Upinzani na uadui wa Ufaransa na Argentina ni mkubwa mno na saa nyingine inaenda hadi kwenye siasa. Umesoma alivyoandika makamu wa rais wa Argentina akimtetea Enzo
Hii hapa
"No colonialist country is going to intimidate us for a football song or for telling the truths that they do not want to admit. Stop feigning indignation, hypocrites. Enzo, I'm with you."
Argentina's Vice-President Victoria Villarruel:
Kiswahili
"Hakuna nchi ya kikoloni itakayotutisha kwa wimbo wa soka au kwa kusema ukweli ambao hawataki kuukubali. Acheni kujifanya kuwa na hasira, wanafiki. Enzo niko pamoja nawe."
Makamu wa Rais wa Argentina -President Victoria Villarruel:
View attachment 3045931