Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kubadili makocha hivyo Kuna muda unaleta kisirani fulani hivi kwa wachezaji, unajua Ile kubadili mfumo kila muda inakuwa ni kama wachezaji wanakosa kontrol maana washaanza ku adupt mfumo halafu hapo hapo unaleta Tena mfumo mwingine
Pochetino hajawahi shinda kombe lolote la maana.

Hapo Chelsea kafika kimakosa tu.

Chelsea haitakuwa na mafanikio yoyote chini yake itaishia tu kwenda Europa.

Huyu ni wa kumuondoa.
 
Mkuu timu yetu inahitaji kocha mtulivu anayeweza kuendelea kuimprove viwango vya wachezaji na Poch ni kocha sahihi. Angalia Mudueke, Caisedo, Caragher, Palmer, etc. Hii siyo Chelsea ya zamani. Tusiishi kwenye illusion. Tuko kwenye ujenzi wa timu mpya tena kwa falsafa mpya kabisa. Makocha kama Conte, Tuchel, Mourinho hawakiwezi hiki kikosi

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Mkuu uko sahihi kabisa. Nadhani katika huu mjadala wa kocha wengi tunaongelea hisia zaidi kuliko uhalisia. Ukiangalia makocha wengi wanaotajwa humu hawana utofauti mkubwa wa kiuchezaji na mfumo anaotumia Poch. Lakini kwakua ni msimu wa kwanza na yametokea haya tuliyoyaona hawana imani nae.

Hawa vijana wanahitaji kuendelezwa katika mfumo huu huu sahihi kuamza kuwabadilishia tunaenda kuanza upya tofauti na Poch ambaye tayari keshawajengea kitu. Shida wengi wanafikra ya Chelsea ya makombe kila msimu. Nadhani sasa tubadilike tumuamini kuna kitu anaweza kufanya kwa hawa vijana akatengeneza timu tishio ulaya.
 
RDZ in Potter 2.0
Tuendelee na huyu Poch awachallenge Man City na Arsenal au angalau aiingize timu top 4 msimu ujao. Akishindwa hapo anaweza kuondoka ila akiweza kufanya hivyo basi msimu utakaofuata lengo liwe ni ubingwa and nothing else.


Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kulingana na hiki alichokifanya msimu huu nadhani kwa msimu ujao lazima a challenge kombe lolote. Tunuse hata fainali mbili
 
Pochetino hajawahi shinda kombe lolote la maana.

Hapo Chelsea kafika kimakosa tu.

Chelsea haitakuwa na mafanikio yoyote chini yake itaishia tu kwenda Europa.

Huyu ni wa kumuondoa.
Mbona huwa mna comment kama hamna vichwa jamani?

Maurizio Sarri na Sarriball yake wakati anakuja alikua ameshinda kombe gani?

Jama hatuko enzi zile hebu tuwe watulivu. Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini
 
Sababu iliyomfanya RDZ asepe hii hapa
akipata timu yenye uwezo wa kununua wachezaji wazuri huyu ni kocha mzuri kuliko Poche
View attachment 2994567
wewe umesema Mzuri kimbinu ndio nimekuuliza mbona mbinu anayotumia msimu huu ni ile ile ya msimu uliopita unakuja kuleta hoja ya wachezaji mbona klopp katupiga fainal akiwa na average player
 
Mkuu uko sahihi kabisa. Nadhani katika huu mjadala wa kocha wengi tunaongelea hisia zaidi kuliko uhalisia. Ukiangalia makocha wengi wanaotajwa humu hawana utofauti mkubwa wa kiuchezaji na mfumo anaotumia Poch. Lakini kwakua ni msimu wa kwanza na yametokea haya tuliyoyaona hawana imani nae.

Hawa vijana wanahitaji kuendelezwa katika mfumo huu huu sahihi kuamza kuwabadilishia tunaenda kuanza upya tofauti na Poch ambaye tayari keshawajengea kitu. Shida wengi wanafikra ya Chelsea ya makombe kila msimu. Nadhani sasa tubadilike tumuamini kuna kitu anaweza kufanya kwa hawa vijana akatengeneza timu tishio ulaya.
Lakini mwanzoni si mlisema hawa wachezaji ni matakataka? wakati kocha ndie alitaka kuwafanya waonekane takataka.

Anyway, Poche akiendelea alichokivumbua katika mechi za mwishoni hakuna mshabiki ataendelea kumtupia mawe na ndio maana mimi nasema hata kama simkubali, nitampa msimu ujao kuona kama hatavuruga timu tena kama alivyofanya sehemu ya kwanza ya msimu huu.
I will give him time to prove me wrong
Vitu ambayo nimeona Poche anaweza kuwa bora msimu ujao ni:
  1. Kusema hataendelea kusema tena kuwa wachezaji ni wachanga na wasio na uzoefu
  2. Hataendelea kusema kutrust the process
  3. Sasa anakiri Chelsea inatakiwa kushindania makombe msimu ujao
  4. Ijumaa hii ya tarehe 17 April 2024 alikuwa na dinner na Tod Boehly ambaye ndie anayetaka afukuzwe pale klabuni, na nadhani wameongea mengi mema na wameshamaliza tofauti zao kwa sasa.
  5. Alikiri kuwa hata tukimaliza na 5 na Chelsea ikashiriki michuano ya Ulaya haitoshi kwa wamiliki, kwa Sporting directo, kwa wachezaji na kwa mashabiki wote
  6. Amedai kuwa amefurahia sehemu ya mwisho wa ligi, ila hatashangilia kwa sababu ya historia ya Chelsea inahitaji zaidi
  7. Kwa sababu wachezaji wanampenda na wako tayari kumpigania uwanjani
  8. Kwa sababu ni wazi ameweza kuinua viwango vya Palmer, Madueke, Gallagher, Jackson, Malo, Chalobah na Cucurella
  9. Ameweza pia kumtumia vizuri Cucurella kwenye inverted LB
  10. Enzo anakiri kuwa alipokuja kwenye klabu, kulikuwa shagalabagala na sasa Pochettin o ameweka utaratibu na utambulisho, na maadili na nidhamu ya kazi umeimarika
  11. Sio chuki binafsi hapa, ni kweli Pochettino anawazidi makocha wengi kwenye kumanage wachezaji hasa wa calibre hii ya Chelsea. Mfano mzuri ni jinsi anavyokwenda sambamba na Madueke. Kwa kocha mwingine Madueke wala asingecheza mechi mbili pale Chelsea
  12. Baada ya kukutana na Boehly Ijumaa, Pochettino anawasiwasi kama kikao cha kumtadhmini kitakuwepo tena, anadai wasaidizi wake wataondoka kwenda likizo na yeye atakuwepo kwa siku chache kabla hajaondoka kwenda likizo. Hii ni dalili kuwa uongozi sasa wameshamkubali na hawana haja ya kumtadhmini
 
Umempoteza Caicedo n McAlister halaf replacement unaletewa za ajabu ambazo hazina impact mda huo huo hujakaa sawa unapata injury za wachezaj wako muhim Mitoma na March

Kwa team yenye quality player de zerbi anafanya vizuri, kimbinu kamzidi poch.

Kuna makocha kimbinu wamemzidi poch, yani ni rahisi kuusoma mchezo na kubadilika kadri mchezo unavyoenda.
Ni swala la mda tu wengi humu mtaanza kuwataja De Zerbi naomba apate team nzuri awaoneshe,Sebastian Hoeness,Thiago Motta

Soon Arne Slot atawaonyesha pale liverpool na hiv Michael Edward karudi msubir
Mechi alizopoteza ni kwasababu ya kimbinu sio ubora wa wachezaji na simuoni akibadilika kama mnavyompamba hapa haiwezekani unapoteza a lot of game kwa aina moja ya mpira huo ubora wa kuusoma mchezo huko wapi?
 
wewe umesema Mzuri kimbinu ndio nimekuuliza mbona mbinu anayotumia msimu huu ni ile ile ya msimu uliopita unakuja kuleta hoja ya wachezaji mbona klopp katupiga fainal akiwa na average player
Naona kama hatuelewani, kwanza sijawahi kuzungumzia masuala ya mbinu kwa RDZ. RDZ kaletewa wachezaji asiowaweza. Kumbuka Paul Winstanley alikuwa mtu wa karibu na RDZ akauzwa, Caicedo, Colwill, Maclister waliform a good bond nao wameuzwa. Brighton hawakumpa ushirikiano wakati wa kufanya replacement ya hao wachezjai muhimu akaishia kuwa unhappy ndio maan ameondoka

Huyu huyu kocha mlikuwa mnamfagilia sana alipoipokea Brighton chini ya wachezaji wazuri. Mimi nilimkata kumkubali nikisema ameridhi klabu nzuri ilkiyojengwa na Potter. Sasa leo mambo yamemuendea vibaya mnamkataa

Sawa RDZ anaweza asiwe kocha mzuri ila kwa tallents tulionao anaweza kuwa mzuri na match nzuri

Ngoja tuone klabu atakayoenda baada ya hapa, ila ninachojua akienda klabu ambayo itamsupport kwa wachezaji anaowataka atakuwa dangerosu sana
 
Malang Mamadou William Georges Sarr bado mchezaji wa Chelsea?
sasa yuko wapi jamani!
Ni mchezaji wa tisa kwa kulipwa mshahara mkubwa Chelsea analipwa pauni 120,000 kwa wiki huku Conor Gallagher akilipwa pauni 50,000 kwa wiki. Hii sio fair kabisa

1716179460579.png
 
Naona kama hatuelewani, kwanza sijawahi kuzungumzia masuala ya mbinu kwa RDZ. RDZ kaletewa wachezaji asiowaweza. Kumbuka Paul Winstanley alikuwa mtu wa karibu na RDZ akauzwa, Caicedo, Colwill, Maclister waliform a good bond nao wameuzwa. Brighton hawakumpa ushirikiano wakati wa kufanya replacement ya hao wachezjai muhimu akaishia kuwa unhappy ndio maan ameondoka

Huyu huyu kocha mlikuwa mnamfagilia sana alipoipokea Brighton chini ya wachezaji wazuri. Mimi nilimkata kumkubali nikisema ameridhi klabu nzuri ilkiyojengwa na Potter. Sasa leo mambo yamemuendea vibaya mnamkataa

Sawa RDZ anaweza asiwe kocha mzuri ila kwa tallents tulionao anaweza kuwa mzuri na match nzuri

Ngoja tuone klabu atakayoenda baada ya hapa, ila ninachojua akienda klabu ambayo itamsupport kwa wachezaji anaowataka atakuwa dangerosu sana
Onyesha comment yangu yoyote ile niliyomkubali huyo kocha, kama issue ni wachezaji sio mbinu tena unasemaje kimbinu kamzidi Poche binafsi simkubali Poche but huwezi kuniambia anazidiwa na huyu kocha ambaye habadiliki kimbinu kashindwa kuwatumia wachezaji waliopo kulingana na uwezo wao alafu unaniambia eti ni kocha Mzuri kimbinu au kuna maana nyingine ya tactics ambayo mnajua nyie?
juan david
 
Mechi alizopoteza ni kwasababu ya kimbinu sio ubora wa wachezaji na simuoni akibadilika kama mnavyompamba hapa haiwezekani unapoteza a lot of game kwa aina moja ya mpira huo ubora wa kuusoma mchezo huko wapi?
Kuna mechi zaidi ya tano tumepoteza kipumbavu kabisa msimu huu na tatizo lilikuwa ni upuuz wa pochetino kwenye kuusoma mchezo , substitution na mbinu , huu msimu tulitakiwa kushiriki UEFA
Poch anahusika kwa hili
 
Malang Mamadou William Georges Sarr bado mchezaji wa Chelsea?
sasa yuko wapi jamani!
Ni mchezaji wa tisa kwa kulipwa mshahara mkubwa Chelsea analipwa pauni 120,000 kwa wiki huku Conor Gallagher akilipwa pauni 50,000 kwa wiki. Hii sio fair kabisa

View attachment 2994680
Huyu dogo sijui kwa nini wameshindwa kumuuza , huyu si alienda Monaco Kwa mkopo ?
Kweli uchawi upo
 
Kuna mechi zaidi ya tano tumepoteza kipumbavu kabisa msimu huu na tatizo lilikuwa ni upuuz wa pochetino kwenye kuusoma mchezo , substitution na mbinu , huu msimu tulitakiwa kushiriki UEFA
Poch anahusika kwa hili
Mkuu hiyo comment ilikuwa inamzungumzia kocha wa Brighton sio Pochettino maana nimeona hapa watu wanampigia promo kweli aje Chelsea
 
Lakini mwanzoni si mlisema hawa wachezaji ni matakataka? wakati kocha ndie alitaka kuwafanya waonekane takataka.

Anyway, Poche akiendelea alichokivumbua katika mechi za mwishoni hakuna mshabiki ataendelea kumtupia mawe na ndio maana mimi nasema hata kama simkubali, nitampa msimu ujao kuona kama hatavuruga timu tena kama alivyofanya sehemu ya kwanza ya msimu huu.
I will give him time to prove me wrong
Vitu ambayo nimeona Poche anaweza kuwa bora msimu ujao ni:
  1. Kusema hataendelea kusema tena kuwa wachezaji ni wachanga na wasio na uzoefu
  2. Hataendelea kusema kutrust the process
  3. Sasa anakiri Chelsea inatakiwa kushindania makombe msimu ujao
  4. Ijumaa hii ya tarehe 17 April 2024 alikuwa na dinner na Tod Boehly ambaye ndie anayetaka afukuzwe pale klabuni, na nadhani wameongea mengi mema na wameshamaliza tofauti zao kwa sasa.
  5. Alikiri kuwa hata tukimaliza na 5 na Chelsea ikashiriki michuano ya Ulaya haitoshi kwa wamiliki, kwa Sporting directo, kwa wachezaji na kwa mashabiki wote
  6. Amedai kuwa amefurahia sehemu ya mwisho wa ligi, ila hatashangilia kwa sababu ya historia ya Chelsea inahitaji zaidi
  7. Kwa sababu wachezaji wanampenda na wako tayari kumpigania uwanjani
  8. Kwa sababu ni wazi ameweza kuinua viwango vya Palmer, Madueke, Gallagher, Jackson, Malo, Chalobah na Cucurella
  9. Ameweza pia kumtumia vizuri Cucurella kwenye inverted LB
  10. Enzo anakiri kuwa alipokuja kwenye klabu, kulikuwa shagalabagala na sasa Pochettin o ameweka utaratibu na utambulisho, na maadili na nidhamu ya kazi umeimarika
  11. Sio chuki binafsi hapa, ni kweli Pochettino anawazidi makocha wengi kwenye kumanage wachezaji hasa wa calibre hii ya Chelsea. Mfano mzuri ni jinsi anavyokwenda sambamba na Madueke. Kwa kocha mwingine Madueke wala asingecheza mechi mbili pale Chelsea
  12. Baada ya kukutana na Boehly Ijumaa, Pochettino anawasiwasi kama kikao cha kumtadhmini kitakuwepo tena, anadai wasaidizi wake wataondoka kwenda likizo na yeye atakuwepo kwa siku chache kabla hajaondoka kwenda likizo. Hii ni dalili kuwa uongozi sasa wameshamkubali na hawana haja ya kumtadhmini
Swali ni Yuko flexible kimbinu??

Premier league soon watu wanakujulia Je ashajipanga kwa hilo.

Poch alivyokinganganizi je atakuwa tayari kubadilika pindi tu wapinzani wakishamtukia??
 
Mourinho anasema hashiki medali za mshindi wa pili kwa hivyo alimtupia shabiki wa Arsenal.
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

1716190034692.png
 
Maoni kuhusu kubaki au kuondoka kwa MP

Me naona abaki kwasababu ameshaanza kupata pattern ya timu na ukizingatia tumefukuza makocha wengi sana na kigezo kingine ni kwamba wachezaji wanamsapoti.

Tulikuwa nafasi ya 12 msimu uliopita right now umeonesha improvement mpaka nafasi ya 6 hopefully ni kocha ambaye ataturusha big 4 sina doubt kwenye hilo. Kitu ambacho tutapingana kwa pochettino sio kocha wa muda mrefu kwa maana ya kuwa sio kocha wa kutupa makombe nimeliona hili tangu spurs mpaka huku kwetu kwenye mechi muhimu anakuwaga hayupo serious game dhidi ya Arsenal ilinikera sana upangaji wake.
 
Maoni kuhusu kubaki au kuondoka kwa MP

Me naona abaki kwasababu ameshaanza kupata pattern ya timu na unazingatia tumefukuza makocha wengi sana na kigezo kingine ni kwamba wachezaji wanamsapoti.

Tulikuwa nafasi ya 12 msimu uliopita right now umeonesha improvement mpaka nafasi ya 6 hopefully ni kocha ambaye ataturusha big 4 sina doubt kwenye hilo. Kitu ambacho tutapingana kwa pochettino sio kocha wa muda mrefu kwa maana ya kuwa sio kocha wa kutupa makombe nimeliona hili tangu spurs mpaka huku kwetu kwenye mechi muhimu anakuwaga hayupo serious game dhidi ya Arsenal ilinikera sana upangaji wake.
Hiyo ya wachezaji kumsupport ondoa
ungepanga mawazo yako kwa namba ningekutajia
Kufukuza fukuza makocha saa nyingine ni nzuri na saa nyingine ni mbaya, Kumbuka wakati wa Abramovich utimuajiw a makocha ndio uliotupa makombe mengi
  1. Arsene Wenga alikaa arsenal miaka mingi bila kombe baada ya 2006
  2. Klopp alikaa Liverpool 11 akibeba makombe makubwa matatu tu
  3. Poche alikaa Spurs miaka mingi kafanya nini?
Kukaa sana sio tija kwa klabu kubwa kama Chelsea, performance na makombe ziende sambamba ndio inaipa timu jina, umaarufu na mashabiki wengi kuongezeka
Pattern
Poche ni mzuri kwa ball transition na kushambulia ila kujilinda bado sana. Ili huo udhaifu wake uondoike anahitaji kuwa na makocha wasaidizi kwenye hilo eneo wanaojiweza sana
Inverted LB ya Cucurella imempa sifa kubwa sana na timu ikapata balance pale katikati. akiendlea kuwa mbunifu wa kuweka mbinu zinazofanya kazi hakuna mtu atakayemlaumu au kumtaka aondoke
 
Maoni kuhusu kubaki au kuondoka kwa MP

Me naona abaki kwasababu ameshaanza kupata pattern ya timu na ukizingatia tumefukuza makocha wengi sana na kigezo kingine ni kwamba wachezaji wanamsapoti.

Tulikuwa nafasi ya 12 msimu uliopita right now umeonesha improvement mpaka nafasi ya 6 hopefully ni kocha ambaye ataturusha big 4 sina doubt kwenye hilo. Kitu ambacho tutapingana kwa pochettino sio kocha wa muda mrefu kwa maana ya kuwa sio kocha wa kutupa makombe nimeliona hili tangu spurs mpaka huku kwetu kwenye mechi muhimu anakuwaga hayupo serious game dhidi ya Arsenal ilinikera sana upangaji wake.
Concern yangu kwa poch ni uwezo wake kimbinu sio mtu wa kubadilika mara kwa mara,
Na ni rahisi sana kumsoma,

Tunaelekea msim mpya je yuko tayar kubadilika kutokana na mchezo unavyoenda au ndio kuendelee kuforce vitu hata kama mambo yakienda ndivyo sivyo?

Je anaweza kuusoma mchezo nankufanya tactical change kadri mchezo unavyoenda?

Against low block team amejipangaje kwa hawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom