Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

UEFA imewapa Manchester United hadi Jumatatu kutafuta suluhu kuhusu ushiriki wao wa Ligi ya EUROPA msimu ujao.

Muda huu umewekwa kutokana na mgongano wa kimaslahi unaotokana na ukweli kwamba mmiliki mwenza wa United, Sir Jam Ratcliffe, pia anamiliki klabu ya Nice, ambayo imefuzu kwa mashindano hayo.

Kulingana na kanuni za UEFA, chombo kimoja hakiwezi kuwa na ushawishi mkubwa kwa vilabu viwili au zaidi vinavyoshiriki katika ligi moja.

Ikizingatiwa kuwa Nice walimaliza ligi wakiwa juu zaidi kuliko United, Mashetani Wekundu wanaweza kuhitajika kushuka hadi Ligi ya Conference ya Europa isipokuja na azimio la kutoa suluhisho.

View attachment 3004818
Nyie na ueropa conference cha kuwatenganisha labda kifo pekee yani ueropa waitoe man u timu yenye mafans wakutosha wabaki na nyie wakora .

ueropa conference league Group D

1.Bodo
2.arsenal tula
3.Chelsea
4.azhi machakacha
5.maribor😁😁
Screenshot_20240602-203347.png
 
Ake unafananisha na hiyo takataka, Ake hata kiungo anacheza, sasa hiyo kiaz inajua tu kuzuia ndio ukaifananishe na Ake acheni basi masihara.
Beki za kisasa zinazuia na zinatoa pasi bila mawenge, angalia akina VVD, Saliba, Stones, Ake halafu nyie mna Challoba hahahaha...

Ambaye tutakuja kujutia tukimuuza ni Badiashile, ni bonge moja la beki wa kisasa. Japo kw sasa bado anamakosa mengi yanayoigarimu timu ila sio hiyo mbatata.

Wewe unabase uchezaji wake alipokuwa kwenye form mbaya 2022. Kama ni clip 100 basi weka 200 na zile wakati wa Tuchel kabla ya kwenda majeruhi

Mnyonge mnyongeni haki yake apewe
  1. Chalobah ni fast
  2. Anajua kusoma mchezo
  3. Wakati wa TT alicheza vizuri sana
  4. Wakati wa Potter alicheza vibaya
  5. Wakati wa mshavu kacheza vizuri kama wakati wa TT
  6. Mipira ya juu yeye ndie pekee mwenye uwezo wa kuzipangua
  7. Mechi nyingi alizocheza rate ya Chelsea kushinda ilikuwa kubwa sana
  8. Ni mzalendo wa kweli
  9. Akiondoka aondoke tu kwa ajili ya vitabu na sio kwa vile ni CB mbovu
Unajisumbua bure kubishana na huyo jamaa kuhusu Chalobah. Huyo jamaa hajua kuwa Chalobah katupa kombe la champions league 2022
 
BREAKING:
Chelsea haiko tayari kumtoa kwa mkopo Omari Hutchinson msimu huu wa joto.
Wanataka kumuuza kwa mkataba wa kudumu— Chelsea itazingatia tu ofa za takriban £25-30m. [@FabrizioRomano]

1717432925926.png
 
Klabu ya soka ya Chelsea inafuraha kutangaza uteuzi wa Enzo Maresca kama kocha mkuu mpya wa timu ya mpira ya wanaume.

Muitaliano huyo ataanza jukumu lake jipya mnamo tarehe 1 Julai 2024 kwa mkataba wa miaka mitano, na chaguo la nyongeza ya mwaka zaidi hadi 30 Juni 2030.

Laurence Stewart na Paul Winstanley, wakurugenzi-wenza wa michezo wa Chelsea, walisema:

‘Tuna furaha kumkaribisha Enzo Chelsea. Amejidhihirisha kuwa kocha bora mwenye uwezo wa kutoa matokeo ya kuvutia kwa mtindo uchezaji wa kusisimua na wenye utambulisho.

'Enzo ametuvutia sana katika mijadala yetu hadi kuteuliwa kwake. Matarajio yake na maadili ya kazi yanaendana na yale ya klabu. Tunatazamia sana kufanya kazi naye.

Kundi la umiliki wa Chelsea lilisema: ‘Tunafuraha kumkaribisha Enzo katika familia ya Chelsea. Tunatazamia kumuunga mkono yeye na timu nyingine ya wanamichezo katika kutimiza uwezo wao na matarajio yetu kwa miaka ijayo.

"Ni kocha mwenye kipawa cha hali ya juu na kiongozi ambaye tuna uhakika anaweza kusaidia kutimiza maono yetu na malengo ya ushindani kwa Klabu."

Maresca alisema: ‘Kujiunga na Chelsea, moja ya klabu kubwa duniani, ni ndoto kwa kocha yeyote. Ndio maana nimefurahishwa sana na fursa hii.

"Ninatarajia kufanya kazi na kundi la wachezaji na wafanyakazi wenye vipaji ili kukuza timu ambayo inaendeleza utamaduni wa mafanikio wa klabu na kuwafanya mashabiki wetu wajivunie."

1717433962556.png
 
Klabu ya soka ya Chelsea inafuraha kutangaza uteuzi wa Enzo Maresca kama kocha mkuu mpya wa timu ya mpira ya wanaume.

Muitaliano huyo ataanza jukumu lake jipya mnamo tarehe 1 Julai 2024 kwa mkataba wa miaka mitano, na chaguo la nyongeza ya mwaka zaidi hadi 30 Juni 2030.

Laurence Stewart na Paul Winstanley, wakurugenzi-wenza wa michezo wa Chelsea, walisema:

‘Tuna furaha kumkaribisha Enzo Chelsea. Amejidhihirisha kuwa kocha bora mwenye uwezo wa kutoa matokeo ya kuvutia kwa mtindo uchezaji wa kusisimua na wenye utambulisho.

'Enzo ametuvutia sana katika mijadala yetu hadi kuteuliwa kwake. Matarajio yake na maadili ya kazi yanaendana na yale ya klabu. Tunatazamia sana kufanya kazi naye.

Kundi la umiliki wa Chelsea lilisema: ‘Tunafuraha kumkaribisha Enzo katika familia ya Chelsea. Tunatazamia kumuunga mkono yeye na timu nyingine ya wanamichezo katika kutimiza uwezo wao na matarajio yetu kwa miaka ijayo.

"Ni kocha mwenye kipawa cha hali ya juu na kiongozi ambaye tuna uhakika anaweza kusaidia kutimiza maono yetu na malengo ya ushindani kwa Klabu."

Maresca alisema: ‘Kujiunga na Chelsea, moja ya klabu kubwa duniani, ni ndoto kwa kocha yeyote. Ndio maana nimefurahishwa sana na fursa hii.

"Ninatarajia kufanya kazi na kundi la wachezaji na wafanyakazi wenye vipaji ili kukuza timu ambayo inaendeleza utamaduni wa mafanikio wa klabu na kuwafanya mashabiki wetu wajivunie."

View attachment 3007714
Takataka tu , hamna lolote humu .
Yaani hii Chelsea na kocha kama huyu ndio tunajipa matumaini hewa kama false hopers Arsenyetoz kwamba kuna siku tunaweza kushindana na timu kama Real madrid ?
 
Tunawaacha watu wa maana tunakimbilia majitu ya ovyo kuja kufanya coaching Chelsea ......
Hii ni aibu
 
lembu tunaomba utuletee ubora wa huyo beki wa Fulham tunayetaka kumsajili maana nimewaza kwa sauti vile Fulham walivyokuwa back line ilivyokuwa inaruhusu magoal inanitia shaka kidogo
Tunawaacha watu wa maana tunakimbilia majitu ya ovyo kuja kufanya coaching Chelsea ......
Hii ni aibu
Mimi ninaimani nae atatuvusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom