Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

BREAKING NEWS:
Aston Villa wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili beki wa kushoto Ian Maatsen. Ada ya kijana wa miaka 22 wa Uholanzi zaidi ya RC ambayo Borussia Dortmund walitakiwa kuilipa. RC ilikuwa ni £35m. Masharti ya kibinafsi yamewekwa kwenye mkataba wa miaka 6
@TheAthleticFC

Aston Villa reach agreement with Chelsea to sign left-back Ian Maatsen. Fee for 22yo Dutch youth int’l just north of now-expired Borussia Dortmund-specific £35m release clause. Personal terms in place on 6yr contract
@TheAthleticFC

1718820209381.png
 
BREAKING NEWS:
Aston Villa wamefikia makubaliano na Chelsea kumsajili beki wa kushoto Ian Maatsen. Ada ya kijana wa miaka 22 wa Uholanzi zaidi ya RC ambayo Borussia Dortmund walitakiwa kuilipa. RC ilikuwa ni £35m. Masharti ya kibinafsi yamewekwa kwenye mkataba wa miaka 6
@TheAthleticFC

Aston Villa reach agreement with Chelsea to sign left-back Ian Maatsen. Fee for 22yo Dutch youth int’l just north of now-expired Borussia Dortmund-specific £35m release clause. Personal terms in place on 6yr contract
@TheAthleticFC

View attachment 3020973
Chelsea will receive £37.5m for Ian Maatsen.
@FabrizioRomano
 
KUna baadhi ya maandiko yangu nilitoa maoni kuwa mojawapo ya setback ya Chelsea hasa kwenye set pieces ni ufupi wa wachezaji wetu nikawa nashambuliwa sana humu

Ukweli huu umedhihirishwa sasa, uongozi wanachoangalia kwa sasa mojawapo ni urefu wa mchezaji
Pamoja na sifa zingine urefu unaangaliwa sana hasa kwa saa ambapo tumeweka idara ya set pieces na msimu ujao Chelsea imeweka mpango mkakati mahsusi wa kuongeza magoli mengi yatokanayo na set pieces
Wachezaji waliosajiliwa na watakaosajiliwa ni
  1. Tosin Aradabioyo 1.96M - deal done
  2. Michael Olise 1.84M - advanced stages
  3. Jhon Jader Durán 1.85M - Ongoing
  4. Samu Omorodion 1.93M - Ongoig
  5. Serhou Guirassy 1.87M - Admired
  6. Riccardo Calafiori 1.88M - Monitoring
Wanaouzwa
  1. Ian Maatsen 1.78M - To Aston Villa
  2. Marc Cucurella 1.72 - To be sold
  3. Conor Gallagher 1.82M - To be sold
  4. Malang Sarr 1.83M - To be sold
 
KUna baadhi ya maandiko yangu nilitoa maoni kuwa mojawapo ya setback ya Chelsea hasa kwenye set pieces ni ufupi wa wachezaji wetu nikawa nashambuliwa sana humu

Ukweli huu umedhihirishwa sasa, uongozi wanachoangalia kwa sasa mojawapo ni urefu wa mchezaji
Pamoja na sifa zingine urefu unaangaliwa sana hasa kwa saa ambapo tumeweka idara ya set pieces na msimu ujao Chelsea imeweka mpango mkakati mahsusi wa kuongeza magoli mengi yatokanayo na set pieces
Wachezaji waliosajiliwa na watakaosajiliwa ni
  1. Tosin Aradabioyo 1.96M - deal done
  2. Michael Olise 1.84M - advanced stages
  3. Jhon Jader Durán 1.85M - Ongoing
  4. Samu Omorodion 1.93M - Ongoig
  5. Serhou Guirassy 1.87M - Admired
  6. Riccardo Calafiori 1.88M - Monitoring
Wanaouzwa
  1. Ian Maatsen 1.78M - To Aston Villa
  2. Marc Cucurella 1.72 - To be sold
  3. Conor Gallagher 1.82M - To be sold
  4. Malang Sarr 1.83M - To be sold
Kwa hiyo hao wanauzwa kwa sababu ya ufupi sio
 
Kwa hiyo hao wanauzwa kwa sababu ya ufupi sio
Ni timu gani yenye wachezaji warefu haifungwi mipira ya vichwa? ,Timu ikikosa muunganyiko itafungwa tu kila aina ya magoli na hata hao warefu waje kama haitaunganishwa mipira ya vichwa tutafungwa tu na sisi hatutapata magoli ya vichwa. Tulikuwa na Silva kwa kimo chake mbona ndiye alikuwa anaongoza kupiga mipira ya vichwa Chelsea, ili tufanye vizuri timu inahitaji kuunganishwa na si vinginevyo,
 
Ni timu gani yenye wachezaji warefu haifungwi mipira ya vichwa? ,Timu ikikosa muunganyiko itafungwa tu kila aina ya magoli na hata hao warefu waje kama haitaunganishwa mipira ya vichwa tutafungwa tu na sisi hatutapata magoli ya vichwa. Tulikuwa na Silva kwa kimo chake mbona ndiye alikuwa anaongoza kupiga mipira ya vichwa Chelsea, ili tufanye vizuri timu inahitaji kuunganishwa na si vinginevyo,
Mbona hata kabla ya hii timu kina Rudigar walikuwa na vimo sawa na hawa tu wa sasa timu ilikuwa inafanya vizuri na kina Rudigar,Silva,Chilwell,Kante,Mount,Mmarekani yule yupo Ac Milan,Jogino,na wengine vimo vya kawaida lakini timu ilifanya vizuri,Hawa hawa wachezaji tulionao timu ikijipata utasahau sijui mambo ya urefu mara ufupi ambazo ni sababu minor sana hizo
 
KUna baadhi ya maandiko yangu nilitoa maoni kuwa mojawapo ya setback ya Chelsea hasa kwenye set pieces ni ufupi wa wachezaji wetu nikawa nashambuliwa sana humu

Ukweli huu umedhihirishwa sasa, uongozi wanachoangalia kwa sasa mojawapo ni urefu wa mchezaji
Pamoja na sifa zingine urefu unaangaliwa sana hasa kwa saa ambapo tumeweka idara ya set pieces na msimu ujao Chelsea imeweka mpango mkakati mahsusi wa kuongeza magoli mengi yatokanayo na set pieces
Wachezaji waliosajiliwa na watakaosajiliwa ni
  1. Tosin Aradabioyo 1.96M - deal done
  2. Michael Olise 1.84M - advanced stages
  3. Jhon Jader Durán 1.85M - Ongoing
  4. Samu Omorodion 1.93M - Ongoig
  5. Serhou Guirassy 1.87M - Admired
  6. Riccardo Calafiori 1.88M - Monitoring
Wanaouzwa
  1. Ian Maatsen 1.78M - To Aston Villa
  2. Marc Cucurella 1.72 - To be sold
  3. Conor Gallagher 1.82M - To be sold
  4. Malang Sarr 1.83M - To be sold
CUCURELLA SIO WAKUUZWA WATAFANYA KOSA KUBWA
 
CUCURELLA SIO WAKUUZWA WATAFANYA KOSA KUBWA
Baada ya kuwanunua wachezaji wa kuziba viraka kama Olise, na Striker, pia kuna uwezekano wa kumnunua LW na LB
kutafanyika fagia fagia na mmojawapo aliye kwenye orodha ni Cucurella
Mimi naona akiuzwa ni sawa hata kama anacheza vizuri kwa sasa
Wataalamu wengi wanaojua soka wanakuambia performance nzuri ya Cucurella sio class ni juhudi yake aliyoweka ambayo haiwezi kudumu. Muda wowote atarudi kwenye default

Pia tukumbuke kuwa sasa hivi Enzo Maresca anasikilizwa sana kuhusu wachezaji wanaweza kuingia kwenye style yake na sidhani kama Cucurella ataweza kufit kwenye mfumo huo mpya
 
Mbona hata kabla ya hii timu kina Rudigar walikuwa na vimo sawa na hawa tu wa sasa timu ilikuwa inafanya vizuri na kina Rudigar,Silva,Chilwell,Kante,Mount,Mmarekani yule yupo Ac Milan,Jogino,na wengine vimo vya kawaida lakini timu ilifanya vizuri,Hawa hawa wachezaji tulionao timu ikijipata utasahau sijui mambo ya urefu mara ufupi ambazo ni sababu minor sana hizo
Tunaposema urefu hatumaanishi asiwepo mfupi. Tunamaanisha vitu viwili
  1. Kuna baadhi ya nafasi lazima mchezaji awe mrefu unless aspects zingine zinasahihisha hilo la urefu
  2. Average namba ya wachezaji wawe warefu hata kama baadhi yao ni wafupi
Kwa case ya Chelsea msimu uliopita avreage ya timu ilikuwa ni ya timu ya 19 kati ya timu 20 kwa wastani wa urefu wa wachezaji

Nafasi zipi zinatakiwa kuwa na wachezaji warefu?
Kujilinda na set pieces angalau wachezaji baadhi wawe warefu kwenye mabeki, kipa na baadhi ya DM
Kwenye kufunga magoli ya set pieces angalau striker na baadhi ya mawinga na attacking midfielders wawe warefu

Turudi kwenye hoja yako

'Rudiger sio mfupi, urefu wake ni mita 1.9, mchezaji mfupi anakuwa kwenye chini ya mita 1.75M hivi
Silva hakuwa mfupi, urefu wa mita 1.81M
Chilwell 1.8M
Mount 1.81M
Pulisic 1.78M
Ngolo Kante tu ndie alikuwa mfupi wa Mita 1.68 na ufupi wake ulifidiwa na aspect zingine za kwanza ni energentic anaweza kuruka na kuwazidi wenye urefu wao, pili alicheza vizuri sana kwenye tackling, recovering na dispossesion vitu ambacho vilifidia udhaifu wa ufupi wake

Tukija kwa hii timu ya msimu uliopita, duh

Ebu tuangalie kila timu na wastani wa urefu wa wachezaji wao
  1. Everton - Wastani wa urefu: 186cm
  2. Msitu wa Nottingham - Wastani wa urefu: 186cm
  3. Tottenham - Wastani wa urefu: 185cm
  4. Newcastle United - Wastani wa urefu: 184cm
  5. Crystal Palace - Wastani wa urefu: 184cm
  6. Liverpool - Wastani wa urefu: 183cm
  7. Mji wa Luton - Wastani wa urefu: 183cm
  8. Fulham - Wastani wa urefu: 183cm
  9. Brentford - Urefu wa wastani: 183cm
  10. Arsenal - Wastani wa urefu: 182cm
  11. Aston Villa - Wastani wa urefu: 182cm
  12. Manchester United - Wastani wa urefu: 181cm
  13. Manchester City - Wastani wa urefu: 181cm
  14. Mbwa mwitu - Wastani wa urefu: 181cm
  15. Bournemouth - Wastani wa urefu: 180cm
  16. Sheffield United - Wastani wa urefu: 180cm
  17. Burnley - Urefu wa wastani: 179cm
  18. West Ham United - Wastani wa urefu: 178cm
  19. Chelsea - Wastani wa urefu: 178cm
  20. Brighton - Urefu wa wastani: 177cm
 
Ni timu gani yenye wachezaji warefu haifungwi mipira ya vichwa? ,Timu ikikosa muunganyiko itafungwa tu kila aina ya magoli na hata hao warefu waje kama haitaunganishwa mipira ya vichwa tutafungwa tu na sisi hatutapata magoli ya vichwa. Tulikuwa na Silva kwa kimo chake mbona ndiye alikuwa anaongoza kupiga mipira ya vichwa Chelsea, ili tufanye vizuri timu inahitaji kuunganishwa na si vinginevyo,
Sijasema urefu ndio factor pekee, huu ni uchambuzi na najitahidi kuadress aspect ya urefu kwa mchezaji. Mchezaji anakamilishwa na aspect zote na kwa wachezaji wengine madhaifu ya ufupi wao unafutwa na aspect zingine walizo nazo na mfano mzuri ni Kante, yeye ni mfupoi sana lakini maeneo mengine yanamfanya awe the best player, Je tunao akina Kante kwenye hii timu yetu, no
Wakati wa usajili urefu ni aspect mojawapo ila sio ya lazima sana, get that point na ndio maan tunapozungumzia urefu tunachukua average heights kwa sababu lazima wengine wawe wafupi kwa attribute zao zingine.
 
Baada ya kuwanunua wachezaji wa kuziba viraka kama Olise, na Striker, pia kuna uwezekano wa kumnunua LW na LB
kutafanyika fagia fagia na mmojawapo aliye kwenye orodha ni Cucurella
Mimi naona akiuzwa ni sawa hata kama anacheza vizuri kwa sasa
Wataalamu wengi wanaojua soka wanakuambia performance nzuri ya Cucurella sio class ni juhudi yake aliyoweka ambayo haiwezi kudumu. Muda wowote atarudi kwenye default

Pia tukumbuke kuwa sasa hivi Enzo Maresca anasikilizwa sana kuhusu wachezaji wanaweza kuingia kwenye style yake na sidhani kama Cucurella ataweza kufit kwenye mfumo huo mpya
Kwani ulitegemea utakutana na performance kubwa kutoka kwa Palmer? Cucurella ni mchezaji na anauwezo wakucheza Chini ya kocha mpya cos ni versatile player anaweza kucheza as left back, left wing back as well as midfielder
 
Kwani ulitegemea utakutana na performance kubwa kutoka kwa Palmer? Cucurella ni mchezaji na anauwezo wakucheza Chini ya kocha mpya cos ni versatile player anaweza kucheza as left back, left wing back as well as midfielder
Composure ya Cucurella is not world class, at any time anafanya eror inayoigharimu timu. Mtizamo wa Owner ikipatikana pesa nzuri ukichukulia form yake anauzwa.

Hawa wanaweza kukumbwa na fagio la dirisha hili, hii ndio habari iliyoko mjini
  1. Cucurella
  2. Gallagher - Kwa gallagher hakuna haraka ya kumuuza
  3. Chalobah
  4. Maatsen - Tayari kashapigwa mnada, bado mchezaji tu kukubaliana na Aston Villa
  5. Lukaku
  6. Malang Sarr
  7. Rahim Sterling
  8. Kepa
  9. Broja
 
Composure ya Cucurella is not world class, at any time anafanya eror inayoigharimu timu. Mtizamo wa Owner ikipatikana pesa nzuri ukichukulia form yake anauzwa.

Hawa wanaweza kukumbwa na fagio la dirisha hili, hii ndio habari iliyoko mjini
  1. Cucurella
  2. Gallagher - Kwa gallagher hakuna haraka ya kumuuza
  3. Chalobah
  4. Maatsen - Tayari kashapigwa mnada, bado mchezaji tu kukubaliana na Aston Villa
  5. Lukaku
  6. Malang Sarr
  7. Rahim Sterling
  8. Kepa
  9. Broja
CUCURELLA HANA COMPOSURE? HAUPO SERIOUS MKUU
 
Baada ya kuwanunua wachezaji wa kuziba viraka kama Olise, na Striker, pia kuna uwezekano wa kumnunua LW na LB
kutafanyika fagia fagia na mmojawapo aliye kwenye orodha ni Cucurella
Mimi naona akiuzwa ni sawa hata kama anacheza vizuri kwa sasa
Wataalamu wengi wanaojua soka wanakuambia performance nzuri ya Cucurella sio class ni juhudi yake aliyoweka ambayo haiwezi kudumu. Muda wowote atarudi kwenye default

Pia tukumbuke kuwa sasa hivi Enzo Maresca anasikilizwa sana kuhusu wachezaji wanaweza kuingia kwenye style yake na sidhani kama Cucurella ataweza kufit kwenye mfumo huo mpya
Tuna vilema kama chillwell na Fofana halafu tunashindwa kuuza hao wafanyakazi hewa tunaishia kuuza reliable players kama cucurela .
Hawa madirectors nao ni wapuuzi ,
Epl ni marathon inayohitaji wachezaji wasio na tendency ya majeraha .
Na ikumbukwe tuna mashindano mengi msimu ujao .
 
CUCURELLA HANA COMPOSURE? HAUPO SERIOUS MKU
Nami namshangaa huyu jamaa
Cucurela ameanza kuipata form yake aliyokuwa nayo huko Brighton na ndio tunataka kumuuza .
Na ana uwezo wa kucheza kama inverted left back .
Na ndio ilikuwa cheat code ya Pochetino kuweza kushinda mechi za mwisho wa ligi ..
Ukiangalia ule upande tuna kilema na mfanyakazi hewa Ben Chillwell
Sijui tunafanya nini
 
CUCURELLA HANA COMPOSURE? HAUPO SERIOUS MKUU
Unajua maan ya neneo composure? au unabisha tu
Mchezaji kama Cucu kucheza vizuri defensively haina maana ana composure nzuri
Cucu ni mkabaji mwenye errors nyingi na inamfanya asiaminiwe kwenye hiyo idara hata kama baadhi ya mechi kwenye ungwe ya mwishi wa ligi alifanya vizuri
 
Sijasema urefu ndio factor pekee, huu ni uchambuzi na najitahidi kuadress aspect ya urefu kwa mchezaji. Mchezaji anakamilishwa na aspect zote na kwa wachezaji wengine madhaifu ya ufupi wao unafutwa na aspect zingine walizo nazo na mfano mzuri ni Kante, yeye ni mfupoi sana lakini maeneo mengine yanamfanya awe the best player, Je tunao akina Kante kwenye hii timu yetu, no
Wakati wa usajili urefu ni aspect mojawapo ila sio ya lazima sana, get that point na ndio maan tunapozungumzia urefu tunachukua average heights kwa sababu lazima wengine wawe wafupi kwa attribute zao zingine.
Ngoja tuone lakini niamini mimi hata hao wanaokuja timu isipoungana bado yatakuwa yaleyale tu
 
CUCURELLA HANA COMPOSURE? HAUPO SERIOUS MKUU
Namfuatilia Cucurella hapa, kiukweli anacheza vizuri sana, defensively yuko vizuri na uwezo wake wa kuingia kwenye midfield pale timu inapozidiwa inaipa uhai Spain

Hata hivyo tumpe muda wa msimu mzima au zaid ndipo tuseme mil 60 zilimstahili

Naunga mkono akibaki atakuwa msaada zaidi kuliko akiuzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom