Hili la kupewa kocha mamlaka ina two school of thoughts
Inategemea kwanza project inafuata model ipi?
- Model #1: Coach ndiye anayeamua identy ya uchezaji
- Mo9del#2: Klabu ndiyo inaamua identity ya uchezaji
Kama jibu ni namba moja lazima timu iweze kuti in kwa kocha
Kama namba mbili ndio inachukuliwa lazima kocha anayechukuliwa aweze kufit in
Bahati mbaya au nzuri wamiliki wa Chelsea wao wameamua kufuata model no. 2 ambapo sasa wanatafuta kocha anayeweza kutengeneza timu icheze identity ya klabu
wamiliki na SD wanataka kocha anayeweza kucheza soka la kisasa la kumiliki mpira, progressive coach ambaye anaweza kubadilika kulingana na mpinzani.
Pia klabu inamtaka kocha ambaye atakuwa tayari kushirikiana na SD, Medical team na other technical department
So hili suala la deligation haitaweza fanya kazi kwenye hii project model ambayo wamemaua kuifuata
Tukumbuke pia kuwa hii model sio mbaya kama atapatikana kocha ambaye atafit in. Ila akija kocha ambaye yeye anawaza kwenda tofauti na hii model ataongeza mvutano na hakuna kitu kitakachoendlea na timu itavurugika.