lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,803
- 22,254
Mabosi wanakwepa old fashion training methods na tacticsKaveh Solhekol reports that the leading candidates are Thomas Frank, Enzo Maresca, Kieran McKenna along with a 'high-profile mystery name'
Kwenye hawa candidates sidhani kama watawafaa. Kabla HansFlick haja saini kule barca mnaweza ku hijack ila mkishindwa kabisa Mourinho is Jobless ni bora kuliko hao makocha wa brentford, Leicester na Ipswitch ni makocha wa timu ndogo na walishafelikina Potter why hamjifunzi wakuu?
Safari hii tutagumble kwa kocha kijana ili tuwe na project kama ya Leverkusen