Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🔵🥶💙

20240626_042912.jpg
 
Chelsea wanasonga mbele zaidi katika mazungumzo ya kumsajili Marc Guiu kwa kuanzisha release clause yake ya pauni milioni 5.

Makubaliano na Guiu yalihusu mkataba wa muda mrefu yanazidi kukaribia na kuzidi ile ya Bayern baada ya mazungumzo chanya wikendi hii.

❗️ Barça ilimpa Guiu mkataba mpya - bado hakuna jibu la mwisho kutoka kwa upande wa mchezaji.

View attachment 3024178
Dogo vp...anaupiga mwingi?..nipeni AB zake...
 
Wakubwa, first team. Ni striker mzuri akipewa dakika kadhaa pale hata 10 au 5 na baadhi ya mechi ndogo kama za Karabao itamtosha kukua na kukomaa. Akifikisha 20 huyo atakuwa ni striker wa kutufaa sana. Ukufuatilia maoni ya mashabiki wa Barcelona wanalaani ile mbaya.
Barcelona wameshindwa kumuweka kwa sababu hali yao ya kifedha wasingeweza kumpa mhshara wa mil 6 kwa mwaka ambao Chelsea wamemuahidi

Baadhi ya sifa zake
• Mrefu na mzuri hewani
• Ni mzuri kwenye kupiga mashuti ya nguvu
• Hutumia miguu yote miwili
• Agressive na mwenye nguvu
• Anajua kufanya mbio za timing kuwapita mabeki
• Kwa release clause ya £5m sio gamble mbaya, ni nzuri

View attachment 3026294
Sawa...tumemuona kiongozi...tungoje je yaliyomo yamo?
 
Wakubwa, first team. Ni striker mzuri akipewa dakika kadhaa pale hata 10 au 5 na baadhi ya mechi ndogo kama za Karabao itamtosha kukua na kukomaa. Akifikisha 20 huyo atakuwa ni striker wa kutufaa sana. Ukufuatilia maoni ya mashabiki wa Barcelona wanalaani ile mbaya.
Barcelona wameshindwa kumuweka kwa sababu hali yao ya kifedha wasingeweza kumpa mhshara wa mil 6 kwa mwaka ambao Chelsea wamemuahidi

Baadhi ya sifa zake
• Mrefu na mzuri hewani
• Ni mzuri kwenye kupiga mashuti ya nguvu
• Hutumia miguu yote miwili
• Agressive na mwenye nguvu
• Anajua kufanya mbio za timing kuwapita mabeki
• Kwa release clause ya £5m

Wakubwa, first team. Ni striker mzuri akipewa dakika kadhaa pale hata 10 au 5 na baadhi ya mechi ndogo kama za Karabao itamtosha kukua na kukomaa. Akifikisha 20 huyo atakuwa ni striker wa kutufaa sana. Ukufuatilia maoni ya mashabiki wa Barcelona wanalaani ile mbaya.
Barcelona wameshindwa kumuweka kwa sababu hali yao ya kifedha wasingeweza kumpa mhshara wa mil 6 kwa mwaka ambao Chelsea wamemuahidi

Baadhi ya sifa zake
• Mrefu na mzuri hewani
• Ni mzuri kwenye kupiga mashuti ya nguvu
• Hutumia miguu yote miwili
• Agressive na mwenye nguvu
• Anajua kufanya mbio za timing kuwapita mabeki
• Kwa release clause ya £5m sio gamble mbaya, ni nzuri

View attachment 3026294
Tatizo wakifika hawapewi nafasi ya kucheza
 
Wakubwa, first team. Ni striker mzuri akipewa dakika kadhaa pale hata 10 au 5 na baadhi ya mechi ndogo kama za Karabao itamtosha kukua na kukomaa. Akifikisha 20 huyo atakuwa ni striker wa kutufaa sana. Ukufuatilia maoni ya mashabiki wa Barcelona wanalaani ile mbaya.
Barcelona wameshindwa kumuweka kwa sababu hali yao ya kifedha wasingeweza kumpa mhshara wa mil 6 kwa mwaka ambao Chelsea wamemuahidi

Baadhi ya sifa zake
• Mrefu na mzuri hewani
• Ni mzuri kwenye kupiga mashuti ya nguvu
• Hutumia miguu yote miwili
• Agressive na mwenye nguvu
• Anajua kufanya mbio za timing kuwapita mabeki
• Kwa release clause ya £5m sio gamble mbaya, ni nzuri

View attachment 3026294

Uwezo wa Marc Guiu
1) Ustadi wa kutumia miguu yote miwili, ambayo inatupa makali mengi katika mechi.
2) Utumiaji mzuri wa nafasi za wazi: Ana uwezo mkubwa wa kucheza kwenye open spaces
3) Uwezo wa kupiga mpira kwa haraka unaruhusu fursa za kufunga mabao, kukamata timu pinzani bila ulinzi.
4) Uwezo mkubwa wa kupress, unachangia sana kwenye kujilinda na kijihami.
5) Uwezo mkubwa wa kupiga mashuti ya nguvu, mara nyingi husababisha mabao ya kuvutia wa masafa.
6) Ustadi wa kucheza hewani, akitumia faida yake ya urefu kutawala katika vichwa na kucheza mipira kwa ufanisi angani.
7) Katika kuwania mipira, nguvu za Marc zinaonekana, zikimruhusu kudumisha umiliki na kushinda changamoto za kuwania mipira mfululizo.
8) Mwisho, anaweza kukimbia haraka kwa timing nyuma ya mabeki kumekuwa muhimu katika kuvunja safu za ulinzi, na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga au kusaidia kufunga magoli.


 
Tumsajiri Isak hata ikiwa 100$m ni sawa na anastahili top top! finisher kiumbe katili one on one kuliko maelezo.
 
Chelsea ni timu ambayo inanunua wachezaji na kuwaulia vipaji vyao [emoji23]
 
Uwezo wa Marc Guiu
1) Ustadi wa kutumia miguu yote miwili, ambayo inatupa makali mengi katika mechi.
2) Utumiaji mzuri wa nafasi za wazi: Ana uwezo mkubwa wa kucheza kwenye open spaces
3) Uwezo wa kupiga mpira kwa haraka unaruhusu fursa za kufunga mabao, kukamata timu pinzani bila ulinzi.
4) Uwezo mkubwa wa kupress, unachangia sana kwenye kujilinda na kijihami.
5) Uwezo mkubwa wa kupiga mashuti ya nguvu, mara nyingi husababisha mabao ya kuvutia wa masafa.
6) Ustadi wa kucheza hewani, akitumia faida yake ya urefu kutawala katika vichwa na kucheza mipira kwa ufanisi angani.
7) Katika kuwania mipira, nguvu za Marc zinaonekana, zikimruhusu kudumisha umiliki na kushinda changamoto za kuwania mipira mfululizo.
8) Mwisho, anaweza kukimbia haraka kwa timing nyuma ya mabeki kumekuwa muhimu katika kuvunja safu za ulinzi, na kutengeneza nafasi nyingi za kufunga au kusaidia kufunga magoli.


View attachment 3027146
Je' akija atafanya hayo? [emoji23]
 
Muda wowote usajili wa Aaron Anselmino utakamilika, Boka Juniour wanamtaka kwa mkopo ila Chelsea wao wanamtaka aende Strasbourg kwa mkopo
View attachment 3027869
Chelsea wamekubaliana na Boca Junior kumsajili Aaron Anselmino na atarudi Boca Junior kwa mkopo wa msimu mmoja

Aaron Anselmino to Chelsea Done
Fee of €17M agreed between Chelsea and Boca Juniors
Personal Terms agreed
Aaron will go back on loan to Boca.
Medical to follow
 
Hii chelsea yetu mbona wako bize sana sokoni, suala la msgambuliaji ndiyo huyo dogo wa Barca anakuja kufanya au kuna mwingine?
Naomba kujua maendeleo ya Lavia na Fofana wodini kama wameshatoka.
Hii Chelsea inakuaje na usajili wa vijana wadogo wengi hivi?
 
Chelsea wamekubaliana na Boca Junior kumsajili Aaron Anselmino na atarudi Boca Junior kwa mkopo wa msimu mmoja

Aaron Anselmino to Chelsea Done
Fee of €17M agreed between Chelsea and Boca Juniors
Personal Terms agreed
Aaron will go back on loan to Boca.
Medical to follow
Hi naona kama longterm peoject na lengo la wamiliki ni kupata faida kwa kuuza wachezaji badaye sio kupata vikombe hivi karibuni.......ila hiyo biashara ni ya kubahatisha sanaa 50 50 anaweza akaflop
 
Hii chelsea yetu mbona wako bize sana sokoni, suala la msgambuliaji ndiyo huyo dogo wa Barca anakuja kufanya au kuna mwingine?
Naomba kujua maendeleo ya Lavia na Fofana wodini kama wameshatoka.
Hii Chelsea inakuaje na usajili wa vijana wadogo wengi hivi?
Striker atasajiliwa ila sio experience, wako addicted na dogodogo
Wanamtaka yule wa Athletico Madrid anayeitwa Samu Omorodion ambaye ana miaka 20 tu na hajacheza mechi zozote competitive. Alves kache za mechi 34 na ana goli 8
 
Striker atasajiliwa ila sio experience, wako addicted na dogodogo
Wanamtaka yule wa Athletico Madrid anayeitwa Samu Omorodion ambaye ana miaka 20 tu na hajacheza mechi zozote competitive. Alves kache za mechi 34 na ana goli 8
Hizi pesa tunazokusanya hawa watoto team inashindwa vipi kutoa 100-120 kwa watkin,isak,sesko,openda,etc
 
240px-Chelsea_FC.svg.png


Full name:
Chelsea Football Club

Nickname(s): The Blues, The Pensioners

Founded: 10 March 1905

League: Premier League

Website: ChelseaFC.com


View attachment 450996
Ground: Stamford Bridge, (Capacity: 41,663) - Pitch 103m x 67m

View attachment 2262786
Owner: The consortium of Todd Boehly, Clearlake Capital Group, Hansjörg Wyss and Mark Walter

View attachment 2268766
Chairman: Todd Boehly

View attachment 2681294
Head Coach: Mauricio Pochettino
Chelsea Trophies:
League Titles: 6

Premier League Champions: 5 (2016/17, 2014/15, 2009/10, 2005/06, 2004/05)
First Division Championship: 1 (1954/55)

European Trophies: 9
UEFA Champions League: 2 (2011/12, 2020/2021)
UEFA Europa League: 2 (2012/13, 2018/19)
UEFA Super Cup: 2 (1998, 2021)
UEFA Cup Winners': 2 (1997/98, 1970/71)
FIFA Club World Cup: 1 (2022)

FA Cup Trophies: 8 (2018, 2012, 2010, 2009, 2007, 2000, 1997, 1970)

League Cup: 5 (2014/15, 2006/07, 2004/05, 1997/98, 1964/65)

Community Shield: 4
FA Community Shield: 2 (2009, 2005)
FA Charity Cup: 2 (2000, 1955)

Other Trophies
Second Division Championship: 2 (1988/89, 1983/84)
Full Members Cup: 2 (1989/90, 1985/86)


View attachment 1889041
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Super Cup Winners(2021)

View attachment 1801870
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned UEFA Champions League Winner (2020/21)

View attachment 2117727
Chelsea Football Club celebrate as they Crowned FIFA Club World Cup Winner (2022)

View attachment 2682733
Chelsea’s Premier League Fixture - 2023/24

Follow this thread for team updates!
Goood
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom