Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nitakupa mfano kaka. Enzo Fernández walimsajiri ila Poch alishawahi kuwahoji kuwa, wao wakati waliomsajiri wanamuona yuko offensive enough kuwa namba 8 au destructive enough kuwa namba 6?

Lakini ukimtazama Enzo yupo kati ya namba 6 na nane. Akicheza na Enzo alimlimit sana Caisedo kucheza maana kwa kawaida Caisedo anapenda kuzunguka uwanjani na kuharibu mipango ya adui. Lakini kama directors na matajiri wanataka Enzo acheze kocha atafanya nini?
Mfumo anaotumia Poch ulikuwa huwezi kupata ubora wa wote wawili kwa wakat mmoja ni mara chache sana ambaoo wote wawili wamecheza vizur.

Angalia game ambazo Caicedo alikuwa hayupo . Wakat enzo anacheza na galagher
 
Nilikuwa na furaha zaidi kutaka kuona Pochetinho akipewa msimu ujao malengo ya kufika top 4 kisha apewe challenge ya kutafuta ubingwa 2025/2026.

Wachezaji wengi walikuwa majeruhi.
Wachezaji wengi walikuwa hawajapata synergy na consistency kimpira ila walikuwa wakielekea mwsihoni mwa ligi kuu mfano nafasi nyingi walizokuwa wanakosa.
Wachezaji wengi Vijana hivyo ilihitaji muda zaidi kuwajengea uzoefu na confidence ktk ball possession, attacking football and defense solidarity.

Bodi ya Chelsea SC imezingua sana kumfukuza Pochetinho mapema ingawa sikuwahi kumkubali lakini alijitahidi kufanya vizuri kwa msimu mmoja tu kufika carabao cup final, FA semi finals tena bila mbeleko ya Man City kuwafichia penalty halali lolote lingetokea na kumaliza nafasi ya 6 kupata tiketi 1 kwa 1 ya Europa/Conference league ikiwa Man Utd atabeba FA cup 25/05/2024.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Huyo kipoch angeachiwa timu angetuingiza shimoni. Hao makocha mnaowakataa nackia ni makocha wanaofundisha mpira matata wa kitabuni, achana na huyo tapeli wa kiArgentina.
Hata huyo wa Ipswich nasikia ni kocha mzuri wa kitabuni, Management yenye watu wabobezi kwnye football wameamua kocha flani anafaa, wewe upo tabora huko kwnye shamba la tumbaku unapinga.
 
Tena Enzo akicheza na Caisedo lazima wote wapotee ki-performance lakini tangu Caisedo awe anacheza uwanjani bila Enzo aliimarika vizuri tu.

Tutamkumbuka sana Boss Abrahamovich ila si hawa Mabosi aliowaachia timu sasa hivi ni kama Wana ajenda ya kuharibu Chelsea club's vision to gain trophies zaidi ya kuangalia masilahi yao tu binafsi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work
Mnakosea sana mnapohisi Enzo ndio tatizo wakat huyo huyo Enzo akicheza na galagher huwa anaperform mnasahau kuwa mfumo wa Poch ndio tatizo kwa baadhi ya wachezaji

Hakuna boss anapenda kuharibu team acheno hizi dhana, Hakuna mtu anaeweza toa $3-5BN eti aharibu team achen hizi fikra za kiswahili
 
Dressing room ipi unayoizungumzia wakat almost player wengi unaosema hawapo. Poch alikuta kikosi kipya wachache sana waliokuwepo wa Tuchel.

Jinsi alivyokuwa anamtumia caicedo mwanzoni ndio alikuwa anakosea

Hao kina madueke mwanzoni humu tulikuwa tunasema Poch alivyokuwa hawatumii ila kunawatu wakawa wanapinga.
Mkuu break down ya dressing room imekuwa common kwa makocha kadhaa mfano ktk msimu wa pili wa Conte kulikuwa na kundi la akina Luiz, Costa, Willian and the likes. Akina Mount hawakuwa wanaelewNana na vijana wapya kama Enzo. Sasa hivi angalau idea ya kuword for the benefit of the team imekuwa absorbed. Kocha mpya akija kuwa watu watukuwa benched. So muhimu kocha kuzingatia kitu hicho

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Huyo kipoch angeachiwa timu angetuingiza shimoni. Hao makocha mnaowakataa nackia ni makocha wanaofundisha mpira matata wa kitabuni, achana na huyo tapeli wa kiArgentina.
Hata huyo wa Ipswich nasikia ni kocha mzuri wa kitabuni, Management yenye watu wabobezi kwnye football wameamua kocha flani anafaa, wewe upo tabora huko kwnye shamba la tumbaku unapinga.
Poch tapeli unamaanisha kasajiriwa na nani ?
Directors wanajua, je hawakujua kuwa Pochetino ni tapeli wakati anasajiriwA? Au wenyewe ndo matapeli?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Poch tapeli unamaanisha kasajiriwa na nani ?
Directors wanajua, je hawakujua kuwa Pochetino ni tapeli wakati anasajiriwA? Au wenyewe ndo matapeli?

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Bakhresa na kujua kote biashara kuna biashara huwa anaingia cha kike na anafeli. Ukikijua kitu haimaanishi haukosei. na pia kukijua kitu kukosea ni nadra sana.
 
Kwa kocha yeyote atakayeteuliwa kuinoa hiki kikosi, atakuwa na kikosi kizuri sana kwenye ligi ya vijana tallented
Akiwa na akili timamu na ajue kufundisha soka la kisasa
  1. Ajue kufanya selection an subs
  2. Ajue kutweak pale penye shida ya low block
  3. Ajue kujilinda
  4. Kushambulia
  5. Pasi za haraka
  6. One touch pass
  7. Rotation kwa baadhi ya posotions
  8. possesion footbal
atadominate ligi na hawa vijana

1716576093637.png

1716576157821.png


1716576180792.png


1716576198897.png
 
Wale mnaojua Algebra tafadhali tusaidie hapa!
Ikiwa
Kikosi cha Vijana + Kisicho na uzoefu = a
NA
kocha mchanga + Asiye na Uzoefu = b
Je
a+b =?
 
Chelsea inatafuta kocha wa kisasa na kijana, mahiri ambaye ana sifa hizi nne hapa chini
  1. Kucheza soka la kushambulia
  2. Kucheza soka la kumiliki mpira
  3. Kucheza soka la kuvutia
  4. Awe ni kocha kijana na mbunifu
  5. Anayeweza kujilinda na kutengeneza solid defense
  6. Kuamini vipaji vya vijana walioko kwenye timu kuwatumia na kuwaendeleza
  7. Anayeweza kutenegeneza muunganiko na mahsabiki
@FabrizioRomano

Kwa hiyo mnamntaka Arteta?
 
Sikuwa ampenda kabisa Pochettino
Ila pia wasiwasi wangu ulikuwa daima kwenye uwezo wa hawa wamiliki na SD kufanya maamuzi sahihi, tunaweza kuletewa kocha wa kumtimua the next month.
Kwa jinsi Pochettino alivyomvumbua Cucurella kucheza kama inverted LB na combo ya Gallagher na Caicedo ilivyofanya vizuri, wangemuacha amalizie mkataba wake halafu ndipo wamtadhmini.
Hii ya kumtimua wakati hakuna uhakika wa kumpata kocha mzuri anayeendana na hawa youngest tallent in the league
Tunasubiri the biggest risk in Chelsea history
 
Sikuwa ampenda kabisa Pochettino
Ila pia wasiwasi wangu ulikuwa daima kwenye uwezo wa hawa wamiliki na SD kufanya maamuzi sahihi, tunaweza kuletewa kocha wa kumtimua the next month.
Kwa jinsi Pochettino alivyomvumbua Cucurella kucheza kama inverted LB na combo ya Gallagher na Caicedo ilivyofanya vizuri, wangemuacha amalizie mkataba wake halafu ndipo wamtadhmini.
Hii ya kumtimua wakati hakuna uhakika wa kumpata kocha mzuri anayeendana na hawa youngest tallent in the league
Tunasubiri the biggest risk in Chelsea history
Poch nae alitaka aongezewe mkataba badala ya kutrigger mkataba ulioluwepo
 
Estavo Willian hataweza kuripoti Chelsea hadi katikati ya July mwakani ambapo Palmeiras watakuwa wamemaliza kushiriki 2025 FIFA Club World Cup. Palmeiras ni mojawapo wa washiriki 32 wa kombe hilo litakalochezwa kwa mara ya kwanza kwa mfumo mpya wa ligi ambapo pia Chelsea inashiriki.

Sport Witness wanaripoti kuwa Chelsea na Palmeiras wako kwenye hatua za mwishoni ya kubaliana muundo wa malipo.

Bei ya msingi ni €45m + addons ya €20m na kufanya jumla ya ada ya uhamisho kwa chipukizi huyu kuwa ni €65m

bonasi nyingi za addons zimewekwa kwenye appearance ya mchezaji ambapo wamekubaliana kuwa Chelsea itakuwa ikiilipa Palmeiras €5m kwa kila appearance 20. Jumla ya ushirikiwa wa mara 80 unakadiriwa kuwapa Palmeiras jumla ya bonasi ya €20m

1716626669957.png
 
Usajili wa hovyo
Estavo Willian hataweza kuripoti Chelsea hadi katikati ya July mwakani ambapo Palmeiras watakuwa wamemaliza kushiriki 2025 FIFA Club World Cup. Palmeiras ni mojawapo wa washiriki 32 wa kombe hilo litakalochezwa kwa mara ya kwanza kwa mfumo mpya wa ligi ambapo pia Chelsea inashiriki.

Sport Witness wanaripoti kuwa Chelsea na Palmeiras wako kwenye hatua za mwishoni ya kubaliana muundo wa malipo.

Bei ya msingi ni €45m + addons ya €20m na kufanya jumla ya ada ya uhamisho kwa chipukizi huyu kuwa ni €65m

bonasi nyingi za addons zimewekwa kwenye appearance ya mchezaji ambapo wamekubaliana kuwa Chelsea itakuwa ikiilipa Palmeiras €5m kwa kila appearance 20. Jumla ya ushirikiwa wa mara 80 unakadiriwa kuwapa Palmeiras jumla ya bonasi ya €20m

View attachment 2998887
 
Nimeach kufuatilia hii mechi, city leo wanacheza kama timu ya National League.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom