Fabrizio Romano: "Chelsea wamefanya mawasiliano katika miezi ya hivi karibuni ili kuelewa masharti yeyote ya kuweza kumsajili Williams.Napendelea hii approach waliokuja nao, hakuna haja ya kuanza kumlipa mchezaj hela kubwa halaf uwanjan impact yske ni ndogo
Hakuna kitu humu, madueke wa spain.Fabrizio Romano: "Chelsea wamefanya mawasiliano katika miezi ya hivi karibuni ili kuelewa masharti yeyote ya kuweza kumsajili Williams.
Ninachoambiwa sasa, ni kwamba ingawa Chelsea wanamkubali Williams, Chelsea haitasonga mbele kumsajili Williams, kwa sababu ya gharama ya dili hilo."
View attachment 3023882
Nico Williams ni mzuri sana na usimfananishe na MaduekeHakuna kitu humu, madueke wa spain.
Lamasia product, tukimpata huyu tumepata lulu. Ni striker mzuri sanaChelsea wanasonga mbele zaidi katika mazungumzo ya kumsajili Marc Guiu kwa kuanzisha release clause yake ya pauni milioni 5.
Makubaliano na Guiu yalihusu mkataba wa muda mrefu yanazidi kukaribia na kuzidi ile ya Bayern baada ya mazungumzo chanya wikendi hii.
❗️ Barça ilimpa Guiu mkataba mpya - bado hakuna jibu la mwisho kutoka kwa upande wa mchezaji.
View attachment 3024178
Haya mambo ya ajabu tunashindwa vipi kwenda brentford,dormond, astonvilla,new castle ,Rb leipzig wapo wafungaji wawili,tuchukue mfungaji mmoja wa maana kuliko kukusanya vikundi vya watoto?inakuwaje lb leipzig ina openda na benjamin sesko sisi tuna jackson?Chelsea wamepoteza hamasa ya usajili wa striker wote isipokuwa wamebaki na
- Jonathan David wa Lile ana miaka 26 kwa chini ya £30m
- Marc Guiukinda wa Barcelona kutoka Lamasia academy, ana miaka 18 kwa £5m
Unasema ni mzuri ulishamuona akicheza? Mchezaji mchoyo sana huyo.Nico Williams ni mzuri sana na usimfananishe na Madueke
Ana miaks 21 tu na msimu uliopita ana assists 14 kwenye ligi tu
TATIZO lake litakalomfanya asisajiliwe na Chelsea ni kuhusu mshahara wake mkubwa
"Vilabu vya Premier League vimearifiwa kuwa mshahara wa Nico Williams anaouhitaji ni zaidi ya £300,000 kwa wiki."
Asists 14 na unamuita mchezaji wa miaka 21 mchoyo? hujitambui kweliUnasema ni mzuri ulishamuona akicheza? Mchezaji mchoyo sana huyo.
Ndio mana nikakuuliza ww unaejitambua ulishawahi kumuona akicheza uchezaji wake? Au umeishia tu hapo kwnye Assist 14 ukaconclude kuwa ni mchezi mzuri.Asists 14 na unamuita mchezaji wa miaka 21 mchoyo? hujitambui kweli
Nilishaeleza kwa ufupi style ya uchezaji waek, hata nikisema hapa hutaamini kwa sababu wewe ukishamchukia mchezaji damu yako imemkataa.Ndio mana nikakuuliza ww unaejitambua ulishawahi kumuona akicheza uchezaji wake? Au umeishia tu hapo kwnye Assist 14 ukaconclude kuwa ni mchezi mzuri.
Hivi dogo anakuja timu ya wakubwa au anaenda chelsea BMarc Guiu kwenda Chelsea, here we go! Klabu hiyo imeiarifu Barcelona kuhusu mpango wa kulipa release clause ya euro milioni 6 kwa mshambuliaji aliyezaliwa 2006.
Makubaliano ya mdomo yamekamilika kupitia maajenti wa Guiu, sasa yanayoendelea ni hatua rasmi baadaye wiki hii.
Guiu anatarajiwa kusaini mkataba wa muda mrefu katika klabu ya Chelsea
View attachment 3026187
Wakubwa, first team. Ni striker mzuri akipewa dakika kadhaa pale hata 10 au 5 na baadhi ya mechi ndogo kama za Karabao itamtosha kukua na kukomaa. Akifikisha 20 huyo atakuwa ni striker wa kutufaa sana. Ukufuatilia maoni ya mashabiki wa Barcelona wanalaani ile mbaya.Hivi dogo anakuja timu ya wakubwa au anaenda chelsea B