Ataletwa kipa mwingine wa kuanzaEnzo Maresca anamtaka Sanchez awe golikipa na. 1 pale Chelsea, tujiandae na presure za huyu fisadi golini
Na ninaanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa huyu kocha kwenye kufanya maamuzi sahihi
View attachment 3047622
Ataletwa kipa mwingine wa kuanzaEnzo Maresca anamtaka Sanchez awe golikipa na. 1 pale Chelsea, tujiandae na presure za huyu fisadi golini
Na ninaanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa huyu kocha kwenye kufanya maamuzi sahihi
View attachment 3047622
Kwahiyo alielekeza wachezaji wa ufaransa wa pige penati vibaya au alitumia maujiza gani kipa wao argetina awe anadaka mpira vizuri?World cup 2022 ilikuwa ya Argentina kwa maelekezo ya Rais Mkuu wa FIFA na alikiri kuwa "ningejiskia vibaya sana laiti Mchezaji bora wa dunia Lionel Messi astaafu soka bila ya kubeba kombe la dunia" ndiyomaana tangu kuasisiwa kwa hilo kombe haijawahitokea Taifa lolote lifike fainali kwa penati zaidi ya 6 isipokuwa Argentina pekee.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kuangalia footwork zaidi huyo kocha anapenda keeper mwenye uwezo wa kupiga pass anapenda kujenga mashambulizi kupitia kwa kipa na kwenye hilo ni kweli Sanchez ni bora kuliko Petrovic hata angekuwa Pep angeanza na Sanchez kama unakumbuka Joe Hart alikuwa nakiwango kikubwa sana cha kudaka pale City alipokuja Pep akamuondoa kwasababu tu yakukuwa na ubora wa footwork nakusahihisha hapo uwezi ukampima huyo kocha kuwa hafai kwa hicho kigezo chako.Enzo Maresca anamtaka Sanchez awe golikipa na. 1 pale Chelsea, tujiandae na presure za huyu fisadi golini
Na ninaanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa huyu kocha kwenye kufanya maamuzi sahihi
View attachment 3047622
Hii ni taarifa mbaya kwangu 😭Enzo Maresca anamtaka Sanchez awe golikipa na. 1 pale Chelsea, tujiandae na presure za huyu fisadi golini
Na ninaanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa huyu kocha kwenye kufanya maamuzi sahihi
View attachment 3047622
😂 KimewakaEnzo kahukumiwa tena huko Uingereza kwa kuficha taarifa za dereva wake aliyeendesha gari vibaya mwaka jana Desemba.
Huyu Enzo nyota yake Uingereza naona inaelekea pabaya
@BBCSport
Mchezaji wa Chelsea Enzo Fernandez amepatikana na hatia ya kushindwa kumtambua dereva wa gari aina ya Porsche inayodaiwa kuwaka taa nyekundu huko Carmarthenshire.
Mchezaji huyo alishtakiwa kwa kutotoa taarifa polisi Desemba 27 mwaka jana.
Alipatikana na hatia na atahukumiwa Septemba 11.
HUKUMU HII ILIAMULIWA WAKATI YEYE HAKUWEPO MAHAKAMANI
HATA HIVYO METAKIWA KUWEPO SEP 11 ILI:
.... ili kuzingatia kama kuna hali za kupunguza - "pamoja na ugumu wa kipekee" - kwa kutomzuia kuendesha gari.
Kama Enzo atashindwa anaweza kuzuiliwa asiendeshe gari
Si lazima tufanane mawazo, amini unavyoamini nami nibaki na mitizamo yanguKolo muani angefunga goli dakika ya 120+1 ungeleta hizi story?heshimu mpira na uhalisia wake
Yeye katoa maagizo anunuliwe kipa wa kuja kuwa namba mbili ili Sachez awe kipa na. 1, hapo ndio naona Enzo Maresca anaona kengeza huyo.Kuangalia footwork zaidi huyo kocha anapenda keeper mwenye uwezo wa kupiga pass anapenda kujenga mashambulizi kupitia kwa kipa na kwenye hilo ni kweli Sanchez ni bora kuliko Petrovic hata angekuwa Pep angeanza na Sanchez kama unakumbuka Joe Hart alikuwa nakiwango kikubwa sana cha kudaka pale City alipokuja Pep akamuondoa kwasababu tu yakukuwa na ubora wa footwork nakusahihisha hapo uwezi ukampima huyo kocha kuwa hafai kwa hicho kigezo chako.
Binafsi si mkubali kabisa Sanchez ebu tuone itavyokuwa inawezekana labda kuna kitu kimekuwa improved kwakeYeye katoa maagizo anunuliwe kipa wa kuja kuwa namba mbili ili Sachez awe kipa na. 1, hapo ndio naona Enzo Maresca anaona kengeza huyo.
Eti anasema Petrovic auzwe au atolewe mkopo
Najua Petrovic hana viwango bora kwenye footwork ila anaweza akafanywa kipa namba 2 halafu kocha wa makipa akmfunza ili aboreshe footwork yake ila sio Sanchez, huyo anatakiwa kuuzwa tu.
Bora Petrovic marka 10 kuliko Sanchez huyo mwehu anagawa mipira kwa maadui ndio useme ana footwork nzuri
Natumaini Sporting director anamfahamu Sachez vizuri na hataruhusu uhalifu kama huu kutokea tena Chelsea
Acha kujichoresha. Una mawazo ya kitoto. Hujishtukii uliandika upuuzi?Si lazima tufanane mawazo, amini unavyoamini nami nibaki na mitizamo yangu
Ni hekima tu kama huwezi kumfanya mtu afanane na unachokiwaza au kufikiria aunkuona umuache. Si vywema kumfunga mtu asione au kuwaza cha kwake moyoniAcha kujichoresha. Una mawazo ya kitoto. Hujishtukii uliandika upuuzi?
Huyu sanchez huyu ,angeendelea kudaka tungekuwa nafasi ya 15 kushuka chini ,sanchezi anafungwa kulia na kushoto ,anafungwa juu anafungwa chini ,kiufupi kama ukipiga mipira mitatu on target hapo ni kamba 2 .Sanchez ni kituko kama chelsea inao mpango wa kumfanya golikipa namba moja ,anajua kugawa mipira kwa maadui kuliko maelezoYeye katoa maagizo anunuliwe kipa wa kuja kuwa namba mbili ili Sachez awe kipa na. 1, hapo ndio naona Enzo Maresca anaona kengeza huyo.
Eti anasema Petrovic auzwe au atolewe mkopo
Najua Petrovic hana viwango bora kwenye footwork ila anaweza akafanywa kipa namba 2 halafu kocha wa makipa akmfunza ili aboreshe footwork yake ila sio Sanchez, huyo anatakiwa kuuzwa tu.
Bora Petrovic marka 10 kuliko Sanchez huyo mwehu anagawa mipira kwa maadui ndio useme ana footwork nzuri
Natumaini Sporting director anamfahamu Sachez vizuri na hataruhusu uhalifu kama huu kutokea tena Chelsea
Nani kakuteua kuwa Msemaji wangu we toto mayai mayai(Junior)?Acha kujichoresha. Una mawazo ya kitoto. Hujishtukii uliandika upuuzi?
Hili ni jukwaa la magreat thinker bro. Kuna mawazo mengine ya kiduanzi. hata kama tupo huru kutoa mawazo. Mawazo ya kitoto kbs.Ni hekima tu kama huwezi kumfanya mtu afanane na unachokiwaza au kufikiria aunkuona umuache. Si vywema kumfunga mtu asione au kuwaza cha kwake moyoni
Great thinker ni pamoja na kutoa uhuru wa mawazo, ukimkandamiza mtu asiseme mawazo yake utajuaje kwamba yeye ndie yuko sawaHili ni jukwaa la magreat thinker bro. Kuna mawazo mengine ya kiduanzi. hata kama tupo huru kutoa mawazo. Mawazo ya kitoto kbs.
Mashabiki wa Chelsea kazi ipo muda siyo mrefu ymesifu uteuzi wake na kumtukana Poch. Sasa hata ligi haijaanza umeshasahau ulichoandika ndani ya mwezi mmojaEnzo Maresca anamtaka Sanchez awe golikipa na. 1 pale Chelsea, tujiandae na presure za huyu fisadi golini
Na ninaanza kuwa na wasiwasi na uwezo wa huyu kocha kwenye kufanya maamuzi sahihi
View attachment 3047622
Kwa hiyo?Tukubali tukatae mashabiki wa Chelsea wana utoto mwingi na uelewa mdogo wa mpira kuliko vilabu vya Man U na Liverpool