Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20240608-012209.png



20240608_012255.jpg



20240608_012224.jpg



20240608_012218.jpg



Screenshot_20240608-012432.png
 
Nicolas Jackson aliumia kifundo cha mguu wake wa kulia wakati wa mechi kati ya Senegal na DRC mnamo Juni 6, 2024. Uchunguzi wa Radiology (MRI) uliofanywa Juni 7 ulionyesha kuwa alikuwa na mgongano mbaya wa kifundo cha mguu. Kwa hivyo hatapatikana kwa mechi ya Mauritania na Senegal mnamo Juni 9, 2024.
1717886065448.png
 
Jhon Duran Colombian Haaland kwenda Chelsea.

Huu ndio utakao kua usajili bora wa msimu
2024-25.

Nategemea kumuona dogo akimaliza league akiwa moja kati ya wafungaji bora pale PL

Na atapelekea Jackson Kutumika kama winger Chelsea
 
Jhon Duran Colombian Haaland kwenda Chelsea.

Huu ndio utakao kua usajili bora wa msimu
2024-25.

Nategemea kumuona dogo akimaliza league akiwa moja kati ya wafungaji bora pale PL

Na atapelekea Jackson Kutumika kama winger Chelsea
Hapo hakuna striker tupe stats zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom