Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkumbuke moja kati ya kipengele kwenye mauzo ya team ni hawawamiliki hawatakiwi kuuza team o stakes ndani ya miaka 10
Ni kweli kabisa kuwa wamiliki wapya wa Chelsea waliwekewa katazo kulipa gawio (dividends), kuuza hisa au kuchukua ada za usimamizi (management fee) kwa miaka 10. ila hatujui vitu viwili
  1. Kwamba hilo katazo ni sheria au commitment tu
  2. Undani wa hilo katazo na masharti yake
 
Huu msimu wa pili na tunazidi kukosa mwendelezo continuity and consistency. Wachezaji wenye mikataba ya miaka 7 wamebakiza miaka 5 sasa na kilichofanywa na Poch tutakisadaka kwa ajili ya championship coaches. Matokeo wachezaji talented wataondoka kwa hasara na itakuwa vigumu kuvutia talents kuja darajani. Hayo yakianza kutokea njia yetu itakuwa ngumu sana. Msisahau kuwa Chelsea ina mashabiki loyal wachache sana. Wengi ni plastic fans yaani Chelsea ikifungwa msimu mmoja ni panic bila analysis ya nini kinasababisha. Hivyo umakini unahitajika sana katika kupata kocha mpya. Hatuhitaji hawa championship level coaches. Gerad, Rooney wamekuwa huko championship at times na tunajua nini kiliwatokea baadae

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Ziangalie hizo game vizuri Poch ameshindaje???kama sio quality ya wachezaji ndio mda mwingine inayoamua

Unaweza kuwa kocha mzuri ila quality ya wachezaji ulionao ndio ikakukwamisha.

Don Carlo wakat yuko Everton ilikuwaje??? Sahiv madrid hata anaweza kuwa nyuma kwa goal 2 ilq quality ya wachezaj alionao ikabadilisha matokeo + mbinu zake.

Tusikariri kwamba kocha lazima awe ametoka team flan no soka lishabadilika,

Sahiv unahitaji kocha na wachezaji wanaoendana.
Squad profile tulio nayo ni differ na Squad profil poch anayoendana nayo.
Wewe unaangalia matokea badala ya mpira hata Carlo alivyokuwa Everton unaona kabisa ideal ya team, system nzima na approach ya game shida ilikuja utekelezaji kwa wachezaji wake hapa ndio unaona aliangushwa na kukosa quality player. Tukija kwa huyo kocha wako wa Brighton De zerbi hana plan B kwasababu kama unaona unafungwa kwa aina moja ya soka kwanini usibadilishe system yako nzima ya uchezaji?Poche angalau alionesha baada ya kuinvert Cucurella kucheza kama kiungo mkabaji at the same anakuwa left back hiyo ndio maana ya mbinu pia angalia hata game dhidi ya man city pale Etihad alibadilika hakutaka kupishana na Man city kama ilikuwa pale darajani ulichofanya ni kucheza counter attack huku tukiweka low block eti Kyatile watuambie hawa na mwenzake lembu huyo kocha wenu mnaempenda hizo mbinu mnazosema anamzidi Poche ni zipi? binafsi simkubali Poche lakini huwezi kuniambia kazidiwa kimbinu na De zerbi
 
Lengo la matajiri siyo kujenga timu ya kubeba makombe ..bali ni kujenga timu ya kuuza wachezaji, angalia hata makocha wanataka ..siyo ma legend Tena Bali ni vijana aina ya akina kompany, so tusitegeme chochote msimu ujao ..tujiandae kisaikolojia kuwa mid table team kama akina Brighton kukuza wachezaji na kuuza uko Madrid, PSG na sehemu pengine

Tutamkumbuka sana Abramovich 😭😭😭😭
 
Matajiri wanataka kocha ambaye watamkontrol wao siyo Hawa malengend kama akina Mou, Conte, na wengine ..na wamesema kocha yeyote aliyepita darajani basi asahau kurudi ..ivyo tusitegemee kubwa musimu ujao unaeza shangaa Palmer akauzwa kama saiv Chalobah na Gallagher wanatafutiwa timu wazee wanataka kufanya biashara na siyo bla bla za kujenga timu kuleta makombe ..icho kitu tukisahau kwa sasa Chelsea..

Tucheke lakini tulie😂😂😂😭😭😭
 
Na declare kuanzia leo ,Chelsea ni midtable kama hizo Brentford,Brighton ,Fulham, westham na timu kama hizo
 
Kuhusu makombe wanayataka ndiyo maana wakamnunua Enzo, Caisedo, Mudryk ila wanakuwa wajuaji sana wakati hawana uzoefu katika industry ya football hasa Uingereza.
Wanapaswa kugelegate some power kwa kocha hasa issues kama transfers ili afanye mashauriano na directors kuhusu wachezaji gani wanakuja. Assume msimu jana wanakuwa wanaingia mpaka dress room nakutoa speech break time na baabda ya mechi.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Huu msimu wa pili na tunazidi kukosa mwendelezo continuity and consistency. Wachezaji wenye mikataba ya miaka 7 wamebakiza miaka 5 sasa na kilichofanywa na Poch tutakisadaka kwa ajili ya championship coaches. Matokeo wachezaji talented wataondoka kwa hasara na itakuwa vigumu kuvutia talents kuja darajani. Hayo yakianza kutokea njia yetu itakuwa ngumu sana. Msisahau kuwa Chelsea ina mashabiki loyal wachache sana. Wengi ni plastic fans yaani Chelsea ikifungwa msimu mmoja ni panic bila analysis ya nini kinasababisha. Hivyo umakini unahitajika sana katika kupata kocha mpya. Hatuhitaji hawa championship level coaches. Gerad, Rooney wamekuwa huko championship at times na tunajua nini kiliwatokea baadae

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Usijudge kabla ya league kuanza? What if huyo anayekuja ndio akafanya makubwa kuliko hata Poch.

Arteta Arsenal ndio team yake ya kwanza ila angalia kipi alichokifanya mpaka sasa.

League ikishaanza tuanze kuwajudge hapo
Sahiv stability ipo kuliko mwanzoni,Foundation Poch ashatengeneza ni jukumu la kocha anaekuja kuendeleza pale pale alipoishia Poch kwa maboresho machache.

PS.
Tunahitaji kocha anaendana na Profile ya wachezaji, Wachezaji wetu wanahitaji Possession based Coach
 
Usijudge kabla ya league kuanza? What if huyo anayekuja ndio akafanya makubwa kuliko hata Poch.

Arteta Arsenal ndio team yake ya kwanza ila angalia kipi alichokifanya mpaka sasa.

League ikishaanza tuanze kuwajudge hapo
Sahiv stability ipo kuliko mwanzoni,Foundation Poch ashatengeneza ni jukumu la kocha anaekuja kuendeleza pale pale alipoishia Poch kwa maboresho machache.

PS.
Tunahitaji kocha anaendana na Profile ya wachezaji, Wachezaji wetu wanahitaji Possession based Coach
Arteta kachukua kombe gani?.......
 
Kuhusu makombe wanayataka ndiyo maana wakamnunua Enzo, Caisedo, Mudryk ila wanakuwa wajuaji sana wakati hawana uzoefu katika industry ya football hasa Uingereza.
Wanapaswa kugelegate some power kwa kocha hasa issues kama transfers ili afanye mashauriano na directors kuhusu wachezaji gani wanakuja. Assume msimu jana wanakuwa wanaingia mpaka dress room nakutoa speech break time na baabda ya mechi.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mkuu mkuu delagete zipi hizo unazozizungumzia wakat kila kitu kimeshakuwa delagated, Maamuzi yiye yanayofanywa yanaanzia kwa Sporting Director lawrance Stewart na Paul Winstanley hawa ndio wanaofanya kabla ya maamuzi kupitishwa na owner
 
Chelsea wamekanusha maelezo yaliyozagaa kwamba wanatafuta kumteua meneja ambaye anaweza kudhibitiwa. Inaeleweka wanataka meneja ambaye yuko tayari kuchukua mapendekezo kutoka kwa wataalamu katika idara za matibabu, usajili na ufundi.

inajulikana kuwa Pochettino alikuwa baridi kwenye hilo.

@JacobSteinberg
 
Arteta kachukua kombe gani?.......
FA
Community Shield

Msimbeze sana Arteta unaangalia alipoitoa Arsenal na hapa ilipo msiweke ushabiki katika kila jambo, Sahiv Arsenal inaweza kwenda jino kwa jino na team yoyote kubwa.

Premier League au UEFA kuchukua sio rahisi Klopp mwenyewe tunayemuona ni bora ameondoka na Premier league 1 na kuna wakat aliwah fukuzia 1 pts mpk mwisho wa msim hakuwah kuipata 😂
 
Chelsea wamekanusha maelezo yaliyozagaa kwamba wanatafuta kumteua meneja ambaye anaweza kudhibitiwa. Inaeleweka wanataka meneja ambaye yuko tayari kuchukua mapendekezo kutoka kwa wataalamu katika idara za matibabu, usajili na ufundi.

inajulikana kuwa Pochettino alikuwa baridi kwenye hilo.

@JacobSteinberg
Kitu cha kwanza tu Ujionwa Set Pieces Coach poch alivyosema yeye ndie atakaeamua awepo kwenye bench au asiwepo ilikuwa ni red flag 😂

Sahiv vilabu vingi maamuzi yanafanywa na sporting director na recruitment team kocha ni kufanya kazi yako tu

Klopp ndio sabab ya Michael Edward Kuondoka liverpool sababu hizo hizo za kutaka control, Klopp anaondoka Edward Anarudi
 
Kuhusu makombe wanayataka ndiyo maana wakamnunua Enzo, Caisedo, Mudryk ila wanakuwa wajuaji sana wakati hawana uzoefu katika industry ya football hasa Uingereza.
Wanapaswa kugelegate some power kwa kocha hasa issues kama transfers ili afanye mashauriano na directors kuhusu wachezaji gani wanakuja. Assume msimu jana wanakuwa wanaingia mpaka dress room nakutoa speech break time na baabda ya mechi.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Hili la kupewa kocha mamlaka ina two school of thoughts
Inategemea kwanza project inafuata model ipi?
  1. Model #1: Coach ndiye anayeamua identy ya uchezaji
  2. Mo9del#2: Klabu ndiyo inaamua identity ya uchezaji
Kama jibu ni namba moja lazima timu iweze kuti in kwa kocha
Kama namba mbili ndio inachukuliwa lazima kocha anayechukuliwa aweze kufit in

Bahati mbaya au nzuri wamiliki wa Chelsea wao wameamua kufuata model no. 2 ambapo sasa wanatafuta kocha anayeweza kutengeneza timu icheze identity ya klabu
wamiliki na SD wanataka kocha anayeweza kucheza soka la kisasa la kumiliki mpira, progressive coach ambaye anaweza kubadilika kulingana na mpinzani.

Pia klabu inamtaka kocha ambaye atakuwa tayari kushirikiana na SD, Medical team na other technical department
So hili suala la deligation haitaweza fanya kazi kwenye hii project model ambayo wamemaua kuifuata

Tukumbuke pia kuwa hii model sio mbaya kama atapatikana kocha ambaye atafit in. Ila akija kocha ambaye yeye anawaza kwenda tofauti na hii model ataongeza mvutano na hakuna kitu kitakachoendlea na timu itavurugika.
 
Kitu cha kwanza tu Ujionwa Set Pieces Coach poch alivyosema yeye ndie atakaeamua awepo kwenye bench au asiwepo ilikuwa ni red flag 😂

Sahiv vilabu vingi maamuzi yanafanywa na sporting director na recruitment team kocha ni kufanya kazi yako tu

Klopp ndio sabab ya Michael Edward Kuondoka liverpool sababu hizo hizo za kutaka control, Klopp anaondoka Edward Anarudi
Nimeiweka vizuri hii model ambayo hao wamiliki wanaifuata ambayo mimi sioni iko mabay. Barcelona waliifuata kwa miaka mingi na iliwapa mafanikio makubwa sana
Hili la kupewa kocha mamlaka ina two school of thoughts
Inategemea kwanza project inafuata model ipi?
  1. Kati ya Coach ndiye ana depect identy ya uchezaji
  2. Klabu ndiyo inaamua identity ya uchezaji
Kama jibu ni namba moja lazima timu iweze kuti in kwa kocha
Kama namba mbili ndio inachukuliwa lazima kocha anayechukuliwa aweze kufit in

Bahati mbaya au nzuri wamiliki wa Chelsea wao wameamua kufuata model no. 2 ambapo sasa wanatafuta kocha anayeweza kutengeneza timu icheze identity ya klabu
wamiliki na SD wanataka kocha anayeweza kucheza soka la kisasa la kumiliki mpira, progressive coach ambaye anaweza kubadilika kulingana na mpinzani.

Pia klabu inamtaka kocha ambaye atakuwa tayari kushirikiana na SD, Medical team na other technical department
So hili suala la deligation haitaweza fanya kazi kwenye hii project model ambayo wamemaua kuifuata

Tukumbuke pia kuwa hii model sio mbaya kama atapatikana kocha ambaye atafit in. Ila akija kocha ambaye yeye anawaza kwenda tofauti na hii model ataongeza mvutano na hakuna kitu kitakachoendlea na timu itavurugika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom