo kwenye kukaba (poor on driving a ball while attacking space)
5. Hakuna winning mentality kabisa kwa wachezaji ni kama vile kamentality ka trust the process kamewaingia wachezaji na kuamini ipo siku tutakuwa winner ila sio leo hapa ndio timu kama Madrid& city wako kwenye sayari yao
Kovacic anakusanya kijiji Machezaji yako yanamkodolea tu macho yakiogopa kupata kadi ya njano, inashangaza 🤔😉Mara nyingi matokeo mabovu ndio inayoimpa adui nguvu ya kudharau
Kwa mchezo huu huu Chelsea ingetoa droo au kushinda, wengi wanaosema Chelsea imecheza vibaya wangekuja kwa mbwembwe Chelsea imec heza vizuri
Contextually, kwa mazingira ya hii timu, ya kocha mpya, mfumo mpya, wachezaji wengi kutozoeana, hii mechi ya leo imeonyesha mwanga mzuri sana kwa mechi zijazo. Sihitaji kutumia nguvu kwajibu wala kuwapinga wenye mitizamo yao na wengine wakiendeshwa na hisia na mahaba kwenye timu zao au kocha wao au wachezaji wao ila mpira ulioonyeshwa na hawa vijana leo ni mkubwa mno. Bahgati mbaya tu hatukutoka na point.
Naamini Chelsea hii, kama mabeki wakiwa na consistency nzuri na tukaboresha kwa kumuajiri striker mzuri. Top 4 tutaingia hata kama kwa kuwaacha wengine wameze wembe
Tumerudi hatua kumi nyuma alipoacha ndg mashavu ,ndg mashavu angekuwa na lavia hakika pep achukui point hata mmojaKwenye huu msimu tutabeba points nyingi tu, watu wamesahahu kuwa tuliokuwa tunacheza na mabingwa watetezi na timu bora zaidi duniani!
Wamesahau kuwa tulikuwa tunacheza na Man City P{EP akiwa ndie kocha wao
Mimi nilitegemea mabeki watapoteana na kucheza vibaya lakini hilo halikutokea
Fofana kacheza vizuri sana - nilikuwa namhofia hasa yeye
Kule mbele tu ndiko sikuridhika nako kabisa
Nkunku bado sio mzuri kule LW labda Neto
Jackson anatakiwa apunguziwe majukumu, tukimtegema yeye tutasubiri sana hadi tuote mvi
Kusema tumejaza average player hapo umetupanga sisi hatuna team ila tunawachezaji wazuri, nikisema hatuna team ninamaanisha haina muunganiko mzuri wa kiuchezaji ndio maana unaiona iko vile inahitaji muda wachezaji kuzoeana na kuolewa system ya uchezaji wa huyu kocha mpyaNi timu gani EPL Chelsea anaweza kwenda kuchukua Point 3 kirahisi, Timu imejaa Average Players ambao sio standard club.
CONFERENCE LEAGUE CLUB na Msimu huu RELEGATION BATTLE Itawahusu.
Sababu ya kutolewa ni nini kwa huyu huku akiachwa Enzo aliyekuwa kwenye kiwango kibovu sana kama kocha ataendelea kufanya makosa kama haya hatutafika mbele
FYI huwez fanya biashara if you can’t win.Abrahamovich naye aliwin kitambo hiyo winning mentality ndiyomaana alikuwa harembi kufukuza Kocha ili timu inyakue makombe na miaka aliyedumu Chelsea ndiyo timu iliyokuwa imefanikiwa kwa makombe mengi, Wamang'ati Todd Bohel wanafanya biashara tu wala si wa kuwategemea kiviile.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Je huyo mashavu wako alianza ligi hivi? ebu tuone mechi 10 nini kitatokeaKwenye mechi 13 za mwisho msimu uliopita tulifungwa mmoja kiufupi tulipata structure nzuri ya uchezaji na ongezeko la lavia na fofana tungegawa dozi sana ila tuna matajiri wahuni tu unamuondoa vipi coach mwenye takwimu hizi