Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jhon Duran Colombian Haaland kwenda Chelsea.

Huu ndio utakao kua usajili bora wa msimu
2024-25.

Nategemea kumuona dogo akimaliza league akiwa moja kati ya wafungaji bora pale PL

Na atapelekea Jackson Kutumika kama winger Chelsea
Anatokea klabu gani?
 
Wamiliki wa kimarekani ni wapumbavu wameua klub nyingi kwa mtindo huu huu. They need to play it safe this time. Vinginevyo FFp is around the corner na academy wa Abramovichi wa kuuza hawatakiwepo tena maana sioni wakiimarisha academy wakati ndo imekuwa ikizalisha faida nyingi kwa club.
FFP ni ngumu kuikamata Chelsea kwa sababu inamapata mapato sio kama akina Everton na Notigham Forest.
Chelsea wanauza wachezaji na assets zingine kuhakikisha nakisi ya vitabu haviipeleki klabu kugombana na wakubwa
 
Mwe mnaangalia mpira. Angalia takwimu za Galagher kama zinamatch na midfield yoyote pale Chelsea. Siyo Caisedo, Enzo, Chukwemeka wala yeyote ameshine defensively and offensively kama Galagher
Gallagher ni mzuri ila chonde chone usimfananishe na Caicedo, Caicedo kamuacha mbali sana kwenye maeneo mengi muhimu kama CM

Pamoja na uzuri wa Gallagher ni CM 7 EPL
Nimefanya tafiti kwa kubase kwenye stats za EPL msimu uliopita
-Attacking
-Playing
-Defending
  1. Rodri
  2. Kevin De Bruyne (played few matches but shown highest quality stats as a CM)
  3. Bruno Fernandes
  4. Declan Rice
  5. Bruno Guimaraes
  6. Martin Odegaard (poor in defending)
  7. Gallagher (poor in through passes)
  8. Moises Caicedo (mfumo ulimpotea mwanzoni)
  9. Alexis Mac Allister
  10. Joao Palhinha (Only good in defending)
  11. Ross Barkley
 
Wamiliki wa kimarekani ni wapumbavu wameua klub nyingi kwa mtindo huu huu. They need to play it safe this time. Vinginevyo FFp is around the corner na academy wa Abramovichi wa kuuza hawatakiwepo tena maana sioni wakiimarisha academy wakati ndo imekuwa ikizalisha faida nyingi kwa club.
Wewe ndio unaona academy hawapo ila amini kwamba kuna wachezaj wapo wazuri sana ni swala la mda na nafasi,

Hao wote waliokuwepo wote wameonekana wakat wametolewa kwa mkopo.
 
Mwe mnaangalia mpira. Angalia takwimu za Galagher kama zinamatch na midfield yoyote pale Chelsea. Siyo Caisedo, Enzo, Chukwemeka wala yeyote ameshine defensively and offensively kama Galagher
Galagher ni mzuri usianze kumfananisha na Caicedo o Enzo. Hapo ndip mnakosea
Mnasahau form is temporary but class is permanent.

Ni sawasawa na leo muanze kumjudge hazard wa madrid kwa kusema ni mbovu. Au yule Kaka wa Real Madrid

Narudi tena kusema. mfumo wa team ndio unaoamua mchezaj either afanye vizuri au aonekane wabaya
 
BREAKING:

Chelsea sasa wamefikia makubaliano ya mdomo kumsajili kinda wa kipaji kutoka Brazil Willian Estevão,

HERE WE GO!

Palmeiras iko tayari kukubali zabuni ya mwisho yenye thamani ya €40m pamoja na nyongeza za €25m.

Masharti ya kibinafsi na mchezaji yalikubaliwa siku 10 zilizopita, Estevão atajiunga na #CFC mnamo 2025.

Kinachosubiriwa tu ni saini ya rais wa Palmeiras


1718482471409.png
 
Breaking News:

Chelsea wanamtaka Serhou Guirassy wa VfB Stuttgart. ambaye ni striker wao
Ana miaka 28
Msimu uliopita alifunga goli 30 na assists 2 kwenye mechi 30
Ni mzaliwa wa Ufaransa anayeichezea timu ya Taifa la Guinea

Nadhani dili la Jhon Jader Durán limefeli baada ya kufanyiwa background check na kukutwa na kasoro mojawapo anataka mshahara mkubwa. Taarifa zilivuja kuwa attitute yake sio nzuri

Serhou Guirassy ni mzuri kwa sababu ni wa umri mkubwa na atawapa akina Jackson nafasi ya kukua

1718536333940.png
 
Chelsea ilituma maskauti kumtazama Riccardo Calafiori ambaye ni beki wa katikati wa timu ya Taifa ya Italia na pia anaichezea klabu ya Bologna kwa sababu Enzo Maresca anamtaka

1718537586803.png
 
Breaking News:

Chelsea wanamtaka Serhou Guirassy wa VfB Stuttgart. ambaye ni striker wao
Ana miaka 28
Msimu uliopita alifunga goli 30 na assists 2 kwenye mechi 30
Ni mzaliwa wa Ufaransa anayeichezea timu ya Taifa la Guinea

Nadhani dili la Jhon Jader Durán limefeli baada ya kufanyiwa background check na kukutwa na kasoro mojawapo anataka mshahara mkubwa. Taarifa zilivuja kuwa attitute yake sio nzuri

Serhou Guirassy ni mzuri kwa sababu ni wa umri mkubwa na atawapa akina Jackson nafasi ya kukua

View attachment 3018654
Huyu ndio mchezaji sasa nachomkubali huyu mwamba Ana skills za ufungaji sio kila mshambuliaji Ana hii kitu.Hii taarifa nimeipenda kwa kweli zile taarifa za Duran zilikuwa zinanikera ile mbaya
 
Chelsea ilituma maskauti kumtazama Riccardo Calafiori ambaye ni beki wa katikati wa timu ya Taifa ya Italia na pia anaichezea klabu ya Bologna kwa sababu Enzo Maresca anamtaka

View attachment 3018661
Nilimuona jana akicheza nilimkubali sana uchezaji wake yaani beki anatoa pasi kama kiungo habutui butui, kumbe chelsea wanamtaka ni aina ya wachezaji wa kisasa anatumia akili. Sio kina Challobar nguvu nyingi akili kidogo.
 
Breaking News:

Chelsea wanamtaka Serhou Guirassy wa VfB Stuttgart. ambaye ni striker wao
Ana miaka 28
Msimu uliopita alifunga goli 30 na assists 2 kwenye mechi 30
Ni mzaliwa wa Ufaransa anayeichezea timu ya Taifa la Guinea

Nadhani dili la Jhon Jader Durán limefeli baada ya kufanyiwa background check na kukutwa na kasoro mojawapo anataka mshahara mkubwa. Taarifa zilivuja kuwa attitute yake sio nzuri

Serhou Guirassy ni mzuri kwa sababu ni wa umri mkubwa na atawapa akina Jackson nafasi ya kukua

View attachment 3018654
Chelsea itafika mahala itakua ina mablack tu.
 
Nilimuona jana akicheza nilimkubali sana uchezaji wake yaani beki anatoa pasi kama kiungo habutui butui, kumbe chelsea wanamtaka ni aina ya wachezaji wa kisasa anatumia akili. Sio kina Challobar nguvu nyingi akili kidogo.
Riccardo Calafiori [2022]: "Ndoto yangu ingekuwa kucheza Ligi ya Premia. Naipenda sana West Ham au Chelsea."

1718563415180.png
 
Nikikumbuka zile nafasi za Jackson na enzi za Drogba, najiuliza zile nafasi zilikuwa hazipatikani kipindi hicho...wafungaji walikuwa wanapambana na mabeki kwelikweli, beki alikuwa hachezi mpira bali ni kucheza mwili wa mfungaji ili uelekeo wa mpira ubadilike.
 
Dili la Pedro Lima tayari limetekwa nyara na Wolves

Kama hatukaa vizuri

Dili la Michael Olise litatekwa

Dili la Estevao Willian liko hatarini

1718640209447.png
 
Hivi kwa nn Ngolo Kante aliuzwa? Dah. Namuona hapa france anakichafua kama ndio kwanza ana miaka 22
 
Roy Keane kuhusu Kante:
"Alikuwa na kipaji na ana uzoefu huo mkubwa. Na alionekana kama mchezaji mchanga ndani yake mwenyewe usiku wa leo."

Ian Wright kuhusu Kante: "Unapokuja na kucheza kwa kiwango kikubwa kama hicho lazima atakuwa anafanya kitu kwa sababu ikiwa unacheza kwenye ligi ambayo kiwango chake si kizuri basi anafikaje kwenye kiwango hicho?"

Gary Neville kuhusu Kante: "Nilidhani alikuwa ni mchezaji bora kabisa usiku wa leo, ulikuwa mchezo mzuri na alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani. Miaka michache iliyopita alionekana kumalizika lakini amekuwa na kipindi cha pili cha maisha."

1718682496630.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom