Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu dogo Michael Golding ndie atapishana na Kiernan Dewsbury-Hall. Leicester city wanamtaka kumsajili kwenye dili tofauti kama walivyokubaliana.
1719752947086.png
 
Breaking:

Conor Gallagher ndie mchezaji anayejadiliwa katika mpango wa kubadilishana + pesa taslimu kwa Alexander Isak katika Newcastle United. Vilabu bado vinazungumza ili kuona ikiwa makubaliano yoyote yanaweza kufikiwa.

Chelsea wako tayari kuwaongeza Chalobah na Broja kwenye dili la kumsajili Isak, tukumbuke kuwa Newcastle wanatakiwa wawe wameshamuuza Isak leo kabla ya mwezi wa sita kuisha saa tano dakia 59 na ushenzi
 
Breaking:

Conor Gallagher ndie mchezaji anayejadiliwa katika mpango wa kubadilishana + pesa taslimu kwa Alexander Isak katika Newcastle United. Vilabu bado vinazungumza ili kuona ikiwa makubaliano yoyote yanaweza kufikiwa.

Chelsea wako tayari kuwaongeza Chalobah na Broja kwenye dili la kumsajili Isak, tukumbuke kuwa Newcastle wanatakiwa wawe wameshamuuza Isak leo kabla ya mwezi wa sita kuisha saa tano dakia 59 na ushenzi
Hapa Chelsea watakuwa wameupiga mwingi kitachobaki ni 2 signing pekee ndio kwa upande wangu tutakuwa tupo ready na epl Central back pamoja na kiungo mkabaji atayecheza Chini kidogo no 6 sijui kwanini hili Eneo hawalioni ukimtoa Caicedo ambaye kiuhalisia sio namba yake anayebakia ni Laiva ambaye ni pancha hatuna mwingine wamaana
 
Hapa Chelsea watakuwa wameupiga mwingi kitachobaki ni 2 signing pekee ndio kwa upande wangu tutakuwa tupo ready na epl Central back pamoja na kiungo mkabaji atayecheza Chini kidogo no 6 sijui kwanini hili Eneo hawalioni ukimtoa Caicedo ambaye kiuhalisia sio namba yake anayebakia ni Laiva ambaye ni pancha hatuna mwingine wamaana
Lavia na Caicedo wakipewa hiyo role na maelekeoz ya kocha wanaweza.

Hata hivyo mfumo wa Enzo hauwategemei sana DM, yeye anatumia mfumo wa ulinzi shirikishi, yaani ma fullbacks wanakuwa inverted, wakati viungo wako kwenye viboksi vingine wao fullback wanajaza nafasi kuhakikisha katikati kuna msitu kila wakati
 
Lavia na Caicedo wakipewa hiyo role na maelekeoz ya kocha wanaweza.

Hata hivyo mfumo wa Enzo hauwategemei sana DM, yeye anatumia mfumo wa ulinzi shirikishi, yaani ma fullbacks wanakuwa inverted, wakati viungo wako kwenye viboksi vingine wao fullback wanajaza nafasi kuhakikisha katikati kuna msitu kila wakati
Ngoja tuone itakavyokuwa
 
Kiernan Drewsbury-Hall to Chelsea, here we go! Player on his way to medical today ahead of contract signing.Deal valid until June 2030 for KDH at Chelsea, reunited with Enzo Maresca.Chelsea to pay fee around £30m to Leicester City after final round of talks today.

@FabrizioRomano
https://x.com/FabrizioRomano
1719754318257.png
 
Mwaka huu waarabu wako wapi watutwalie takataka kama Sterling, Lukaku na Kepa
 
Chagua wawili na wawili kwenye benchi!

View attachment 3029856
Laiva na Caicedo first eleven kwanini hawa? Laiva ni mchezaji anayeleta utulivu kuanzia kwa mabeki na katikati ya uwanja na pia ana uwezo wa kucontrol game na kudetect temple ya mchezo overall atacheza chini, juu yake kidogo atacheza Caicedo kupitia uchezaji wa Laiva utamfanya Caicedo awe huru kuzunguka uwanja mzima kwenye kukaba
 
sema neno hapa:
  1. Kendry Paez: umri wa miaka 17
  2. Estêvão Willian : umri wa miaka 17
  3. Dujuan 'Whisper' Richards: umri wa miaka 18
  4. Josh Acheampong : umri wa miaka 18
  5. Ishé Samuels-Smith : umri wa miaka 18
  6. Omari Kellyman: umri wa miaka 18
  7. Tyrique George: umri wa miaka 18
  8. Marc Guiu: umri wa miaka 18
  9. David Washington: umri wa miaka 19
  10. Leo Castledine: umri wa miaka 19
  11. Àngelo Gabriel : umri wa miaka 19
  12. Diego Moreira: umri wa miaka 19
  13. Alfie Gilchrist: umri wa miaka 20
  14. Lesley Uguchukwu : umri wa miaka 20
  15. Carney Chukwuemenka: umri wa miaka 20
  16. Andrey Santos: umri wa miaka 20
  17. Gabriel Slonina: umri wa miaka 20
  18. Romeo Lavia: umri wa miaka 20
  19. Cesare Casadei: umri wa miaka 21
  20. Levi Colwill: umri wa miaka 21
  21. Malo Gusto: umri wa miaka 21
  22. Cole Palmer: umri wa miaka 22
  23. Moises Caicedo: umri wa miaka 22
  24. Noni Madueke: umri wa miaka 22
  25. Mykhailo Mudryk: umri wa miaka 23
  26. Enzo Fernandez: umri wa miaka 23
  27. Wesley Fofana: umri wa miaka 23
  28. Benoit Badiashile : umri wa miaka 23
  29. Nicolas Jackson: umri wa miaka 23
  30. Reece James: umri wa miaka 24
  31. Conor Gallagher: umri wa miaka 24
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom