Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 721
- 1,316
Basi la CITY limefika Mwanza, bus la THE BLUES ndio kwanza limefika Vigazwa na pancha juu limepaki pembeniKuna tofauti kati ya umbali wa bus (CITY) ambalo ndio limefika Dodoma kuelekea Mwanza na bus lingine (THE BLUES) ndio kwanza lipo Mbezi Magufuli stand linamalizia kujaza abiria lianze safari ya kwenda Mwanza.