Ila Ufaransa wamezungumzia kimpira zaidi wao wamefanya personal attack hiyo ndio utofauti uliopo mbona hili lipo clear wewe ndio unakaza fuvuUfaransa hakuna walichozungumza, wimbo wa Argentina ni majibu ya wimbo wa timu ya Ufaransa walioimba walipobeba kombe la dunia 2028 kwamba "Dogo Kante amemzuia Lionel Messi" hiyo ni chnat kama majigambo na wao kwa kujigamba wakajibu Hao akina kAnte ni kutoka Angola, mama wa n Nigeria. View attachment 3046116