Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii timu leo imecheza vizuri, sijui uliangalia wapi ;akini tumecheza vizuri. Timu hii ni chnaga, madhaifu amchache yaliyojitoikeza tunategemea kwenye mechi zinazofuata zitapungua. Hii timu sio ya kugombe aubingwa kama Man City. PEP kawa nao kwa miaka nane, Meresca yuko na Chelsea kwa mwezi miezi miwili tu na kwa ligi ni mechi ya kwanza tu. Sasa wewe unaichambua Chelsea kama vile unaichambua City. Pole sana naona uchambuzi wako umeghubikwa na machungu ya kipenzi chako MP kutimuliwa. Kwenye mpira unatakiwa kuganya yajayo, ukianza kugeuka nyuma utageuzwa kuwa jiwe la chumvi
Nimeishia hapo uliposema MP ni kipenzi changu. Kumbe nabishana na mtu wa hisia sio fact
 
Kivumbi Leo🔥🔥🔥😂😂😂😂😂😂
Kuchambua tu kila siku
Kushinda aaaah!
 
Mara nyingi matokeo mabovu ndio inayoimpa adui nguvu ya kudharau
Kwa mchezo huu huu Chelsea ingetoa droo au kushinda, wengi wanaosema Chelsea imecheza vibaya wangekuja kwa mbwembwe Chelsea imec heza vizuri

Contextually, kwa mazingira ya hii timu, ya kocha mpya, mfumo mpya, wachezaji wengi kutozoeana, hii mechi ya leo imeonyesha mwanga mzuri sana kwa mechi zijazo. Sihitaji kutumia nguvu kwajibu wala kuwapinga wenye mitizamo yao na wengine wakiendeshwa na hisia na mahaba kwenye timu zao au kocha wao au wachezaji wao ila mpira ulioonyeshwa na hawa vijana leo ni mkubwa mno. Bahgati mbaya tu hatukutoka na point.
Naamini Chelsea hii, kama mabeki wakiwa na consistency nzuri na tukaboresha kwa kumuajiri striker mzuri. Top 4 tutaingia hata kama kwa kuwaacha wengine wameze wembe
 
1724012021758.png
 
Timu bado sana wala tusijifariji na sio kosa la kocha 100%
1. Bado hakuna chemistry ya uchezaji haswa under pressure wachezaji hawasomani, hawana mawasiliano
2. Kuna waliompuuza MP na mbinu zake za Run Run ila wachezaji wengi walichoka mapema sana inaonekana kuna mapungufu kwenye physical fitness maybe muda mwingi timu ilikuwa inafanyia mazoezi tactical issue ikasahau masuala ya physical awareness
3. Suala ya timu kuacha magepu ni ugonjwa ambao unatakiwa ufanyiwe kazi mapema mchezaji pekee mzuri kwenye kunusa hatari na njia ni Caseido. City hilo wameprove maana kila pasi hatari walikuwa wanaziona na kuzuia na hili suala sio la DM pekee ni suala la ulinzi shirikishi na kocha hapa anamtihani
4. Enzo anabebwa na price tag ila ni mzururaji mzuri na anawabebesha wenzie mzigo kwenye kukaba (poor on driving a ball while attacking space)
5. Hakuna winning mentality kabisa kwa wachezaji ni kama vile kamentality ka trust the process kamewaingia wachezaji na kuamini ipo siku tutakuwa winner ila sio leo hapa ndio timu kama Madrid& city wako kwenye sayari yao
Abrahamovich naye aliwin kitambo hiyo winning mentality ndiyomaana alikuwa harembi kufukuza Kocha ili timu inyakue makombe na miaka aliyedumu Chelsea ndiyo timu iliyokuwa imefanikiwa kwa makombe mengi, Wamang'ati Todd Bohel wanafanya biashara tu wala si wa kuwategemea kiviile.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Mara nyingi matokeo mabovu ndio inayoimpa adui nguvu ya kudharau
Kwa mchezo huu huu Chelsea ingetoa droo au kushinda, wengi wanaosema Chelsea imecheza vibaya wangekuja kwa mbwembwe Chelsea imec heza vizuri

Contextually, kwa mazingira ya hii timu, ya kocha mpya, mfumo mpya, wachezaji wengi kutozoeana, hii mechi ya leo imeonyesha mwanga mzuri sana kwa mechi zijazo. Sihitaji kutumia nguvu kwajibu wala kuwapinga wenye mitizamo yao na wengine wakiendeshwa na hisia na mahaba kwenye timu zao au kocha wao au wachezaji wao ila mpira ulioonyeshwa na hawa vijana leo ni mkubwa mno. Bahgati mbaya tu hatukutoka na point.
Naamini Chelsea hii, kama mabeki wakiwa na consistency nzuri na tukaboresha kwa kumuajiri striker mzuri. Top 4 tutaingia hata kama kwa kuwaacha wengine wameze wembe
Kovacic anakusanya kijiji Machezaji yako yanamkodolea tu macho yakiogopa kupata kadi ya njano, inashangaza 🤔😉

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Kwenye huu msimu tutabeba points nyingi tu, watu wamesahahu kuwa tuliokuwa tunacheza na mabingwa watetezi na timu bora zaidi duniani!
Wamesahau kuwa tulikuwa tunacheza na Man City P{EP akiwa ndie kocha wao

Mimi nilitegemea mabeki watapoteana na kucheza vibaya lakini hilo halikutokea

Fofana kacheza vizuri sana - nilikuwa namhofia hasa yeye

Kule mbele tu ndiko sikuridhika nako kabisa

Nkunku bado sio mzuri kule LW labda Neto

Jackson anatakiwa apunguziwe majukumu, tukimtegema yeye tutasubiri sana hadi tuote mvi
Tumerudi hatua kumi nyuma alipoacha ndg mashavu ,ndg mashavu angekuwa na lavia hakika pep achukui point hata mmoja
 
Ni timu gani EPL Chelsea anaweza kwenda kuchukua Point 3 kirahisi, Timu imejaa Average Players ambao sio standard club.
CONFERENCE LEAGUE CLUB na Msimu huu RELEGATION BATTLE Itawahusu.
Kusema tumejaza average player hapo umetupanga sisi hatuna team ila tunawachezaji wazuri, nikisema hatuna team ninamaanisha haina muunganiko mzuri wa kiuchezaji ndio maana unaiona iko vile inahitaji muda wachezaji kuzoeana na kuolewa system ya uchezaji wa huyu kocha mpya
 
Abrahamovich naye aliwin kitambo hiyo winning mentality ndiyomaana alikuwa harembi kufukuza Kocha ili timu inyakue makombe na miaka aliyedumu Chelsea ndiyo timu iliyokuwa imefanikiwa kwa makombe mengi, Wamang'ati Todd Bohel wanafanya biashara tu wala si wa kuwategemea kiviile.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
FYI huwez fanya biashara if you can’t win.

Kama lengo ni biashara why unainvest 100M kwa 1 player???? Hii nadharia sio sahihi kwamba wako lengo la biashara. Huwez fanya biashara kama team inafanya vibaya

Kitu nachoamini wameamua kuwa na njia yao kama Kroenke alivyoamua, FSG walivyoamua

Wakat wa Roman yes tumepata mafanikio ila consistency haikuwepo huku mwishoni ndio maana unakuta msim huu bingwa msim ujao tumemaliza 10

Kitu wanachotaka kufanya ni team iwe na mwendelezo wa kutawala soka la uingereza kama city tu. Itachukua mda gani na maamuzi sahihi kufika hapo hapo ndio hatujui
 
Kwenye mechi 13 za mwisho msimu uliopita tulifungwa mmoja kiufupi tulipata structure nzuri ya uchezaji na ongezeko la lavia na fofana tungegawa dozi sana ila tuna matajiri wahuni tu unamuondoa vipi coach mwenye takwimu hizi
 
Kwenye mechi 13 za mwisho msimu uliopita tulifungwa mmoja kiufupi tulipata structure nzuri ya uchezaji na ongezeko la lavia na fofana tungegawa dozi sana ila tuna matajiri wahuni tu unamuondoa vipi coach mwenye takwimu hizi
Je huyo mashavu wako alianza ligi hivi? ebu tuone mechi 10 nini kitatokea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom