ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 6,525
- 23,983
Nimenogewa na Man city😎Wengi tunaipenda Chelsea ila hatufuatilii mpira nje ya kile tunachokiona uwanjani. Nadhani tupanue bongo zetu nje ya uwanja kujua mambo yanaendje nje ya pitch
Nimenogewa na Man city😎Wengi tunaipenda Chelsea ila hatufuatilii mpira nje ya kile tunachokiona uwanjani. Nadhani tupanue bongo zetu nje ya uwanja kujua mambo yanaendje nje ya pitch
Atawachapa viboko kabisa .Mara mia Mourinho kuliko hao watoto.
Mistakes juu ya mistake .Ukitaka proven coach huwez mpata kwa sasa hiyo chance Tulikuwa nayo last summer tukaletewa huyo bwana mashavu
Hata Xabi alonso ni unproven coach, wacha tu take risk kwa akina Robert De Zerbi na Kieran McKenna, ikikataa kuna plan B tayari, one thing I am sure, De Zerbi ni upgrade ya Poche, kwa Kieran McKenna ni mzuri sana ila kuna risk kubwa pia nyuma yakeUnapaswa kuelewa kuwa De Zerbi is unproven coach.
Wewe unarudi huku msimu ujao. Najua huko umedanganyika na makombe tuNimenogewa na Man city😎
Ndani ya wiki ijayo tutajua kocha tayari, nothing is too late kwa sababu pre season bado na commitment za mechi hakuna.Katika kitu ambacho wakurugenz wetu wanachokosea ni pale unapofukuza kocha halaf ndio uanze kutafuta.
Club zote zenye wakurugenzi wanaojielewa hata kabla ya kufukuza kocha tayar huwa washakuwa na mtu tayari.
Leo West Ham moyes anaondoka ila plan ya Kocha mwingine ilikuwa tayari
Ila sisi sasa😂😂
Hata hiyo mwishoni alibahatisha tu na alilazimihswa kwa sababu ya majeruhi, tulifikisha 14 injuries, hakuwa na ujanja hata mchezaji asiyemtaka ilibidi amtumie tuHivi kuna watu wanamtetea Poche? Kisa mechi za mwishoni? Jamaa alikosa mbinu kabisa kusema kweli.
Poche ameshakosa mbinu kama old dog
Nitaangalia itakavyokuaWewe unarudi huku msimu ujao. Najua huko umedanganyika na makombe tu
Mkumbuke moja kati ya kipengele kwenye mauzo ya team ni hawawamiliki hawatakiwi kuuza team o stakes ndani ya miaka 10Kuna taarifa kutoka SPN kwamba Boehly anatarajia kuuza stock zake zote Chelsea
Tukumbuke kuwa Boehly alikuwa akimtetea Pochettino baada ya kufanya vizuri mwishoni
Alisikika kwenye vyombo vya habari akisifia mchezo mzuri ulioonyeshwa na Chelsea
Pia alidirika kumualika Pochettino kwenye chakula cha jioni na kuwa na mazungumzo yafaragha naye
Tukumbuke pia kuwa Eghbali kwenye kikao cha kumhakiki Pochettino alikuja na rundo la taarifa mbaya kuhusu Pochettino kwenye maeneo ya nafasi kubwa zilizokoswa pamoja na nafasi nyingi za set pieces ambazo hazikubadilishwa kuwa magoli
Hii taarifa ya Boehly kuuza stock zake inaonyesha kuwa Boehly na Eghbali wako kwenye mvutano mkubwa kwenye hili saga ya kumsimamisha Pochettino na sakata zima la kumuajiri kocha mpya
Kama taarifa hizi ni za kweli na kama hili litatokea, basi tutegemee twist kubwa sana kwenye hatima ya Chelsea kimaendeleo na kimafanikio.
Kuna kila hali kuwa Chelsea itarudi kwenye square zero kwenye kila kitu
Hawezi uza mikataba ya mwanzo inawafunga hiyo.Wamiliki wameshanza kuona kuwa wanafanya maamuzi yasiyo sahihi na muda si mrefu Toddy atauza his zake au kwa lugha nyingine Toddy ataondoa mtaji wake.
Ni kweli kabisa kuwa wamiliki wapya wa Chelsea waliwekewa katazo kulipa gawio (dividends), kuuza hisa au kuchukua ada za usimamizi (management fee) kwa miaka 10. ila hatujui vitu viwiliMkumbuke moja kati ya kipengele kwenye mauzo ya team ni hawawamiliki hawatakiwi kuuza team o stakes ndani ya miaka 10