Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tena watamuuza kwa bei rahisi ya pauni mil 25
Mashabiki wengi wanadai hata basi akiuzwa sio kwa bei chee
  1. Gallagher mil 50
  2. Broja bei imeshushwa hadi mil 30
  3. Maatsen RC ya mil 35
  4. Chalobah mil 25
Wamiliki wa kimarekani ni wapumbavu wameua klub nyingi kwa mtindo huu huu. They need to play it safe this time. Vinginevyo FFp is around the corner na academy wa Abramovichi wa kuuza hawatakiwepo tena maana sioni wakiimarisha academy wakati ndo imekuwa ikizalisha faida nyingi kwa club.
 
Gallagar na challoba wote ni matakataka wauzwe tu hat kwa aftatu tatu itakua biashara nzuri, michezaji gani inajua kukaba kupga pasi haiwezi. Kwa kocha anaejielewa hawezi kuiweka hiyo mizigo kwnye kikosi chake.

Huyu kocha kama niwakuposses mpira hiyo migobole haimfai hata kidogo.
Mwe mnaangalia mpira. Angalia takwimu za Galagher kama zinamatch na midfield yoyote pale Chelsea. Siyo Caisedo, Enzo, Chukwemeka wala yeyote ameshine defensively and offensively kama Galagher
 
Yaliotutokea kwa AKE yanajirudia kwa chaloba
Ake unafananisha na hiyo takataka, Ake hata kiungo anacheza, sasa hiyo kiaz inajua tu kuzuia ndio ukaifananishe na Ake acheni basi masihara.
Beki za kisasa zinazuia na zinatoa pasi bila mawenge, angalia akina VVD, Saliba, Stones, Ake halafu nyie mna Challoba hahahaha...

Ambaye tutakuja kujutia tukimuuza ni Badiashile, ni bonge moja la beki wa kisasa. Japo kw sasa bado anamakosa mengi yanayoigarimu timu ila sio hiyo mbatata.
 
Kocha jipya la the blues wanakwambia sio mbinu tu hata makarateka linajua hapa likionyesha staff ya the blues maujuzi liliyona nayo.

🤣🤣🤣🤣Tutacheka sana hapa msimu ujao.
1717151241056.jpg
 
Kuna watu wanasema Chalobah hawezi kupasi mpira, hiyo ilikuwa 2022 tena baada ya kutoka majeruhi.
Huyu Chalobah wa 2023/24 ni mwingine kabisa. Mechi nyingi alizocheza Chalobah kama CB ay RB Chelsea ilishinda na haikufungwa magoli ya kijinga kama ya Disasi na Badiashile
Ebu cheki hiyo pasi kwenda kwa Madueke

 
Goli la Moises Caisedo dhidi ya Bornemouth mechi ya ligi ya mwisho wa msimu lapigiwa kura na mashabiki wa Chelsea kuwa goli bora la msimu wa 23-24

HONGERA SANA MOI

 
Angalau Chelsea sasa imeanza kuweka vipaumbele kwa wachezaji warefu kama Tosin Adarabioyo, ambaye ni nyongeza nzuri ikizingatiwa kuwa anajiunga nasi bila malipo.

1717240801477.png

Angalau Chelsea sasa imeanza kuangazia wachezaji warefu kama Tosin Adarabioyo, ambayo ni nyongeza chanya ikizingatiwa kuwa anajiunga nasi bila malipo.
 
Angalau Chelsea sasa imeanza kuweka vipaumbele kwa wachezaji warefu kama Tosin Adarabioyo, ambaye ni nyongeza nzuri ikizingatiwa kuwa anajiunga nasi bila malipo.

View attachment 3005728
Angalau Chelsea sasa imeanza kuangazia wachezaji warefu kama Tosin Adarabioyo, ambayo ni nyongeza chanya ikizingatiwa kuwa anajiunga nasi bila malipo.
Kama usajili utakamilika utakua moja kati best transfer zilizowahi kufanywa miaka ya hivi karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom