Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu kocha anapenda mchezaji mwenye foot work nzuri, Petrovic ni goal stoper mzur ila kwnye foot work hayupo vizuri.

Halafu mbona kama kumbukumbu zangu zinaniambia chelsea ya Poch nene ilimtandika huyu huyu Maresca goli4.
Akiwa na wachezaji gani?
 
Haujui mpira. Hujaona mazoezi, haujaona hata mechi moja alafu unasema kocha hafai?
Nyie ndo mnafanya Chelsea forum idharaulike.

I stand with Chelsea, I stand with Maresca.

Na msimu huu nunueni jezi za kushangilia kombe
Hongera kwa kujua mpira umekusaidia sana maishani,na chelsea forum kudharaulika imekupunguzia kipato pole sana .
 
Haujui mpira. Hujaona mazoezi, haujaona hata mechi moja alafu unasema kocha hafai?
Nyie ndo mnafanya Chelsea forum idharaulike.

I stand with Chelsea, I stand with Maresca.

Na msimu huu nunueni jezi za kushangilia kombe
Kocha akija mgeni ni vyema apewe muda, japo kuna tofauti kubwa sana kati ya Pochettino na Maresca, huyu kaja na identity inaonekana kuanzia aina ya wachezaji anaowataka na aina ya mazoezi anbayowapa wachezaji. Nasikia mazoezi mengi ni ya kucheza na zile za kiufundi tofauti na yale mazoezi ya judo na stamina ya Pochettino iliyokuwa ikisababaisha sehemu kubwa ya majeruhi
 
Kwa hiyo offer na kuzingatia ubora wa mchezaji na namna alivyomuhimu kwa club lazima itemwe kweupe ni bora hata wangeanza na €30m
Chelsea wanakaribia kufikia makubaliano ya kumnunua mlinda mlango wa Villarreal Filip Jorgensen. Vilabu vyote viwili vinajadili ada kati ya €20M na €25M.
Filip anapendelea kuja Chelsea zaidi ya Olympique de Marseille ambao nao walikuwa wanamtaka
 
Filip Jorgensen alipata usahihi wa pasi fupi 99% msimu uliopita na kuokoa mara 143 (saves nyingi kuliko kipa mwingine yeyote kwenye La Liga). 👀

Usiruhusu vyombo vya habari vikukaze na kuamini kuwa yeye si mzuri
 
Filip Jorgensen alipata usahihi wa pasi fupi 99% msimu uliopita na kuokoa mara 143 (saves nyingi kuliko kipa mwingine yeyote kwenye La Liga). 👀

Usiruhusu vyombo vya habari vikukaze na kuamini kuwa yeye si mzuri
Nimeona wengi wanaukebehi huu usajili but nimegundua akili za mashabiki wa ulaya hawana utofauti na wa hapa wakwetu kwenye suala la mpira mtu hajawahi kumshudia hata game moja but anamponda kisa pesa anayosajiliwa ni ndogo na kuna wakati mwingine unashangaa anqmzungumzia as if anamjua vizuri anatoa boko nyingi na confidence kama yote
 
Nimeona wengi wanaukebehi huu usajili but nimegundua akili za mashabiki wa ulaya hawana utofauti na wa hapa wakwetu kwenye suala la mpira mtu hajawahi kumshudia hata game moja but anamponda kisa pesa anayosajiliwa ni ndogo na kuna wakati mwingine unashangaa anqmzungumzia as if anamjua vizuri anatoa boko nyingi na confidence kama yote
Chelsea wanatarajiwa kukubaliana Villareal ada ya takriban £20.9m kwa Filip Jorgensen, huku taarifa za mwisho zikiachwa kuafikiwa.
@TomAllnutt_
@garyjacob
 
Here We go.
" Several clubs including Chelshit tried to hijack the deal, but the player made it clear, that He nts to fulfill his childhood dream to play for the club of his heart (Arsenal the Gunners)" Fabrizio Romano
IMG_20240724_235503.jpg
 
Namba za jezi ambazo wachezaji wa Chelsea watakuwa wamevaa wakati wa Ziara yetu ya Marekani ya 2024 sasa zimethibitishwa:

1 – Robert Sanchez
2 - Axel Disasi
4 - Tosin Adarabioyo
5 – Benoit Badiashile
6 - Levi Colwill
7 - Raheem Sterling
10 - Mykhailo Mudryk
11 – Noni Madueke
13 - Marcus Bettinelli
15 - Nicolas Jackson
16 – Lesley Ugochukwu
17 – Carney Chukwuemeka
18 – Christopher Nkunku
19 – Armando Broja
21 - Ben Chilwell
22 - Ukumbi wa Kiernan Dewsbury
24 - Reece James
25 - Moises Caicedo
27 – Malo Gusto
29 - Wesley Fofana
32- Tyrique George
34 - Josh Acheampong
38 - Marc Guiu
39 - Andre Santos
40 - Renato Veiga
41 - Angelo
45 - Romeo Lavia
47 - Lucas Bergstrom
50 - Eddie Beach
 
Namba za jezi ambazo wachezaji wa Chelsea watakuwa wamevaa wakati wa Ziara yetu ya Marekani ya 2024 sasa zimethibitishwa:

1 – Robert Sanchez
2 - Axel Disasi
4 - Tosin Adarabioyo
5 – Benoit Badiashile
6 - Levi Colwill
7 - Raheem Sterling
10 - Mykhailo Mudryk
11 – Noni Madueke
13 - Marcus Bettinelli
15 - Nicolas Jackson
16 – Lesley Ugochukwu
17 – Carney Chukwuemeka
18 – Christopher Nkunku
19 – Armando Broja
21 - Ben Chilwell
22 - Ukumbi wa Kiernan Dewsbury
24 - Reece James
25 - Moises Caicedo
27 – Malo Gusto
29 - Wesley Fofana
32- Tyrique George
34 - Josh Acheampong
38 - Marc Guiu
39 - Andre Santos
40 - Renato Veiga
41 - Angelo
45 - Romeo Lavia
47 - Lucas Bergstrom
50 - Eddie Beach
Casadei nae hamtaki?
 
Na cheki game yetu sas hiv du bado kuna kazi nying sana ya kufanya kwa mwalimu mpya MADUEKE anatakiwa afundishwe vitu vingi sana na tena upya
Jems nae hayuko sawa anapoteza mipira hovyo tu
Naamini tutakaa sawa mbele ya safari
 
Na cheki game yetu sas hiv du bado kuna kazi nying sana ya kufanya kwa mwalimu mpya MADUEKE anatakiwa afundishwe vitu vingi sana na tena upya
Jems nae hayuko sawa anapoteza mipira hovyo tu
James kachezeshwa position sio yake ukitaka kumfaidi anatakiwa acheze right back au right wing back
 
Uongozi wa Chelsea wanauupuzi mwingi kuna maeneo ni muhimu sana kufanya usajili wao wamebase kusajili promise player kwa jinsi nilivyoona team yetu tutafanya mistake ya maana kama tusiposajili centre back kiongozi nimeshangaa sana kuona bachiashile kuwekwa hilo eneo, tunahitaji na striker mmoja hatuna haja ya kuwa na Winger sana yule dogo tyreque George yupo vizuri bado tuna Mudryk
 
Relaxin jmn Kocha anatest mitambo, ni mechi za mazoezi tu hizo. City mwenywe juzi katafunwa.
 
Nimeangalia mechi yote asubuhi ya leo
Tumeweka wachezaji wengi wapya
Tumebadilisha timu 90% kipindi cha pili
Wachezaji muhimu wengi hawakuwepo

Nilichokiona, kubadilisha kocha kuna gharama, tumerudi square one
Hadi msimu uishe ndipo wachezaji watakuwa wameuelewa mfumo nam mbinu za kocha

Badi wachezaji wanavutwa na uchezaji wa Pochettino, mchezaji akipata mpira anabaki nao muda mrefu kabla hajampasia mwenzake wakati Enzo hataki mchezaji akae na mpira sana
Madueke hafai mfumo wa Maresca na ni mchoyo wa kutoa pasi, Angelo ni bora kuliko Madueke.
Josh Acheapong bado ana maeneo mengi ya kuboresha sana au hajiamini, Chalobah ni bora zaidi kuliko yeye.
Badiashile ni sikio la kufa
Armando Broja auzwe tena chap chap, atatupotezea muda zaidi
Lavia, George, Nkunku na Marc Guiu wameonyesha uwezo mkubwa sana
Sachez pia kacheza vizuri
Colwill mzalendo wa kweli
Wachezaji muhimu ambao hawakuwepo
  1. Cucurella
  2. Caicedo
  3. Enzo
  4. Jackson
  5. Palmer
Baada ya preseason kuisha nadhani ndio tutapata picha halisi
Ila ule uchezaji wa Leicester city sijaona leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom